Acheni Akili mfu ninyi vibwetele kwani hakuna Watanzania wanao ishi Marekani Uingereza Ujerumani na kwingineko wameoa, kuolewa na wanafanya kazi na biashara zao? Kwani hizo nchi zote tumeungana nazo kuwa Tanganyika?Pascal nadhan una hoja ya msingi..Mimi sielewi kwa wanaotaka kuuvunja muungano wanawafikiriaje wazanzibar wanaoishi bara, ambao wameolewa, wanafanya kazi, wanalima, wanafanya biashara kubwakubwa....wanawafikiraje...????hivi wanajua maana ya kutengana..kutengana hakuna mswalie mtume shekh.....watu nahisi wamechoka amani...
Muungano gani, ukoloni huo mnazani wazanzibar wote ni mazwazwa?Nakubaliana kabisa.
Anti Muungano agents wang'olewe at any cost.
Huyo Othman akayaongee anayo ongea akiwa nje ya serikali.
Jitu linakula heka ya Muunano halafu linaunanga, ni ushamba usiovumilika.
Mtu anaesema lililopo moyoni mwake consistently huwezi kamwe kumuita mnafiki.Naunga mkono hoja, OMO ni mnafiki kwanza shavu zake zimejaa kuonesha karidhika ila kuna kitu anataka zaidi. Badala ya kuongelea issue za maendeleo yeye anataka kulete fujo.
Huwa kwanza kabisa wanajadiliana na kukubaliana mambo ya msingi. Ilitakiwa ACT na CCM waelewane mapema kabisa kuhusu muungano kabla ya kuunda serikali ya pamoja. Othman has missed the fundamental point of coalitions.Mbona zipo nchi nyingi tu duniani zinaendeshwa na serikali za mseto ? Kwani huwa wanafanyaje katika kutoa maoni yao Hao waliomo kwenye huo mseto ??!!
Kwanza, kama kawaida ya wanaCCM huelewi uhusiano mzito wa siasa na harakati. Upinzani hauwezi kuwa na impact bila dozi ya harakati. Na ukisikia upinzani usidhani ni CHADEMA au ACT pekee. Hata ndani ya CCM. Ile sarakasi iliyopigwa bungeni hivi majuzi kudai pesa ya mradi wa barabara haikuwa ya mchiriku.Hapa Tanzania hakuna Upinzani Bali ni uharakatitu. Siasa za Upinzani sio uadui wala kumchafua mwenzako ili wewe Ufanikiwe kisiasa.
Mimi niseme kweli kwamba Mzee Maalim Alikua King wa siasa Tanzania. MTU mkweli na Mwuungana kabisa katika siasa za Ushindani wa kisera na kistaarabu, hawa wengine ni wahunitu.
Paskali bwana, kama unaona Othman kakosea basi ishia hapo hapo. Mambo ya kupendekeza atenguliwe siyo jukumu lako.Wanabodi,
Politics is a game like any other games, that people plays, it has its rules and regulations, ukikiuka unaweka pembeni. Yaani mchezo wa siasa pia ni mchezo kama mchezo mwingine wowote, una sheria zake, taratibu na kanuni, ukikiuka, unapewa kadi nyekundu unawekwa pembeni.
Serikali ya Zanzibar, ni serikali ya mseto, inaendeshwa na vyama viwili, CCM na ACT, ila watu wa ACT ndani ya GNU wanapaswa kutekeleza sera za CCM.
Serikali ya GNU japo ni serikali ya mseto, lakini inaongozwa na Ilani ya uchaguzi ya CCM, hivyo ACT ndani ya GNU ama wanatakiwa kuhubiri ilani ya uchaguzi ya CCM, na sera za CCM ama wanyamaze kimya, halafu wale ACT wengine nje ya GNU ndio wanaweza kuendelea kupiga siasa za ilani ya ACT!.
Ndani ya Serikali, kuna kitu kinaitwa a collective responsibilities, ukiishakuwa ndani ya serikali, huwezi kusema jambo lolote ambalo ni kinyume cha sera na ilani inayotawala ukabaki salama.
Maalim Seif alipokuwa ndani ya GNU, alinyamaza, hivyo Masoud Othman Masoud ama naye anyamaze, ama atoke nje ndio akaendelee kuhubiri kuuvunja huu muungano wetu adhimu!
Mtu aliyemo ndani ya serikali, hawezi kuyasema maneno kama haya
Kwa maoni yangu, huyu mtu anatakiwa awekwe pembeni, apate muda wa kutosha ajishughulishe na siasa, kwasababu ACT ndani ya GNU wanatakiwa kutekeleza Ilani na sera za CCM!
Ushauri kama huu kumhusu mtu huyu huyu niliwahi kuutoa kule nyuma na ukatekelezwa, Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Hili la kila uchao mtu huyu kuuchokoa muungano hakuanza leo, na hakuna ubaya wowote kuuzungumzia muungano kwa jambo lolote alimradi hilo linalozungumzwa ni liwe la ukweli kuna siku aliongopa kuhusu sovereignity Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?
Hata Mama Samia akiwa VP aliwahi kushauri watu waachwe wa vent kuhusu muungano "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Kama watu waachwe huru kuujadili muungano ndiko huku kunakofanywa na huyu, na kunajumuisha kuwa huru kuujadili muungano negatively hara Kwa mtu uliye ndani ya GNU, then I doubt kama huku ni kuujadili muungano kwa nia ya kuuimarisha bali ni kuujadili muungano kwa nia ya kuuvunja.
Paskali
Lakini huu mseto haupo kama fadhila Bali ni takwa la kikatiba katika katiba ya Zanzibar ! Sasa swali la kujiuliza je vitu ulivyovieleza havikuainishwa katika hiyo katiba !! Au ndio contradictions zenyewe hizo ?!!Huwa kwanza kabisa wanajadiliana na kukubaliana mambo ya msingi. Ilitakiwa ACT na CCM waelewane mapema kabisa kuhusu muungano kabla ya kuunda serikali ya pamoja. Othman has missed the fundamental point of coalitions.
Hii ya Zenj ilikuwa ya maslahi binafsi ya mtu mmoja na kundi lake. Sasa bahati mbaya kavamia asiye na compromise kama mtangulizi wake. Naamini yuko out of step hata na mwenye chama.
Nani ataanza kujenga chuki?,Watanganyika au Wazanzibari..Dogo wewe huelewi bado mtoto..kua uyaone mwanawane..hujui maana ya kujenga chuki na uhasama kama huu watu wanaotaka kujenga.. kakojoe ulale jomba
Viongoizi waadilifu? wakati ccm hakuna kiongozi mwadilifu.Mkuu Ngali, Ngalikihinja, kwanza naomba kujitanabaisha kuwa mimi ni miongoni mwa watetezi wakuu wa freedom of expression, hivyo ushauri huu usitafasiriwe kuwa ni kuingilia freedom of expression ya OMO, no!.
Kuna baadhi ya nafasi za juu za uongozi kwenye ngazi za maamuzi, kiongozi huwezi kutoa maoni kinzani.
Uongozi wa serikali ni kama ndoa, wana ndoa wanafungwa na kanuni ya a collective responsibility. Hata ikitokea wanandoa wamehitilafiana, watoto hawapaswi kujua, au ikitokea mzee ni hakuna kitu, mama hawezi kutangaza public na kusema no anatoa maoni yake.
Wabunge wa ACT walio ndani ya serikali ya GNU ya Zanzibar, ni wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM yenye lengo la kuimarisha muungano.
Hivyo viongozi wote wa GNU wanabanwa na kanuni ya a collective responsibility kudumisha muungano
Hapa ukinipa mifano, nitakushukuru. A collective responsibility inataka kama hukubaliani, unanyamaza kimya, na ukiamua kuongea, ondoka kwanza ndani ya serikali ndipo upinge.
Hapana, tunataka viongozi waadilifu, maadam umekubali kuingia kwenye ndoa, ni lazima utimize masherti ya ndoa ikiwemo kutimiza wajibu wa ndoa.
P.
Wanabodi,
Politics is a game like any other games, that people plays, it has its rules and regulations, ukikiuka unaweka pembeni. Yaani mchezo wa siasa pia ni mchezo kama mchezo mwingine wowote, una sheria zake, taratibu na kanuni, ukikiuka, unapewa kadi nyekundu unawekwa pembeni.
Serikali ya Zanzibar, ni serikali ya mseto, inaendeshwa na vyama viwili, CCM na ACT, ila watu wa ACT ndani ya GNU wanapaswa kutekeleza sera za CCM.
Serikali ya GNU japo ni serikali ya mseto, lakini inaongozwa na Ilani ya uchaguzi ya CCM, hivyo ACT ndani ya GNU ama wanatakiwa kuhubiri ilani ya uchaguzi ya CCM, na sera za CCM ama wanyamaze kimya, halafu wale ACT wengine nje ya GNU ndio wanaweza kuendelea kupiga siasa za ilani ya ACT!.
Ndani ya Serikali, kuna kitu kinaitwa a collective responsibilities, ukiishakuwa ndani ya serikali, huwezi kusema jambo lolote ambalo ni kinyume cha sera na ilani inayotawala ukabaki salama.
Maalim Seif alipokuwa ndani ya GNU, alinyamaza, hivyo Masoud Othman Masoud ama naye anyamaze, ama atoke nje ndio akaendelee kuhubiri kuuvunja huu muungano wetu adhimu!
Mtu aliyemo ndani ya serikali, hawezi kuyasema maneno kama haya
Kwa maoni yangu, huyu mtu anatakiwa awekwe pembeni, apate muda wa kutosha ajishughulishe na siasa, kwasababu ACT ndani ya GNU wanatakiwa kutekeleza Ilani na sera za CCM!
OMO ndie mgombea urais wa Zanzibar 2025 kupitia tiketi ya ACT, kwa hoja kama hizi, hiki kikiwa ndicho Zanzibar wakitakacho, nimeshauri na naendelea kushauri kuundwa tume ya maridhiano Zanzibar kabla ya uchaguzi ili huyu jamaa akishinda atangazwe, lakini isipoundwa, ikatokea huyu jamaa ndie kashinda, itabidi tufunike tena kombe kama 2015 maana JMT haiwezi kukubali watu ma radical kama huyu kukabidhiwa nchi, akikabidhiwa leo, kesho yake tuu atauvunja huu wetu adhimu na adimu!Wanabodi,
Mwanasheria huyu Mkuu wa Zanzibar, hebu msikilize hapa!.
Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOUD AUCHAMBUA MUUNGANO NA KATIBA MPYA
Paskali
Mambo ya wazanzibar waachieni wenyewe wazanzibar watanganyika hamtaki kuona Zanzibar iliyo salama mnafurahia migogoro Ili muendelee kututawalaWanabodi,
Politics is a game like any other games, that people plays, it has its rules and regulations, ukikiuka unaweka pembeni. Yaani mchezo wa siasa pia ni mchezo kama mchezo mwingine wowote, una sheria zake, taratibu na kanuni, ukikiuka, unapewa kadi nyekundu unawekwa pembeni.
Serikali ya Zanzibar, ni serikali ya mseto, inaendeshwa na vyama viwili, CCM na ACT, ila watu wa ACT ndani ya GNU wanapaswa kutekeleza sera za CCM.
Serikali ya GNU japo ni serikali ya mseto, lakini inaongozwa na Ilani ya uchaguzi ya CCM, hivyo ACT ndani ya GNU ama wanatakiwa kuhubiri ilani ya uchaguzi ya CCM, na sera za CCM ama wanyamaze kimya, halafu wale ACT wengine nje ya GNU ndio wanaweza kuendelea kupiga siasa za ilani ya ACT!.
Ndani ya Serikali, kuna kitu kinaitwa a collective responsibilities, ukiishakuwa ndani ya serikali, huwezi kusema jambo lolote ambalo ni kinyume cha sera na ilani inayotawala ukabaki salama.
Maalim Seif alipokuwa ndani ya GNU, alinyamaza, hivyo Masoud Othman Masoud ama naye anyamaze, ama atoke nje ndio akaendelee kuhubiri kuuvunja huu muungano wetu adhimu!
Mtu aliyemo ndani ya serikali, hawezi kuyasema maneno kama haya
Kwa maoni yangu, huyu mtu anatakiwa awekwe pembeni, apate muda wa kutosha ajishughulishe na siasa, kwasababu ACT ndani ya GNU wanatakiwa kutekeleza Ilani na sera za CCM!
Ushauri kama huu kumhusu mtu huyu huyu niliwahi kuutoa kule nyuma na ukatekelezwa, Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Hili la kila uchao mtu huyu kuuchokoa muungano hakuanza leo, na hakuna ubaya wowote kuuzungumzia muungano kwa jambo lolote alimradi hilo linalozungumzwa ni liwe la ukweli kuna siku aliongopa kuhusu sovereignity Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?
Hata Mama Samia akiwa VP aliwahi kushauri watu waachwe wa vent kuhusu muungano "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Kama watu waachwe huru kuujadili muungano ndiko huku kunakofanywa na huyu, na kunajumuisha kuwa huru kuujadili muungano negatively hara Kwa mtu uliye ndani ya GNU, then I doubt kama huku ni kuujadili muungano kwa nia ya kuuimarisha bali ni kuujadili muungano kwa nia ya kuuvunja.
Paskali
Mkuu dega , mimi ni mtanzania mzalendo muumini wa nchi moja ya JMT ambapo Zanzibar ni sehemu yetu, hivyo Zanzibar inanihusu sana, tena kama uko Zanzibar, tarehe 28 January hii njoo Zanzibar Serena, nikutambulishe shemeji yako, mfahamiane uheshimiane kwa kuoleana!.Mambo ya wazanzibar waachieni wenyewe wazanzibar watanganyika hamtaki kuona Zanzibar iliyo salama mnafurahia migogoro Ili muendelee kututawala
Pascal wewe si mzanzibar Kwa mujibu ya katiba yetu shughulikiia yanakuhusu yetu tuwachie wenyewe