Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Uchawa kama profession CHADEMA, ni marufuku!

2. Aanzishe vita dhidi ya ruzuku za vyama:



Vyama vyote viendeshwe na wanachama, si huu upigaji wa pesa za wananchi kwa jina lingine lolote!

"Pesa za ruzuku zielekezwe kwenye ajira mpya za vijana wanaohitimu masomo, itapendeza zaidi!"

3. Aanzishe vita kamili dhidi ya CCM kurejesha mali zote za wananchi ilizojimilikisha kinyemela. Mfano CCM ilijenga lini vikiwamo viwanja vya Mpira Kirumba, nk?

4. Aangilie safu ya kueleweka "kumaanisha no, election no reforms" kwa maana yake halisi.

Naam:

"Mbona safari yetu kuelekea 'Canaan' kunako nchi ya maziwa na asali, ndiyo inaanza kunukia?"

Kumbe Mungu atupe nini tena Yarabi?

"Freeman Aikaeli Mbowe - fungua njia, kitoto chaanza tambaa .. ! 🎼🎵" -- King Kikki Kikumbi Mwanza Mpango (rip).
 
1. Uchawa kama profession CDM, ni marufuku!

2. Aanzishe vita dhidi ya ruzuku:

View attachment 3202766

Vyama tutaendesha wanachama si huu upigaji!

3. Aanzishe vita kamili dhidi ya CCM kurejesha mali zote za wananchi ilizojimilikisha kinyemela.

4. Aangilie safu ya kueleweka "kumaanisha no election no reforms" kwa maana yake halisi.

Naam:

"Mbona safari yetu kuelekea 'Canaan' kunako maziwa na asali, ndiyo inaanza kunukia?"

Kumbe Mungu atupe nini tena Yarabi?

"Freeman Aikaeli Mbowe - fungua njia, kitoto chaanza tambaa .. ! 🎼🎵" -- King Kikki Mwanza Mpango (rip).
0km mpya zinawatia uchungu sana gentleman :pedroP:

siasa ni mipango isiyo na wivu gentleman
 
0km mpya zinawatia uchungu sana gentleman :pedroP:

siasa ni mipango isiyo na wivu gentleman

Tunakuja, kitoto chaanza tambaa. Mbona mtavitapika vitega uchumi vyote vikiwamo viwanja vya mipira mikoani kote?
 
Tunakuja, kitoto chaanza tambaa. Mbona mtavitapika vitega uchumi vyote vikiwamo viwanja vya mipira mikoani kote?
kibaraka hana mimba gentleman kile ni kitambi :pedroP:

kama anatapika huenda ni amekula uchafu tu
 
Sasa hapa ndio unaona umuhimu wa fedha kwenye shughuli za kisiasa mkuu..

Tusubir jamaa etu ashinde tuone..

Mara nyingi hisia zikizidi uhalisia ni kufeli

Umeona, vyama huendeshwa kwa ada za wananchi!

Hivi 10m+ members buku buku kwa mwaka ni shs ngapi?

Wapi umeona naongelea pesa za mtu? Pesa zipi kwanza?

Au hizi hizi wanazopora za join the chain na CDM digital?
 
Umeona vyama huendeshwa kwa ada za wananchi?

Hivi 10m+ members buku buku kwa mwaka ni shs ngapi?

Wapi umeona naongelea pesa za mtu? Pesa zipi kwanza?

Au hizi hizi wanazopora za join the chain na CDM digital?
10M members wakupe hela ili ule wao walale njaa😅😅
 
10M members wakupe hela ili ule wao walale njaa😅😅

Ada Kwa wanachama?

Hilo mbona jambo la hiari?

Michango iko Simba na Yanga, sembuse kutoka kwa wabangaizaji waliodhamiria kujikomboa?

GflRcI0WsAAt-yv.jpeg


Akwendreee yeyote anayejiona tajiri aione nguvu ya wabangaizaji na asishangae kuwa huendq tunazo rasilimali nyingi zaidi kuliko hata yeye!

Kwani huyu ndugu yeye ni nani, wapi? Kwani yeye ndiye Elon Musk au Bill Gates? Au kwenye Forbes anashika namba gani?

Bure kabisa!
 
Ada Kwa wanachama?

Hilo mbona jambo la hiari?

Michango iko Simba na Yanga, sembuse kutoka kwa wabangaizaji waliodhamiria kujikomboa?

View attachment 3202804

Akwendreee yeyote anayejiona tajiri aione nguvu ya wabangaizaji na asishangae kuwa huendq tunazo rasilimali nyingi zaidi kuliko hata yeye!

Kwani huyu ndugu yeye ni nani, wapi? Kwani yeye ndiye Elon Musk au Bill Gates? Au kwenye Forbes anashika namba gani?

Bure kabisa!
Simba na Yanga hujui kila mmoja ana bilionea wake?
 
1. Uchawa kama profession CHADEMA, ni marufuku!

2. Aanzishe vita dhidi ya ruzuku za vyama:

View attachment 3202766

Vyama vyote viendeshwe na wanachama, si huu upigaji wa pesa za wananchi kwa jina lingine lolote!

Pesa za ruzuku zielekezwe kwenye ajira mpya za vijana wanaohitimu masomo itapendeza zaidi

3. Aanzishe vita kamili dhidi ya CCM kurejesha mali zote za wananchi ilizojimilikisha kinyemela. Mfano CCM ilijenga lini vikiwamo viwanja vya Mpira Kirumba, nk?

4. Aangilie safu ya kueleweka "kumaanisha no, election no reforms" kwa maana yake halisi.

Naam:

"Mbona safari yetu kuelekea 'Canaan' kunako nchi ya maziwa na asali, ndiyo inaanza kunukia?"

Kumbe Mungu atupe nini tena Yarabi?

"Freeman Aikaeli Mbowe - fungua njia, kitoto chaanza tambaa .. ! 🎼🎵" -- King Kikki Mwanza Mpango (rip).
Haya atafanya akipata uraisi mzee baba
 
Je, utajitokeza kwenye maandamano barabarani? Au unaishia kutoa maelekezo kwa keyboard tu?
 
Back
Top Bottom