King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
-
- #61
Ndio nani ??
“ A fool and his money are soon parted “ ~ Engish Proverb
Hivi huyu Dogo ndio yule wa ITV tangu kipindi kile ama
Huyo Dogo ndio nani?
Ni Mtangazaji wa EATV Kipindi Cha 5 Select ,Dance Mia Mia etc.
View attachment 711183
[emoji1] nimecheka hapo uliposema wahuni wakumpeleka leaders club akiwa kwenye box wapo wengi.Anakomaa kusema kua alikua hajalewa na hakua speed ila kwa watu wanamjua kua ni mshamba fulani toka Mwanza aliekomaa kutengeneza ID hapa mjini hawezi kuendesha kistaarabu kabisa ashukuru Mungu mtoa roho alikua busy hakumuona time ile analeta mbwembwe zake naamini atajifunza kitu maana wahuni wa kumbeba kumpeleka Leaders club akiwa kwenye box mbona wapo wengi tu.
Weusi wake unahusikaje hapo?Mnaosema kuna siku atapata cha mtema kuni, bora apate mwenyewe kuliko akiua watu. Watu wana familia zinawategemea, asijitie mweusi kama mkaa, 360 my ass.
aaah km anaweza race aje road za mikoa sio hpo town race unaendeshea wapHahaha mikoani nanyi mnataka kuonekana
Mentality ya ovyo sana hii.***** Sasa tunapishana
Kwenye daladala wote
Karbu sana
Hahahaha! eti taka.Hivi hawa watu wasiojulikana aka watekaji kwanini wasiziondoe taka ka hizi mjini...
Nimeiona clip yake alipovamia ofisi ya tigo akitukana wale staff...
Mpuuzi sana kijana huyu. Hivi hajui kama wanaweza mfunga kwa matusi yale...
Mpumbav sana.
Vle macho yako yanaonaMentality ya ovyo sana hii.
watu wanataka kuwa ma ken block na vi legacy vyao vilivyofanyiwa mappingkwenye profile lake imeandikwa "anapenda kuendesha gari kwa mwendo kasi" na jina lake 360 inatokana na "kuzungusha gari mduara" [emoji4][emoji38][emoji4]
hata mm ngeshoboka tuu... nione wowowo mbele yng afu nnajikubali kwnn nsiwe na shoboAlafu vurugu sio kwenye gari tu hata kwenye maisha yake ya kawaidaaa ,na anapenda kuonekana saaana akiwa sehemu za starehe na kujifanya yeye ndo yeye i remember tukiwa udsm siku tukawa tumetoka tuanenda samaki samki mcity basi alovyotuona jaman kaka ana shobo na misifa huyu sijapataa kuonaa
Ipo siku yatafumbaVle macho yako yanaona
yatendelea kuona hvo hvo
Hilo la kuchukua gar la shem sidhan kama linamuhusu huyu kijanaTatizo wakishachukuaga gari za shemeji zao ndo hufanyaga mbwembwe hizi hatar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu dogo ****** kweli et kesho naruka nayo hewani, kafanya eatv ya baba yake