tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,398
- 3,691
De Agosto ndo wakina nani?Mkuu de agosto wamelala hotel gani au uliishia airport mlipoenda kuwapokea hukufika hotel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
De Agosto ndo wakina nani?Mkuu de agosto wamelala hotel gani au uliishia airport mlipoenda kuwapokea hukufika hotel
Wavuvi wa kigamboniDe Agosto ndo wakina nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikio La Kufa hao...... Huku Kwetu uzaramuni huwa tunawaita HAAMBILIKI..! Hata Ukiwashauri Hawatakuelewa Labda Kikwete na Baba yake Manara Aingilie kati hapo....
View attachment 2387906
We kumfunga zalan mechi zote kwa mkapa ndo ukajiona ushaingia makundi,na ukiludi mchangani unakutana na pyramid shilikishoIla mbumbumbu bwana, kuwafunga de agosto ndio mnajiona wa maana sana, yaani ndio wakali wa kimataifa sio? Huyo de agosto alipigwa na namungo 6.
Mtaenda makundi, aibu tutaona watanzania.
Ona uyu tahaira naye kwaiyo big bullets na hao Ihefu wa angola ndo unaona umekutana na timu za kutisha? De agosto na big bullets wana tofauti gani na ihefu? Mnakuwa na maneno meeengi kama wauza karanga wakati mmekutana na nyambore!Mmecheza na wahadzabe mechi zote dar mkajiona watabe hata watu walivyojaribu kusema ile ni team mbovu mliiona wanawadanganya sasa huu mwanzo tu show haijaanza na mnabahati mmekutuna na zalan mechi ya kwanza mngekutana na de agosto au nyasa big bullets mngekua mpo kigamboni mda huu mnavua samaki.
Kweli kabisa team ni zalan waliokuja na pick up team hata uwanja haina ndo ufananishe na de agosto na nyasa big bullets kweli yanga wenye akili ni wawili tuOna uyu tahaira naye kwaiyo big bullets na hao Ihefu wa angola ndo unaona umekutana na timu za kutisha? De agosto na big bullets wana tofauti gani na ihefu? Mnakuwa na maneno meeengi kama wauza karanga wakati mmekutana na nyambore!
Na hao Al Hilal walipigwa za kutosha na Simba sc😂Ila mbumbumbu bwana, kuwafunga de agosto ndio mnajiona wa maana sana, yaani ndio wakali wa kimataifa sio? Huyo de agosto alipigwa na namungo 6.
Mtaenda makundi, aibu tutaona watanzania.
Walipigwa nne Moja mkuuNa hao Al Hilal walipigwa za kutosha na Simba sc😂
Zalan sio team mkuu. Ni kikundi Cha wapanda ngamiaKweli kabisa team ni zalan waliokuja na pick up team hata uwanja haina ndo ufananishe na de agosto na nyasa big bullets kweli yanga wenye akili ni wawili tu
Labda bigirimana na kambole lkn wengine hao ni silaha muhimu za vitaHabari wakuuu.
Uzi wangu utakuwa mfupi sana lakini wenye fikra na mawazo mapya kwa watu.
Msimu wa 2021-2022 Yanga imechukua;
Ubingwa wa Ngao ya Jamii
Kombe la Azam Sport
Ligi Kuu ya NBC
Imekuwa bingwa bila kupoteza mchezo wowote, hongera sana kwao. Japo Simba ndiyo ilikuwa ya kwanza kufanya hivi 2013 na miaka ya nyuma.
1. Msimu jana yanga walikuwa kwenye matengenezo ya timu yao, cha kushangaza na kustaajabisha MVP wa msimu uliyopita Yaniki Bangala aliyekuwa akicheza namba 6, kiungo wa ulinzi CDM, mkabaji n.k amehamishwa kutoka sehemu iliyompa kuwa mchezaji bora, yaani kiungo na kupelekwa nafasi ya beki wa kati.
2. Kosa la pili ni usajili wa wachezaji wengi mzimu huu kama Kambole, Kisinda, Morison, Bigilimana, Azizi Ki. Usajili huu haujafanyika kiufundi, umefanyika kisiasa, ki mihemuko ,janja janja na uhuni wa kishamba. Wachezaji wote hapo hawana msaada kwa Yanga.
3. Kumtegemea mchezaji mmoja tu: Yanga imepatwa na tatizo kubwa sana la kumtegemea mchezaji mmoja tuu Fiston Mayele. Fiston anataka afunge yeye, ashangilie yeye, acheze na jukwaa yeye. Hili tatizo limempelekea kupoteza nafasi nyingi sana za wazi.
4. Matatizo ya kiuongozi ambayo yako ndani ya uongozi; Manara, Senzo, Kamwe, Bumbuli, Privatus n.k.
5. Suluhisho;
i. Yanga imrudishe Bangala kiungo wa ulinzi.
ii. Yanga itafute beki wa kati mmoja.
iii. Yanga inatakiwa ipate mbadala mwenye ushindani na Mayele.
iv. Azizi ki, Kisinda, Morison, Bigilimana, Moloko, Makambo hawana msaada wowote.
NYUMA MWIKO MBELE MWIKO.
KESHO NJE.
Babako alipon ule ugonjwa wa kuvuja mavi?Wewe una mavi kichwani,Simba alikula tano pale kongo kwa vita msimu uliofuata Simba akampasua vita pale kwao hapa utasemaje we kabwili
De agosto alipigwa 6 na namungoMmecheza na wahadzabe mechi zote dar mkajiona watabe hata watu walivyojaribu kusema ile ni team mbovu mliiona wanawadanganya sasa huu mwanzo tu show haijaanza na mnabahati mmekutuna na zalan mechi ya kwanza mngekutana na de agosto au nyasa big bullets mngekua mpo kigamboni mda huu mnavua samaki.
Mpaka January mtakua na kocha mpya.We kumfunga zalan mechi zote kwa mkapa ndo ukajiona ushaingia makundi,na ukiludi mchangani unakutana na pyramid shilikisho
Mpaka January mtakua na kocha mpya, huyo gurdiola mnene mtamkataaWalipigwa nne Moja mkuu
Kuna team gani mnayoiweza pale kati ya nyasa big bullets au de agosto au mnajifariji al hilal alikufa nne taifaDe agosto alipigwa 6 na namungo
Mpaka Sasa hao unaowasema wamesaidia maana wapo kwenye squad Na Hadi Sasa tunaongoza ligi Na pia champions league tumetanguliza mguu mmoja ndaniMbumbumbu akili zenu ni sawa na za inzi wa chooni kabisa, Unaweza kuniambia nyie usajili wenu wote umeklick? Ujui suala la usajili ni kama kamari? Unaweza kumsajili mchezaji ambae ni moto kwenye ligi yake lakini akashindwa kuclick kwenye ligi yako na pia unaweza kusajili mchezaji wa kawaida na akaclick kwenye ligi husika unalijua hilo? Unawalaumu yanga kwani ni asilimia ngapi ya usajili waliofanya aujawalipa? Nyie mbona amjisemi kina okwa, akpan, dejan, wamefanya nini mpaka sasa? Ukija kwenye uongozi unaousema yanga ndio timu yenye uongozi ambao uko stable na umenyooka kama rula unalinganishaje na uongozi wa makolo ulioparanganyika kila kona? Ndio maana rage aliwaita mbumbumbu, litimu lenu lina matatizo kibao badala ya kupeleka ushauri uko eti unawashauri yanga una akili sawasawa kweli wewe?
Reference za kijinga kutoka kwa wajinga, mlisema Al hilal kwa kuwa walifungwa na Simba 4, mtajipigia kama ngoma kwa kuwa mliifunga Simba, matokeo yake mnashindwa kuliongelea hilo,kweli nyie nyuma mna mwikoIla mbumbumbu bwana, kuwafunga de agosto ndio mnajiona wa maana sana, yaani ndio wakali wa kimataifa sio? Huyo de agosto alipigwa na namungo 6.
Mtaenda makundi, aibu tutaona watanzania.