Uchaguzi 2020 Ushauri wa dharura kwa CHADEMA juu ya Wapiga kura hewa na vituo hewa vya kupigia kura

Uchaguzi 2020 Ushauri wa dharura kwa CHADEMA juu ya Wapiga kura hewa na vituo hewa vya kupigia kura

CCM ni chuo cha dhuluma ila safari hii ni LAZIMA waumbuke tu.
 
Kufuatia kubandikwa kwa majina ya Wapiga kura kwenye Vituo vya kupigia kura, imebainika kuna Wapiga kura hewa(Ghost voters) na Vituo hewa vya kupigia Kura(Ghost Voters stations).Hii ni katika mbinu za kufanikisha Ushindi wa Chama TAWALA CCM...
MiCCM ni mijitu mitutusa na mipuuzi sana. Kama kweli imefanya mambo yanayoonekana kwa wananchi, inahangaika nini kuiba kura? Mipuuzi mikubwa!
 
Kufuatia kubandikwa kwa majina ya Wapiga kura kwenye Vituo vya kupigia kura, imebainika kuna Wapiga kura hewa(Ghost voters) na Vituo hewa vya kupigia Kura(Ghost Voters stations).Hii ni katika mbinu za kufanikisha Ushindi wa Chama TAWALA CCM...
Mnyika anapambana sana kurekebisha haya
 
Kufuatia kubandikwa kwa majina ya Wapiga kura kwenye Vituo vya kupigia kura, imebainika kuna Wapiga kura hewa(Ghost voters) na Vituo hewa vya kupigia Kura(Ghost Voters stations).Hii ni katika mbinu za kufanikisha Ushindi wa Chama TAWALA CCM...
Chadema mmesikia ? Fanyieni kazi ushauri huu na mufanye tuwaone online TV
 
Watu waanza Kumkana Lissu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] Ukiona Watu waliokuwa wanakimbia kwenye msafara Wa Lissu wanaanza kumkana kwamba hafai kuwa Rais jiulizeni sana Kwanini.

Niko Mwanza huku Lissu alipokuja Kuna mshikaji wangu niliwahi kufanya nae kazi, Nilimwona akiwa kavua shati akiwa kwenye msafara Wa Lissu kabeba ba Bendela. Leo nimweoma hapa Rock city more namwambia Nilikuona Kwenye Msafara Wa Rais ,jamaa akasema Rais Gani hajielewi Anasema uwongo,anapinga kila kitu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] nikasema safi watu wameenza kuelewaaaa KUWA LISSU NI MUHUNI
Unapumuliwa kisogoni nahisi tulieni dawa iwa penye 28
 
Watu waanza Kumkana Lissu😂🤣😂🤣🤣 Ukiona Watu waliokuwa wanakimbia kwenye msafara Wa Lissu wanaanza kumkana kwamba hafai kuwa Rais jiulizeni sana Kwanini.

Niko Mwanza huku Lissu alipokuja Kuna mshikaji wangu niliwahi kufanya nae kazi, Nilimwona akiwa kavua shati akiwa kwenye msafara Wa Lissu kabeba ba Bendela. Leo nimweoma hapa Rock city more namwambia Nilikuona Kwenye Msafara Wa Rais ,jamaa akasema Rais Gani hajielewi Anasema uwongo,anapinga kila kitu😂🤣😂🤣 nikasema safi watu wameenza kuelewaaaa KUWA LISSU NI MUHUNI
🤡
 
Mkuu dalili zote zinaonyesha kuwa umeridhika na dhuluma ndio maana umekuja na kauli hii.
Swala sio kuridhika au kutokuridhika
Swala ni uhalisia...
Nani mwenye akili timamu anaweza kupeleka timu yake ya Soka kucheza fainali za kombe la dunia huku akijua muamuzi ni mchezaji wa timu pinzani???
Labda TUNDU LISSU
 
Swala sio kuridhika au kutokuridhika
Swala ni uhalisia...
Nani mwenye akili timamu anaweza kupeleka timu yake ya Soka kucheza fainali za kombe la dunia huku akijua muamuzi ni mchezaji wa timu pinzani???
Labda TUNDU LISSU
Kwahiyo Mkuu unatarajia mambo yanabadilika kwa kukaa pembeni ukiomba wakupe utakacho?
 
Kwahiyo Mkuu unatarajia mambo yanabadilika kwa kukaa pembeni ukiomba wakupe utakacho?
Muda na pesa nyingi sana wametumia kwa kampeni huku wakijua hii ni Impossible Mission!!
Kuliko kampeni ilikua ni kushinikiza Tume huru
 
CCM bado wanatumia mbinu za kizamanii... hawabadiliki.

Kinachoonekana NEC na ZEC wanakwenda kuaibika mno mbele ya macho ya watanzania... ndiyo maana hata kutoa daftari la kudumu kwa vyama vya siasa ambao ndiyo wadau wakuu wa uchaguzi ilikuwa kwa mbinde.
Nawaona chama CDM lialia wazee wa ku predict katika ubora wenu. Mwaka huu mtanyooshwa kimbunga cha kutisha.

Maana Magufuri ni Tanzania na Tanzania Magufuri. Antipas Lisu akipata 20% akatambike. Maana ninavyo ona afadhari Mzee Lowasa alijitahidi akambulia 40%
 
Yaani CCM ni hatari sana kwa demokrasia ya nchi , wewe mpaka hili limama nalo jizi la kura huwezi kuamini .
IMG_20201017_140103.jpg
IMG_20201017_140237.jpg
 
Safi Sana ila wapinzani wa Tanzania ni wapuuzi Sana
Hata mimi ni Mtanzania japokua naishi abroad
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda kushindana masumbwi na mtu huyo huyo Ndio ref?
Sasa wapinzani wanalia nini
Waambie wapeleke ujinga mbali wamepotezea Watanzania muda kwenye kampeni Bure bure!!!
I hate oppositions leaders in the country I call home [emoji24][emoji24][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Uko nje gani ambayo haina exposure kiasi hicho? Hujui kupitia kampeni hizi hizi kuna mwanamko mbadala elimu ya uraia ambayo kimsingi hatuna? Hujui kupitia kampeni hizi hizi imeimarisha msingi wa vyama pinzani na uelewa wa mambo kwa wananchi yaliyokuwa hayajulikani na raia wa Tanzania hivyo ni fursa kuweza kudhibiti serikali inapo enda kinyume na taratibu tulizo jiwekea ?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Muda na pesa nyingi sana wametumia kwa kampeni huku wakijua hii ni Impossible Mission!!
Kuliko kampeni ilikua ni kushinikiza Tume huru
Hiyo tume unaidai huku wenzio wakitumia nguvu zote kusema umejua huwezi kushinda ndio maana unasema unataka tume huru. Kumbuka propaganda iliyofanywa miaka hii mitano kuwa upinzani umekufa.

Sasa upewe tume huru huku wenzio wanaaminisha umma kuwa upinzani umekufa? Huku kushiriki hakuna anayetaka, ila hakuna njia nyingine zaidi ya kushiriki na kuleta machafuko ili kieleweke. Mkuu hakuna uwezekano wa kupata tume huru bila machafuko kwa mazingira yetu.
 
Sasa hao watoto mmewaleta hapo mkutanoni kwa nini? wanahitajika kuwa darasani wao na walimu wao - tatizo lenu ni nini ??
Acha utani wewe unafikiri watu wanaposema CCM chama kikubwa maana yake nini? Utambue CCM hawafanyi kampeni tu bali wanasherehekea mafanikio ya miaka mitano ya uongozi wa JPM ndio sababu unaona burudani kwa wingi.

So wakazi wa Arusha leo wa rika zote wako kwenye sherehe ya mafanikio ya CCM. Wanasherehekea elimu bure, maji, huduma not za Afya, miondombinu mizuri ya barabara, umeme wa rea na mambo mengine kibao . Usije ukauliza tena siku nyingine kuhusu uwepo wa watoto kwenye mkutano wa kampeni za CCM. Ova
 
Back
Top Bottom