Ushauri wa bure kwa Uongozi wa Yanga

Ushauri wa bure kwa Uongozi wa Yanga

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari wakuuu.

Uzi wangu utakuwa mfupi sana lakini wenye fikra na mawazo mapya kwa watu.

Msimu wa 2021-2022 Yanga imechukua;
Ubingwa wa Ngao ya Jamii
Kombe la Azam Sport
Ligi Kuu ya NBC

Imekuwa bingwa bila kupoteza mchezo wowote, hongera sana kwao. Japo Simba ndiyo ilikuwa ya kwanza kufanya hivi 2013 na miaka ya nyuma.

1. Msimu jana yanga walikuwa kwenye matengenezo ya timu yao, cha kushangaza na kustaajabisha MVP wa msimu uliyopita Yaniki Bangala aliyekuwa akicheza namba 6, kiungo wa ulinzi CDM, mkabaji n.k amehamishwa kutoka sehemu iliyompa kuwa mchezaji bora, yaani kiungo na kupelekwa nafasi ya beki wa kati.

2. Kosa la pili ni usajili wa wachezaji wengi mzimu huu kama Kambole, Kisinda, Morison, Bigilimana, Azizi Ki. Usajili huu haujafanyika kiufundi, umefanyika kisiasa, ki mihemuko ,janja janja na uhuni wa kishamba. Wachezaji wote hapo hawana msaada kwa Yanga.

3. Kumtegemea mchezaji mmoja tu: Yanga imepatwa na tatizo kubwa sana la kumtegemea mchezaji mmoja tuu Fiston Mayele. Fiston anataka afunge yeye, ashangilie yeye, acheze na jukwaa yeye. Hili tatizo limempelekea kupoteza nafasi nyingi sana za wazi.

4. Matatizo ya kiuongozi ambayo yako ndani ya uongozi; Manara, Senzo, Kamwe, Bumbuli, Privatus n.k.

5. Suluhisho;
i. Yanga imrudishe Bangala kiungo wa ulinzi.
ii. Yanga itafute beki wa kati mmoja.
iii. Yanga inatakiwa ipate mbadala mwenye ushindani na Mayele.
iv. Azizi ki, Kisinda, Morison, Bigilimana, Moloko, Makambo hawana msaada wowote.

NYUMA MWIKO MBELE MWIKO.
KESHO NJE.
 
Suluhisho..
i.Yanga imrudishe Bangala kiungo wa ulinzi.
Ii. Yanga itafute beki wa kati mmoja.
iiii. Yanga inatakiwa ipate mbadala mwenye ushindani na Mayele.
iv. Azizi ki, kisinda, Morison,Bigilimana, moloko, makambo.
HAWANA MSAADA WOWOTE.

NYUMA MWIKO MBELE MWIKO
KESHO OUT.
Tate Mkuu na redio fikisheni huu ushauri kwa Hersi.
 
Mbumbumbu akili zenu ni sawa na za inzi wa chooni kabisa, Unaweza kuniambia nyie usajili wenu wote umeklick? Ujui suala la usajili ni kama kamari? Unaweza kumsajili mchezaji ambae ni moto kwenye ligi yake lakini akashindwa kuclick kwenye ligi yako na pia unaweza kusajili mchezaji wa kawaida na akaclick kwenye ligi husika unalijua hilo? Unawalaumu yanga kwani ni asilimia ngapi ya usajili waliofanya aujawalipa? Nyie mbona amjisemi kina okwa, akpan, dejan, wamefanya nini mpaka sasa? Ukija kwenye uongozi unaousema yanga ndio timu yenye uongozi ambao uko stable na umenyooka kama rula unalinganishaje na uongozi wa makolo ulioparanganyika kila kona? Ndio maana rage aliwaita mbumbumbu, litimu lenu lina matatizo kibao badala ya kupeleka ushauri uko eti unawashauri yanga una akili sawasawa kweli wewe?
 
Habari wakuuu.
Uzi wangu utakuwa mfupi sana lakini wenye Fikra na mawazo mapya kwa Watu.

Msimu wa 2021-2022.
Yanga imechukua UBINGWA wa NGAO ya Jamii.
Kombe la AZAM sport.
Ligi kuu ya NBC.

IMEKUWA BINGWA BILA KUPOTEZA MCHEZO WOWOTE.
KONGOLE SANA KWAO
JAPO SIMBA NDIO ILIKUWA YA KWANZA KUFANYA HIVI 2013 NA MIAKA YA NYUMA.

1. Msimu Jana yanga WALIKUWA kwenye Matengenezo ya Timu Yao. Cha kushangaza na kustaajabu. MVP wa msimu ULIOPITA Yaniki Bangala aliyekuwa akicheza Number 6 kiungo wa ulinzi CDM,MKABAJI NK. amehamishwa kutoka sehemu iliyompa kuwa mchezaji Bora yani kiungo na kupelekwa nafasi ya beki wa kati.

2. KOSA LA pili ni usajili wa wachezaji wengi mzimu Huu kama
Kambole.
Kisinda.
Morison.
Bigilimana.
Azizi Kii.

Usajili Huu haujafanyika kiufundi, umefanyika kisaasa, ki MIHEMUKO janja janja na UHUNI wa KISHAMBA.
Wachezaji WOOTE hapo hawana msaada kwa yanga.


3. Kumtegemea mchezaji mmoja tu.
Yanga imepatwa na TATIZO kubwa Sana la kumtegemea mchezaji mmoja tuu Fiston Mayele.
Fiston anataka afunge yeye, ashangilie yeye, acheze na jukwaa yeye.
Hili TATIZO limempeleke kupteza nafasi nyingi sana za wazi.

4. Matatizo ya kiuongozi ambayo yako ndani ya uongozi.Manara, senzo, kamwe,Bumbuli,privatus nk.

5. Suluhisho..
i.Yanga imrudishe Bangala kiungo wa ulinzi.
Ii. Yanga itafute beki wa kati mmoja.
iiii. Yanga inatakiwa ipate mbadala mwenye ushindani na Mayele.
iv. Azizi ki, kisinda, Morison,Bigilimana, moloko, makambo.
HAWANA MSAADA WOWOTE.

NYUMA MWIKO MBELE MWIKO
KESHO OUT.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mbumbumbu fc hongereni Kwa usajili ambo mbaka Sasa hakuna mchezaji ambaye ame flop, Hongereni Kwakua na timu imara.
Ila Yanga wataendelea kumtumia uyouyo namba 9 mchoyo, Ili mradi mpaka Sasa mechi 43 bila kufungwa na tutaendelea kuwapasueni Kila tunapo kutana.
Tunakwenda kuchukua Tena vikombe vyote na mtaendelea kupasuka kama kawaida.
 
Sikio La Kufa hao...... Huku Kwetu uzaramuni huwa tunawaita HAAMBILIKI..! Hata Ukiwashauri Hawatakuelewa Labda Kikwete na Baba yake Manara Aingilie kati hapo....
1665836582756.png
 
Ila mbumbumbu bwana, kuwafunga de agosto ndio mnajiona wa maana sana, yaani ndio wakali wa kimataifa sio? Huyo de agosto alipigwa na namungo 6.
Mtaenda makundi, aibu tutaona watanzania.
 
Wewe una mavi kichwani,Simba alikula tano pale kongo kwa vita msimu uliofuata Simba akampasua vita pale kwao hapa utasemaje we kabwili
Ila mbumbumbu bwana, kuwafunga de agosto ndio mnajiona wa maana sana, yaani ndio wakali wa kimataifa sio? Huyo de agosto alipigwa na namungo 6.
Mtaenda makundi, aibu tutaona watanzania.
 
Yanga ni unbeaten ww hawapokei ushauri wowote mpaka mwiko uingie nyuma ndo watakubali team yao inashinda kwa figisu
 
Mbumbumbu akili zenu ni sawa na za inzi wa chooni kabisa, Unaweza kuniambia nyie usajili wenu wote umeklick? Ujui suala la usajili ni kama kamari? Unaweza kumsajili mchezaji ambae ni moto kwenye ligi yake lakini akashindwa kuclick kwenye ligi yako na pia unaweza kusajili mchezaji wa kawaida na akaclick kwenye ligi husika unalijua hilo? Unawalaumu yanga kwani ni asilimia ngapi ya usajili waliofanya aujawalipa? Nyie mbona amjisemi kina okwa, akpan, dejan, wamefanya nini mpaka sasa? Ukija kwenye uongozi unaousema yanga ndio timu yenye uongozi ambao uko stable na umenyooka kama rula unalinganishaje na uongozi wa makolo ulioparanganyika kila kona? Ndio maana rage aliwaita mbumbumbu, litimu lenu lina matatizo kibao badala ya kupeleka ushauri uko eti unawashauri yanga una akili sawasawa kweli wewe?
Kesho nje mwiko ndani mwiko tutaona nani kafanya technical signing na nani amefanya usajili kisiasa
 
Ila mbumbumbu bwana, kuwafunga de agosto ndio mnajiona wa maana sana, yaani ndio wakali wa kimataifa sio? Huyo de agosto alipigwa na namungo 6.
Mtaenda makundi, aibu tutaona watanzania.
Mmecheza na wahadzabe mechi zote dar mkajiona watabe hata watu walivyojaribu kusema ile ni team mbovu mliiona wanawadanganya sasa huu mwanzo tu show haijaanza na mnabahati mmekutuna na zalan mechi ya kwanza mngekutana na de agosto au nyasa big bullets mngekua mpo kigamboni mda huu mnavua samaki.
 
Kila mtu sasa hivi ni mchambuzi
Na kila mchambuzi anajua vizuri kuichambua Yanga [emoji169][emoji172]
Hongereni wachambuzi.
Mkuu de agosto wamelala hotel gani au uliishia airport mlipoenda kuwapokea hukufika hotel
 
yule mwana mwenye kibenchi yukowapi mshtueni alete benchi.
 
Back
Top Bottom