Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

Simba na Yanga hujui kila mmoja ana bilionea wake?

Hatuwahitaji mabilionea uchwara kufanikisha ukombozi wetu.

Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe!

Labda hai unaowaita mabilionea wako, huko kwenye Forbes wanayo nafasi gani hum ndugu?

SI kuwa hai ni matapeli tapeli wenye kujipatia vipesa vya Abduli na kutuibia ruzuku, pesa za CDM digital, na michango ya wananchi?

Anayejitolea vipi kudai alikikopesha chama?

Hawa wengineo mbona ni vibaka tu kama wowote wa kuku na huenda ndiyo maana hata kung'atuka imekuwa mtihani?

Aling'atuka Biden sembuse huyu anayesubiri kufurushwa kwenye ballots?
 
Haya atafanya akipata uraisi mzee baba

Ndiko tunakoelekea, ila hata hili la chawa CDM ambako ni kipaumbele?

Hata kupiga kelele? Kutengeneza timu sahihi ya mambano nako pia?!
 
Hoja MURUA kabisa, na hasa ruzuku zifutwe kabisa kabisaaa.
 
Je, utajitokeza kwenye maandamano barabarani? Au unaishia kutoa maelekezo kwa keyboard tu?

Akiita yule mwamba wa CCM iko hivi:



Alipo Lissu, wabangaizaji tupo:



Habari ndiyo hiyo!
 
1. Tundu Lissu...dereva
2. Heche....dereva msaidizi
3. Lema. ...Mpishi
Mbona kutachimbika?
 
🀣🀣🀣🀣🀣
Aibu sana.
Tatizo atawaambia nini waliomtuma na kumuwezesha🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣
Aibu sana.
Tatizo atawaambia nini waliomtuma na kumuwezesha🀣🀣🀣

Kwamba aina za kina Fortilo, Erythrocyte's, fazili, LIKUDi na wenzao bongo zime shutdown hata kufikiria kama binadamu wamegoma, kama vipi uhayawani wa kina Tlaatlaah acha uchukue nafasi yake?

Kwamba kipi wenzetu Hawa hawaoni hapo?

Bure kabisa!
 
Wabangaizaji oyeeee, mdogomdogo tutafika.Mbowe alilipiwa faini ya milioni 70 na wabangaizaji, kasahau
 
Wabangaizaji oyeeee, mdogomdogo tutafika.Mbowe alilipiwa faini ya milioni 70 na wabangaizaji, kasahau

Fortilo kumbe zile pesa zikikusanywa Kwa wabangaizaji zikaishia wapi?

Au ukimaanisha anayejinasibu kuwa nacho ASTAHIKI yake ni kuongezewa?
 
CCM mnajua wazi kuwa CHAMA chini ya Lissu kitageuka kuwa kikundi cha kiharakati mtakachoweza kukidhibiti kirahisi.

Haya danganyaneni wenyewe, mwamba CCM na machela yenu:



Ila ukweli mnaujua nyote!

Ukweli mchungu:



"Zion train is coming our way!" -- Bob Marley (RIP).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…