Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Dogo anajua kuendesha gari ila majirani mumshauri aache sifa hasije kuacha mavi barabarani pia dogo ana baati yaani matusi jamaa wamemkaushia jamaa niwa vumilivu sana vinginevyo yangemkuta ya redio
 
**** huyu mtoto anawapiga watu mikwara, halafu kizembe tu wanamkaushia, watoto kama hawa ni wakuchangamkia, unamjaza heda moja kali unachanganya na ngumi 3 za uzito timilifu, lazima ashike adabu yake. Akikutana na watu ambao hatuna ustahamilivu wa kutukanwa na kudhalilishwa kiboya ataumia.
 
Tigo wamfungulie kesi bwege huyu, anaenda kutukana kama kaenda kwa mchepuko wake.......gari lenyewe mtumba huo analetea mbwembwe mjini.
 
Nyie ndio walewale shithole bit**.. Yani kumiliki gari ndio utajiri.. Kuajiriwa EATV mshahara wa laki kadhaa ndio utajiri.


Nina mashaka na uwezo wako wa akili. Tembea uone kuna watu hii hii Tanzania tena vijana around 30s account zao za bank zinasoma milion 500 mpaka 800 na hawana mbwembwe za kutaka kusababisha vifo vya wengine.

Wengi wanatoa lawama humu k a huyu dogo kwa sababu anayofanya yamaweza kuathiri wasiokuwa na hatia barabarani, kama angekuwa anayafanyia porini angeachwa afe kimpango wake.


Tembea uone kijana acha kujifungia dar unadhani kuwa na alteza au subaru legacy ndio utajiri. Kwa mtu mwenye hela baada ya hiyo ajali asingetoa hata povu next day angezama showroom au pale be toward kutungua ndinga mpyaaaaaa.
 
Nimesema mafanikio sio utajiri Dogo! Tbway ana subaru ya million 15 niliuliza na ninakuuliza tena Bongo hiii yenye watu millioni hamsini wangapi wanamiliki angalau piki piki ya millioni mbili? Hata million 5 hawafiki kati ya watu millioni hamsini Halafu unasema eti kuna madogo wana millioni 500 bank [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wenye m500 bank bongo hii Hata 2000 hawafiki sasa kwa Range hiyo mtu anayemiliki subaru unamfananisha na anagombania daladala? Aliyepanga sinza kodi kwa mwezi laki 6 unamfananisha na mtu mwenye miaka 38 anakaa kwa baba ake hivi una akili timamu wewe halafu unasema sio mafanikio? Maana yake ni masikini![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Shut the https://jamii.app/JFUserGuide up dogo Bongo hii Tbway tuna mgroup kwenye kundi la watu waliofanikiwa! Narudia tena *watu* waliofanikiwa maana nikisema vijana nitakuwa nakosea maana wapo wazee hata baiskeli hawana wanapambana na hali zao
 
Na usije ukasahau point tunayobishania ni mafanikio sasa usije ukachanganya madawa ukaleta pumba zingine ambazo hazipo hiyo habari ya Kuendesha hovyo hata mm binafsi siipendi nakubaliana na wote ila hapo kwenye mafanikio mnamuonea
 
Huyu Graduate wa Kampala International High School ndio mnamjadili humu? tafadhalini muwe na imani kwani ndio uwezo wake ulipoishia.
Kumshauri mpumbavu, ni kujitafutia balaa tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hatari sana
 
Mtoto wa kiume unatumia "Laughing Emoji" ni dalili mbaya. Ndio maana nimekuweka kundi moja na hao wakina Tbway.


Sas ngoja nikusasambue kama sio kukutapanya maana naona bado kichwa chako kina akili za kuvukia barabara.


Unadhani sinza nyumba zote ni laki 6????


Ulivyokuwa na kichwa chenye nywele badala ya akili umepoteza logic ya nilichokiandika na kumaanisha. Mimi nilimaanisha huyo "Mjusi kafiri" aache tabia ya kukimbiza magari hovyo ni hatari kwake ila ni hatari zaidi kwa watumiaji wengine wa barabara.

Kwa jinsi ulivyojibu ni either unakaa kwa dada yako au shemeji yako ndio maana unashangaa kukwambia kuna watu kwa age ya 30s wana "Mpunga" "Ukwasi" karibia milioni 500 kwenye account zao na hawana hizo mbwembwe. Panda gari hapo ubungo ukaone wakulima wa miti Iringa ndio utaelewa ninachokwambia. Na hiyo ni sehemu ndogo ya ushahidi ninayokupa wewe "Pwagu" .
 
Umeamia kwenye Emoji aisee Dogo mbona una panick? Wewe Tbway humfikiii kwa lolote ndo maana unaponda Mkemee asiendeshe gari hovyo ila sio unasema Dogo masikini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizi emoji naona zinakutekenya kinoma ngoja niongeze ***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]inauma sana dogo wa 1994 anakushinda kwa mafanikio unasingizia ulimbukeni ? Wewe ungekuwa unatype hapo hata kwa ka iphone 4 nahisi ungeandika sent by iphone ***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mrekebishe asiendeshe hovyo ila usimponde useme eti Tbway Masikini, Hivi unawajua masikini wewe ? Mtu anayesukuma subaru unamuita masikini_ je na wewe unaegombania daladala Mbagala tukuitaje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] 360 my a$$
 


Sasa mzee si useme tu kwamba wewe ndio nani nani 360....
 
We chizi kweli iphone ndio unaona ni simu za kujivunia wenzako tumeziweka ndani watoto wanachezea game

Wewe akili yako bado immatured.....
 
We chizi kweli iphone ndio unaona ni simu za kujivunia wenzako tumeziweka ndani watoto wanachezea game View attachment 712556

Wewe akili yako bado immatured.....
Ok tuhame kwenye magari tuhamie kwenye simu! Kwahyo unataka kufananisha iphone na Tecno au sio? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umasikini mbaya saana! By the way kipindi kinaanza muda si mrefu make sure unacheki EATV Brother 5 select Best show in Town
 
Vp una vinasaba vya upunga nini mbona kicheko cha kimbea ivo?
Wanakutifua wenzio nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…