Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

Alikuwa Raisi wa TLS nini cha maana au mabadiliko gani aliyafanya.
 
Naomba kujuzwa ruzuku inatolewa kwa misingi gani?

Tatizo ni kuwa tumekuwa hatuna vyama vya upinzani zaidi ya wapinzani maslahi.

Kulikoni wasiokuwamo kuchangia vyama? Kulikoni kodi ya asiye mwana CCM kwenda CCM kwa sababu yoyote Ile?

Utararibu huu haufai na haukubaliki.

Tatizo, vipi wajasilia siasa kuupinga?

Umekaa kama zile posho na marupurupu bungeni ambako CCM na upinzani maslahi huwa lao moja!
 
Tatizo ni kuwa tumekuwa hatuna vyama vya upinzani zaidi ya wapinzani maslahi.

Kulikoni wasiokuwamo kuchangia vyama? Kulikoni kodi ya asiye mwana CCM kwenda CCM kwa sababu yoyote Ile?

Utararibu huu haufai na haukubaliki.

Tatizo, vipi wajasilia siasa kuupinga?

Umekaa kama zile posho na marupurupu bungeni ambako CCM na upinzani maslahi huwa lao moja!
Nilikuwa nataka formula.
 
Alikuwa Raisi wa TLS nini cha maana au mabadiliko gani aliyafanya.

Kwani wewe ni mjumbe TLS kujua hakufanya jambo? Au weye ulitaka afanye lipi labda hata kama jiwe angekuwa kizingiti?
 
Natabiri Lisu akishinda chadema itavurugukia pakubwa sana hao ambao leo wanasema ni marafiki wa Lisu watagombana nae wote kwasababu ya misimamo yake Lisu hana tofauti na Magufuli. Mbowe kwa busara ajitenge na siasa kwa muda awaachii tu siku wenyewe watasema bora Mbowe.
 
Natabiri Lisu akishinda chadema itavurugukia pakubwa sana hao ambao leo wanasema ni marafiki wa Lisu watagombana nae wote kwasababu ya misimamo yake Lisu hana tofauti na Magufuli.

Kwani wewe ni nabii Tito?

Hebu tabiri hii, tuone kama utapatia:

"Vipi mwamba atatokea mdahalo?"
 
1. Uchawa kama profession CHADEMA, ni marufuku!

2. Aanzishe vita dhidi ya ruzuku za vyama:

View attachment 3202766

Vyama vyote viendeshwe na wanachama, si huu upigaji wa pesa za wananchi kwa jina lingine lolote!

"Pesa za ruzuku zielekezwe kwenye ajira mpya za vijana wanaohitimu masomo, itapendeza zaidi!"

3. Aanzishe vita kamili dhidi ya CCM kurejesha mali zote za wananchi ilizojimilikisha kinyemela. Mfano CCM ilijenga lini vikiwamo viwanja vya Mpira Kirumba, nk?

4. Aangilie safu ya kueleweka "kumaanisha no, election no reforms" kwa maana yake halisi.

Naam:

"Mbona safari yetu kuelekea 'Canaan' kunako nchi ya maziwa na asali, ndiyo inaanza kunukia?"

Kumbe Mungu atupe nini tena Yarabi?

"Freeman Aikaeli Mbowe - fungua njia, kitoto chaanza tambaa .. ! 🎼🎵" -- King Kikki Kikumbi Mwanza Mpango (rip).
Lisu alinusurika kuuwawa ili atimize mpango wa Mungu kulikomboa taifa dhidi ya mafisadi wa Ccm.
 
Chama gani braza? Labda Chama wa Yanga.
 
Back
Top Bottom