Ushauri wa bure kwa benchi la ufundi Simba viongozi mkiipata mpelekeeni Robertinho kuepuka aibu ya goli 5

Ushauri wa bure kwa benchi la ufundi Simba viongozi mkiipata mpelekeeni Robertinho kuepuka aibu ya goli 5

Kwangu mm ningechezesha 3-5-2 hapa ndio Saido atahusika,aanze Boko then Bareke aingie second half,viungo mzamiru kanute ngoma wanatakiwa kuanza,ningemuweka benchi Chama.
Waarabu wanatanua uwanja Kwa kutumia sn mawinga so unahitabi idadi kubwa ya viungo wanaoweza kimbia muda wote.
NB
Baleke mzuri sn akiingia km sub and not kuanza
 
Wapi Fabrice amewekwa namba mbili????

Hii ni kwa Wataalam wa mpira tu Coachers nk

Labda Ungejaribu Kuuliza kiufundi umeandikaje ningekufafanulia.

Mimi ni Expert
We jamaa kama sio muhaya,sijui tu.

[emoji23]
 
Acheni ujuaji wa kijinga.....
Timu inabadilishia mfumo kwenye Mechi husika? We ulisikia wapi biashara kama hii?
Al ahly ndio ukamjaribia Mfumo?.

Mlimtumia Robertinho Ushauri wakati tunacheza na Wydad? If not then kaeni kimya.
Fanyeni kazi ya Shabiki, kushangilia tu....
 
Kwangu mm ningechezesha 3-5-2 hapa ndio Saido atahusika,aanze Boko then Bareke aingie second half,viungo mzamiru kanute ngoma wanatakiwa kuanza,ningemuweka benchi Chama.
Waarabu wanatanua uwanja Kwa kutumia sn mawinga so unahitabi idadi kubwa ya viungo wanaoweza kimbia muda wote.
NB
Baleke mzuri sn akiingia km sub and not kuanza

Asante kwa mawazo mkuu.

Ila Energy ya Boko ni Ndogo mno
Bora uende na Baleke na KIBU kama 9,10

Tunapenda JF iwe na WATU WENYE mawazo kama NYIE.
 
Simba washambulie mwanzo mwisho, hakuna haja ya kuzuia wakati unatafuta ushindi
 
Huo mfumo wa kujilinda hauna nafasi kwa mechi ya leo zaidi ni kushambulia mwanzo mwisho maana tunatafuta ushindi.

Wewe unajiita expert lakini unashindwa kubaini kwamba Simba anahitaji ushindi ili afuzu hatua inayofuata.
 
Huo mfumo wa kujilinda hauna nafasi kwa mechi ya leo zaidi ni kushambulia mwanzo mwisho maana tunatafuta ushindi.

Wewe unajiita expert lakini unashindwa kubaini kwamba Simba anahitaji ushindi ili afuzu hatua inayofuata.

Una uhuru WA kutoa Maoni na si UFUNDI.

Kwa KIKOSI Gani Umfunge Alhly.

KIKOSI Cha AYOUB MDAKA panzi.
Au Ally SALUM MDAKA HEWA.

MANURA AMEUMIA Unaacha kutafuta Golikipa wa maana unaenda kuleta AYOUB MDAKA panzi.

Timu ilikuwa Ina uhitaji WA kiungo mkabaji No 6 TUMEPIGWA makelel wameenda kuleta mawinga 10.

Onana.
Kramo.
Miquisson.

Bado na Ayoub MDAKA panzi
Umfunge Alhly kweli!!!!!!!!
 
Simba washambulie mwanzo mwisho, hakuna haja ya kuzuia wakati unatafuta ushindi

Alex FERGASON anasema Safu Bora ya Ulinzi itakupa Mataji.

Safu Bora ya Ushambuliaji itakupa MAGOLi.

Chagua kati ya magoli au Mataji
 
Ili kuepuka aibu ya kufungwa goli nyingi katika mchezo wa marudiano AFL kesho (pamoja na ahadi ya bilioni moja kutoka kwa Mo endapo akishinda mchezo wa kesho) kiufundi naona mambo yafuatayo yanapaswa kufanyiwa kazi.

Simba wanapaswa wajiuekuwa wanatimu mbovu. Hawana Golikipa hata mmoja ukitoa Manula. Cha kufanya Ili kupunguza aibu ni kwenda na mifumo mitatu tu ifuatavyo;

  • 3: 5:1: 1
  • 4: 3 :3
  • 5: 3: 2
1. Wampange Aishi Manula au Ayoub Mdaka Mapanzi.

2. Shomary Kapombe.

3. Mohamed Hussein.

4. Che amalone Fondoh.

5. Enock Inonga.

6. Muzamiru Yassin.

7 Kibu Denis.

8. Sadio Kanute Putin

9. Jean Baleke.

10. Fabrice Ngoma

11. Clotus Chama.

Nina uhakika Simba wakianza hivi ugenini kwa Al Ahly watapunguza magoli mengi mno.

Ayoub au Manula.

Shomary, Inonga na chemalone Shabalala.

Kiungo;

Kanute, Ngoma, Mzamiru, Kibu.

Ushambuliaji;

Chama na Baleke

...................................................................................

Wakikwama hapo wanaweza wakaenda kama ifuatavyo;

3 : 5 : 2

Ayoub mdaka panzi

Mabeki 3;

Kenedy Inonga, Chemalone,

Kiungo;

Kapombe, Mzamiru , Ngoma, kanute na shabalala.

Ushambuliaji;


Kibu na Baleke

Simba akienda na hiyo mifumo ninauhakika atapata sare, au kupunguza magoli ya kufungwa.
Al Ahly leo atakua too much offensively ili aongeze confidence ya aggregate.

Kwahiyo automatic atakua busy sana kwenye lango la simba.

Hivyo basi ili simba waweze ku win hii game wanatakiwa kule mbele waweke wachezaji wenye speed na wawe 'direct'. Mfano., Kibu,Baleke na Phiri.

Zile unnecessary passes kwenye 18 yards mpaka 8 zinatakiwa zipungue.
 
Al Ahly leo atakua too much offensively ili aongeze confidence ya aggregate.

Kwahiyo automatic atakua busy sana kwenye lango la simba.

Hivyo basi ili simba waweze ku win hii game wanatakiwa kule mbele waweke wachezaji wenye speed na wawe 'direct'. Mfano., Kibu,Baleke na Phiri.

Zile unnecessary passes kwenye 18 yards mpaka 8 zinatakiwa zipungue.

Simba watafungwa mengi.

HAIWEZEKANI MANULA ANAUMIA UNAMUACHA KAKOLANYA UNASAJILI AYOUB MDAKA MAPANZI.
 
Alex FERGASON anasema Safu Bora ya Ulinzi itakupa Mataji.

Safu Bora ya Ushambuliaji itakupa MAGOLi.

Chagua kati ya magoli au Mataji
SIdhani kama ni fergerson ndio alisema hivyo, huyo ni Mourinho.
Fergie alichukuwa ubingwa wake wa mwisho akiwa na defence mbovu na forwad kali.
 
Tofauti kubwa ya wenzetu na kanda nyingi ni jinsi ya kutumia muda,na umakini muda wote ukiangalia game ya juzi umakini ndio umewanyima ushindi simba hata game ya jana ya yanga vs Azam umakini ndio unatofautisha team,ukiondoa vivyo vipaji vya mtu mmojammoja ndio vinaamua matokea ila mezani sidhani km kunaupishani mkubwa kitimu.
 
SIdhani kama ni fergerson ndio alisema hivyo, huyo ni Mourinho.
Fergie alichukuwa ubingwa wake wa mwisho akiwa na defence mbovu na forwad kali.

Eheeee!!!!!..

Kwahiyo Mimi naandika kitu nisicho na uhakika nacho.

Msiwe mnawajaribu WATU.....
MIMI SIO MJINGA
 
SIdhani kama ni fergerson ndio alisema hivyo, huyo ni Mourinho.
Fergie alichukuwa ubingwa wake wa mwisho akiwa na defence mbovu na forwad kali.
Hapana huyo ni babu Fergie na wala sio Jose Mourinho.

Babu Fergie alisema kua "strikers will give you the goals but difenders will award you the titles."

Mourinho yeye alisema "Boys will entertain but Men gives you a trophies."
 
Hapana huyo ni babu Fergie na wala sio Jose Mourinho.

Babu Fergie alisema kua "strikers will give you the goals but difenders will award you the titles."

Mourinho yeye alisema "Boys will entertain but Men gives you a trophies."

Safi sana mkuu.

Hawa WATOTO wengine Baada ya kujifunza KUPITIA sisi wataalamu wao wanaleta ujuaji.

Unaweza ukamnyoosha awe na adabu atakuona Mbaya.
 
Hii Simba haiwez kuifunga Al ahly Tuache kulea ujinga Tuseme tu ukweli Wachezaji wanaosajiliwa Simba bado ni wa Kiwango cha kawaida sana,

Nawashauri simba wawekeze zaid kutafuta Mascout wa Kimataifa ili wawaletee Wachezaji wenye kiwango bora katka usajili.
 
Ili kuepuka aibu ya kufungwa goli nyingi katika mchezo wa marudiano AFL kesho (pamoja na ahadi ya bilioni moja kutoka kwa Mo endapo akishinda mchezo wa kesho) kiufundi naona mambo yafuatayo yanapaswa kufanyiwa kazi.

Simba wanapaswa wajiuekuwa wanatimu mbovu. Hawana Golikipa hata mmoja ukitoa Manula. Cha kufanya Ili kupunguza aibu ni kwenda na mifumo mitatu tu ifuatavyo;

  • 3: 5:1: 1
  • 4: 3 :3
  • 5: 3: 2
1. Wampange Aishi Manula au Ayoub Mdaka Mapanzi.

2. Shomary Kapombe.

3. Mohamed Hussein.

4. Che amalone Fondoh.

5. Enock Inonga.

6. Muzamiru Yassin.

7 Kibu Denis.

8. Sadio Kanute Putin

9. Jean Baleke.

10. Fabrice Ngoma

11. Clotus Chama.

Nina uhakika Simba wakianza hivi ugenini kwa Al Ahly watapunguza magoli mengi mno.

Ayoub au Manula.

Shomary, Inonga na chemalone Shabalala.

Kiungo;

Kanute, Ngoma, Mzamiru, Kibu.

Ushambuliaji;

Chama na Baleke

...................................................................................

Wakikwama hapo wanaweza wakaenda kama ifuatavyo;

3 : 5 : 2

Ayoub mdaka panzi

Mabeki 3;

Kenedy Inonga, Chemalone,

Kiungo;

Kapombe, Mzamiru , Ngoma, kanute na shabalala.

Ushambuliaji;

Kibu na Baleke

Simba akienda na hiyo mifumo ninauhakika atapata sare, au kupunguza magoli ya kufungwa.
Simba mwenzangu..naona aibu kuongea vibaya
 
Back
Top Bottom