mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 482
Haya nayo ni mawazo yako na ni haki yako kusema na kuandika lolote kwani ni haki yako na unatumia uhuru wako.Ushabiki wa vyama unawafanya mjifanye hamuoni kilicho dhahiri. Ccm ni dhuluma tu hawana lolote hao.
Huo ndio ukweli wenyewe na hakuna wa TimuLissu atakaye ukubali and that is not my business!Wewe vipi? Au niulize NINYI VIPI? Ninyi wana CHADEMA ndio mmegundua wapiga kura hewa na vituo vya kupigiakura hewa! Lakini sasa kwa akili za ajabu mnawataka Mwenyekiti wa NEC na Mkurugenzi wa NEC walete ushahidi!?
Hili ni la ajabu sana, ninyi ndio walalamikaji lakini mnamtaka MLALAMIKIWA ndio eti alete "vivid evidence". It is for you, the aggrieved party to prove the presence of "ghost voters and ghost voting stations". Acheni utoto au Bob Amsterdam hakuwaelekeza vizuri nini cha kusema!?
chagua magufuli mitano tenaTUME IVUNJWE IUNDWE TUME INAYO JUMUISHA VYAMA VYOTE VILIVYOSAJILIWA TANZANIA
ccm inashinda kihalali mkuu chagua magufuli mitano tenaMiCCM ni mijitu mitutusa na mipuuzi sana. Kama kweli imefanya mambo yanayoonekana kwa wananchi, inahangaika nini kuiba kura? Mipuuzi mikubwa!
Ndoto za jioni jioni hizi.Watu waanza Kumkana Lissu😂🤣😂🤣🤣 Ukiona Watu waliokuwa wanakimbia kwenye msafara Wa Lissu wanaanza kumkana kwamba hafai kuwa Rais jiulizeni sana Kwanini.
Niko Mwanza huku Lissu alipokuja Kuna mshikaji wangu niliwahi kufanya nae kazi, Nilimwona akiwa kavua shati akiwa kwenye msafara Wa Lissu kabeba ba Bendela. Leo nimweoma hapa Rock city more namwambia Nilikuona Kwenye Msafara Wa Rais ,jamaa akasema Rais Gani hajielewi Anasema uwongo, anapinga kila kitu😂🤣😂🤣 nikasema safi watu wameenza kuelewaaaa KUWA LISSU NI MUHUNI
Nimchague mwizi aliyekwapua Tsh trilioni 1.8 kisha akamfukuza CAG baada ya kuugundua wizi wake? Sina unasaba na wezi mimi.ccm inashinda kihalali mkuu chagua magufuli mitano tena
Heri kuwa kipofu wa macho mwili kuliko kipofu wa fikra. Uwe hivyo hivyo kama fikra zako zinavyojieleza. Watanzania tunasonga mbele na JPM kujiletea maendeleo.
mkuu zile pesa zimetumika kijeshi na bajeti ya jeshi huwa haiwekwi hadharani mkuu chagua magufuli mitano tenaNimchague mwizi aliyekwapua Tsh trilioni 1.8 kisha akamfukuza CAG baada ya kuugundua wizi wake? Sina unasaba na wezi mimi.
Wewe endelea kuchagua WEZI mimi simomkuu zile pesa zimetumika kijeshi na bajeti ya jeshi huwa haiwekwi hadharani mkuu chagua magufuli mitano tena
That's the plain truth.Haya nayo ni mawazo yako na ni haki yako kusema na kuandika lolote kwani ni haki yako na unatumia uhuru wako.
Basi haya, OK!That's the plain truth.
Na wakizikamata kura feki ambazo zina safirishwa bora wazipige moto wasiende nazo polisi