Ushauri wa bure: Never share your nude pictures or videos by the pretext of love at any cost

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Una muhaho na mimi,, kaniamini mimi unaumia wewe,, kaka eeh hebu niache,, halafu sitafuti kuheshimiwa humu nimetoa mchango wangu, sijakulazimisha uamini nachoandika mbona kuwashwashwa,,,, unastaajabisha
 
Huyo dem ni kiaz
Unarudiana na ex na kufanya mapenzi bila kinga kisa nude pics πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kizazi hiki kuna mtu wa kushangaa uchi wa mtu kweli labda watoto wa 12yrs wengine wote wameshazizoea kuona hakuna jipya
Kuona uchi na kuonanjinsi uchi huo unapelekewa moto ni vitu viwili tofauti
 
Kuona uchi na kuonanjinsi uchi huo unapelekewa moto ni vitu viwili tofauti
Hakuna jipya kiongozi ndio maana unaona kuna watu wanafahamika sex tapes zao na bado wanaendelea na mishe zao mtaani kama kawaida
 
Kwani Bwana harusi alimkuta mchumba wake bikira? Na walikubaliana kuwa wote wawe bikira na hawakuwahi kuwa na mahusiano kabla ili waoane? Ukisikia ujuha ndio huu! Huyo bibie hakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kumuogooa huyo jamaa yake wa mwanzo, kwani bado picha anazo na anaweza kumuanika hata sasa.
Alipaswa kumshitaki, na ushahidi anao!
 
Nakunyoosha vizuri tu. Nazisambaza na kuniona hutoniona. Unadhani ntasambaza afu nikae nyumba ya pili?

All in all huyo dada fala tu angandaa polisi akamatwe kama kuku.
Ile uliyonitumia kunitishia nayo, ndiyo ushahidi wa kukushitaki, sasa kama utahama nchi hiyo ni juu yako, Ila polisi watakusaka, sio Mimi.
 
Mzee unataka connectn ya hizo vitu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we bado teen nn
Wewe nipenconnection wa wao warembo wanaotaka kurekodiwa tutengeneze sextapes...nataka kuanza utafiti wakujua ni katika angle gani bolo linabidi lizamishwe kwenye mbususu ili mwanaume asiwahi kumwaga
 
Wewe nipenconnection wa wao warembo wanaotaka kurekodiwa tutengeneze sextapes...nataka kuanza utafiti wakujua ni katika angle gani bolo linabidi lizamishwe kwenye mbususu ili mwanaume asiwahi kumwaga
Nilikua namaanisha wapo watu wanafahamika baadhi video zao zilivuja mitandaoni lkn maisha yanaendelea kama kawaida
Sina haja ya kuwataja hapa maana wanafahamika
 
Sister umeongea vizuri,, postively,, maana kumkubalia masharti ya kile anachotaka huyo anaekufanyia bullying ndo unakuwa umempa kiburi cha kuendelea kukutumia zaidi,, na ataenda kufanya kwa mwingine,, kwahiyo ukiharibu pahala ni kuwa jasiri na kupambana na uhalisia,,tu Kuna mdau mmoja kasema hivi Kuna asiejua uchi dunia hii labda awe mtoto wa miaka 12,,

Kiufupi nimeona mengi sana
 
Kwa hakika ingawa ni jambo la kumwomba Mungu maana inatisha to think of your beloved mom, dad, siblings and all the chain down to friends and relatives!!!!!

Najihisi naweza kutafuta mafia anisaidie kutoa uhai wa mtu au Afande anisaidie kumpa kesho ya unyang'anyi wa kutumia silaha au hata kukutwa na Heroin.....

Roho ya mbwa mwitu kabisa!!!!

Inaumiza sana unamkuta mtu yuko smart na anajiamini lakini kwa sababu ya hizi picha anageuzwa mtumwa....

😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 

Ni kweli mkuu...ni aibu sana, for a moment unatamani usingekua na ndugu,wazazi, siblings ... sababu unaweza kuwa strong una survive lakini ukifikiria jinsi hao ndugu zako wanavyoumia kwa kumuona ndugu yao akidhalilishwa unaumia zaidi.....

Ni kweli tena mtu anaweza kuwa smart anajiamini ila this whole experience can left her shaken, tuwalinde wadogo zetu hasa wa chuo..maanake huko ndiko kuna uhuru kwa vijana wadogo ku experiment a lot of things, tuwaongoze wasiwe victims wa huu upuuzi, na bahati mbaya ikitokea then pia tuwaongoze wasichukua hatua ngumu kama kujiua ama kutafuta kitu cha kupunguza maumivu kama pombe au madawa ya kulevya
 

Bado tu kuna watu hawajui kuwa matendo ya leo lazima yataathiri kesho yako iwe kwa faida au hasara,bado wanashindwa kufikiri sawa sawa!.
 
angetoa taarifa polisi halaf ndo angempanga kusex
 
Mm hata mapenzi yakoleajeeeee, picha ya pamojaaa sipigiiiiii ng'oooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…