Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

Simba na Yanga hujui kila mmoja ana bilionea wake?

Hatuwahitaji mabilionea uchwara kufanikisha ukombozi wetu.

Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe!

Labda hai unaowaita mabilionea wako, huko kwenye Forbes wanayo nafasi gani hum ndugu?

SI kuwa hai ni matapeli tapeli wenye kujipatia vipesa vya Abduli na kutuibia ruzuku, pesa za CDM digital, na michango ya wananchi?

Anayejitolea vipi kudai alikikopesha chama?

Hawa wengineo mbona ni vibaka tu kama wowote wa kuku na huenda ndiyo maana hata kung'atuka imekuwa mtihani?

Aling'atuka Biden sembuse huyu anayesubiri kufurushwa kwenye ballots?
 
1. Uchawa kama profession CHADEMA, ni marufuku!

2. Aanzishe vita dhidi ya ruzuku za vyama:

View attachment 3202766

Vyama vyote viendeshwe na wanachama, si huu upigaji wa pesa za wananchi kwa jina lingine lolote!

Pesa za ruzuku zielekezwe kwenye ajira mpya za vijana wanaohitimu masomo itapendeza zaidi

3. Aanzishe vita kamili dhidi ya CCM kurejesha mali zote za wananchi ilizojimilikisha kinyemela. Mfano CCM ilijenga lini vikiwamo viwanja vya Mpira Kirumba, nk?

4. Aangilie safu ya kueleweka "kumaanisha no, election no reforms" kwa maana yake halisi.

Naam:

"Mbona safari yetu kuelekea 'Canaan' kunako nchi ya maziwa na asali, ndiyo inaanza kunukia?"

Kumbe Mungu atupe nini tena Yarabi?

"Freeman Aikaeli Mbowe - fungua njia, kitoto chaanza tambaa .. ! 🎼🎵" -- King Kikki Mwanza Mpango (rip).
Hoja MURUA kabisa, na hasa ruzuku zifutwe kabisa kabisaaa.
 
Je, utajitokeza kwenye maandamano barabarani? Au unaishia kutoa maelekezo kwa keyboard tu?

Akiita yule mwamba wa CCM iko hivi:

Gg1mKSLWYAAyvA9.jpeg


Alipo Lissu, wabangaizaji tupo:

GflRcI0WsAAt-yv.jpeg


Habari ndiyo hiyo!
 
1. Uchawa kama profession CHADEMA, ni marufuku!

2. Aanzishe vita dhidi ya ruzuku za vyama:

View attachment 3202766

Vyama vyote viendeshwe na wanachama, si huu upigaji wa pesa za wananchi kwa jina lingine lolote!

Pesa za ruzuku zielekezwe kwenye ajira mpya za vijana wanaohitimu masomo itapendeza zaidi

3. Aanzishe vita kamili dhidi ya CCM kurejesha mali zote za wananchi ilizojimilikisha kinyemela. Mfano CCM ilijenga lini vikiwamo viwanja vya Mpira Kirumba, nk?

4. Aangilie safu ya kueleweka "kumaanisha no, election no reforms" kwa maana yake halisi.

Naam:

"Mbona safari yetu kuelekea 'Canaan' kunako nchi ya maziwa na asali, ndiyo inaanza kunukia?"

Kumbe Mungu atupe nini tena Yarabi?

"Freeman Aikaeli Mbowe - fungua njia, kitoto chaanza tambaa .. ! 🎼🎵" -- King Kikki Mwanza Mpango (rip).
1. Tundu Lissu...dereva
2. Heche....dereva msaidizi
3. Lema. ...Mpishi
Mbona kutachimbika?
 
Ada Kwa wanachama?

Hilo mbona jambo la hiari?

Michango iko Simba na Yanga, sembuse kutoka kwa wabangaizaji waliodhamiria kujikomboa?

View attachment 3202804

Akwendreee yeyote anayejiona tajiri aione nguvu ya wabangaizaji na asishangae kuwa huendq tunazo rasilimali nyingi zaidi kuliko hata yeye!

Kwani huyu ndugu yeye ni nani, wapi? Kwani yeye ndiye Elon Musk au Bill Gates? Au kwenye Forbes anashika namba gani?

Bure kabisa!
Wabangaizaji oyeeee, mdogomdogo tutafika.Mbowe alilipiwa faini ya milioni 70 na wabangaizaji, kasahau
 
Wabangaizaji oyeeee, mdogomdogo tutafika.Mbowe alilipiwa faini ya milioni 70 na wabangaizaji, kasahau

Fortilo kumbe zile pesa zikikusanywa Kwa wabangaizaji zikaishia wapi?

Au ukimaanisha anayejinasibu kuwa nacho ASTAHIKI yake ni kuongezewa?
 
CCM mnajua wazi kuwa CHAMA chini ya Lissu kitageuka kuwa kikundi cha kiharakati mtakachoweza kukidhibiti kirahisi.

Haya danganyaneni wenyewe, mwamba CCM na machela yenu:

GgorHp4XUAAE0_u.jpeg


Ila ukweli mnaujua nyote!

Ukweli mchungu:

GgorHp4XUAAE0_u.jpeg


"Zion train is coming our way!" -- Bob Marley (RIP).
 
Back
Top Bottom