Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu

Well said Kamanda sema Pascal anajifanya mjuaji
 

Huu ni ushauri wako, unayo haki kikatiba kama aliyonayo Othman Masoud na hujaambiwa hata unyamaze. Wacha atumie haki yake ya kikatiba. Anachozungumza ndio ukweli. Hili wewe hulioni kwa sababu ni MLAMBA ASALI.
 
Ni ngumu kufanya kazi na mtu ambaye hamuelewani kwenye mambo muhimu (key fundamental issues).
 
Huyo H.mwinyi pengine ndio kamtuma aanzishe ili wamuunge mkono
 
Siasa za bongo ni utopolo na mleta uzi naye ni kituko tu.
Afutwe kazi kwa kutoa maoni binafsi?
 
Nakubaliana kabisa.

Anti Muungano agents wang'olewe at any cost.

Huyo Othman akayaongee anayo ongea akiwa nje ya serikali.

Jitu linakula heka ya Muunano halafu linaunanga, ni ushamba usiovumilika.
Hebu fanya utulie kidogo. Unaonekana umepaniki ghafla! Huwezi kumlazimisha mtu kuongea vile unavyotaka wewe. Kila mtu ana mdomo wake.

Acha watu waongee bhana.
 

Akikujibu nijuze.
NB-Paskali alikulia kwenye za serikali,Baba yake mzazi alikua ni RSO huko kanda ya ziwa,mama yake pia akiwa mtu wa idara. Niishie hapo
 
Nakubaliana kabisa.

Anti Muungano agents wang'olewe at any cost.

Huyo Othman akayaongee anayo ongea akiwa nje ya serikali.

Jitu linakula heka ya Muunano halafu linaunanga, ni ushamba usiovumilika.
Nchi hii anatakiwa kila MTU awe chawa !! Hii ni kwa usalama wake !! Au ?!
 
Kwahiyo umamfunga mdimo P 🤔
 
Tangu akiwa AG wa Znz ,Othuman unajukikana msimamo wake binafsi ni upi aligombana na kina shein na kikwete mwisho wakamfuta kazi kwa dhihaka na aibu... lakini bado hakubadilika... Nilishtuka sana siku Kamati kuu ilivyosema Maalim alimpendekeza kuwa mrithi wake,nikajua moto utawaka tu mbeleni
 
Akikujibu nijuze.
NB-Paskali alikulia kwenye za serikali,Baba yake mzazi alikua ni RSO huko kanda ya ziwa,mama yake pia akiwa mtu wa idara. Niishie hapo
Kazi kweli kweli!!
 
Unasukumwa na roho mbaya na kujipendekeza, hakuna jingine.
 
Kaka Pascal wewe ni mtu mzima acha kuingilia ndoa za watu🤣🤣.
What is ACT?
Is a branch of a Revolutionary Party that artificially deals with the GNU!!
Hicho chama Wazanzibar waliingizwa mkenge lakini ukweli juu ya kuanzishwa kwake na chanzo cha fedha,Zitto Kabwe anajua Siri yake🤣🤣🤣
 
Duh !! Kumbeee !! ( ya akina Bwakila ) !!
 
Hakuna muungano, kuna uvamizi. Nyerere alivamia Zanzibar kama Putin alivyovamia Ukraine na mpaka leo majeshi yake yamebaki.
 
Kwani kuwa makamu wa kwanza wa Rais Zenji, inaondoa uanachama wa mtu kutoka chama cha upinzani iwe CUF, ACT nk?
Hapana, haiondoi uanachama, ila viongozi wa ACT walio ndani ya GNU, wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, hivyo the best thing to do ni kunyamaza, na ndicho alichofanya Maalim Seif. Huwezi kuwa ndani ya GNU yenye ilani ya CCM inayoamini kwenye kuimarisha muungano halafu wewe unamwaga sumu ya kuvunja muungano!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…