THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
No that's too harsh, I have nothing absolutely to say. Ila ipo njia aonayo mtu ni salama nayo ni njia ya mauti.I wish he could have been killed ili dunia ibaki mahali salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No that's too harsh, I have nothing absolutely to say. Ila ipo njia aonayo mtu ni salama nayo ni njia ya mauti.I wish he could have been killed ili dunia ibaki mahali salama
Uko na kimhemhe cha ndoa halafu linakatiza hilo, mtu aweza kujitoa uhai!! Bullying is very challenging in this digital age we're living in nowNo that's too harsh, I have nothing absolutely to say. Ila ipo njia aonayo mtu ni salama nayo ni njia ya mauti.
Wewe sio wanawake wote ni mapoyoyo,, mi sio aina hiyo kabisaNyie sii ndio mnalalamika kuwa wanaume wakuwapelekea moto wamepungua ukimpata unatakiwa ukae nae benet....
Eti eeh,, Sina muda wa kukuaminisha kuwa siko hivyo kwahiyo waweza niwazia utakavyo,,Wadada wa hivi ndo unakuta walaini kwa ma-ex balaa.Ndo wale wa MUME WANGU KAINGIA,NTAKUPIGIA BAADAE-Weusi.
Bora umwambieWewe sio wanawake wote ni mapoyoyo,, mi sio aina hiyo kabisa
Hamna mwanamke ambaye sio poyoyo kwa mgegedo jamani....mbona mgekiwa sio mapoyoyo tusingekuwa tunawagegeda kabla ya ndoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe sio wanawake wote ni mapoyoyo,, mi sio aina hiyo kabisa
Marie,Uko na kimhemhe cha ndoa halafu linakatiza hilo, mtu aweza kujitoa uhai!! Bullying is very challenging in this digital age we're living in now
Upoyoyo naozungumzia ni wa kuhusu mada hii,,Hamna mwanamke ambaye sio poyoyo kwa mgegedo jamani....mbona mgekiwa sio mapoyoyo tusingekuwa tunawagegeda kabla ya ndoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au wee upoyoyo unaozungumzia ni upi
Ah huu upoyoyo wakurekodiwa...Upoyoyo naozungumzia ni wa kuhusu mada hii,,
Halafu una tabia ya kuhamisha mada, na kupenda ubishi Sana Sina muda huo kwa Sasa,,, goodbye
Hilo siyo jina halisi la huyo gaidi.Hawa kina Inno Hawa ni shida sana
Tena hao ndio wanawarekodi vizuri maana wnaweka mzigo tuu mezaniKwamba hawa wa 35+ hawana huo ujinga au sijaelewa?
Polisi siku 8 kabla ndoa ingeota mbawa; mwoaji si angeuliza vipi huko polisi kulikoni? Jibu kuna jamaa ana picha zangu za uchi, sasa nani ataoa hapo😁Angeenda police akaripoti nakueleza yote angesaidiwa amegawa uchi kizembe sana
Asipokuwa makini uyo mpuuzi atamrudia akitaka amzalie
Ndio mana nilimuuliza jamaa huko juu, nadhan inafatana na kujitambua kwa mtu. Huu upuuzi naona hata watu wazima wanao.Tena hao ndio wanawarekodi vizuri maana wnaweka mzigo tuu mezani
Upuuzi vipi tena besty....hiyo ndio raha.Ndio mana nilimuuliza jamaa huko juu, nadhan inafatana na kujitambua kwa mtu. Huu upuuzi naona hata watu wazima wanao.
Usiaminiamini kirahisi mkuu,tambua huyo unayedhani ni mtu mwenye msimamo na anajitambua,kuna mdau au wadau wanamuona vile wanavyomuona,yaani kwa udhaifu wake,wanamdharau kinoma,muulize tu kama tendo la ndoa kaanzia ndani ya ndoa au kabla.Ukute hata hajaolewa.Duuh, hapa kweli Innocent asingefua dafu(mzigo)😁
Kwangu ni big NO.Upuuzi vipi tena besty....hiyo ndio raha.
Kwanza inaboresha ufanishi wa tendo...lazima ufanya analysis ya mechi ili kuboresha mambo kwenye next game