Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hata Tik- tok haina shida, wenye shida ni watumiaji.Quora tena???moja ya application bora kwangu kwa kujifunza aiseee
Watu wanafanya generalization kwamba kwa vile yeye hapendi Tik-tok basi anataka kila mtu asiipende.TikTok haina tatizo, ni suala la kuamua una follow nini na uache nini, kuna pages za mpira, hotels, mapishi, gospel, movies, engineering, medicine, mambo yapo mengi productive ni suala la mtu binafsi sasa kuamua
Bora ila chagua content nzuri za kufuata ,kuna watu wanaandika maudhui ya hovyo na hayafutwi kama humu.Quora tena???moja ya application bora kwangu kwa kujifunza aiseee
Wadangaji wamekuwepo tangu karne za kale, empires zote kubwa duniani zimekuwa na wadangaji na brothels.Hujaelewa, nimesema mabinti siku hizi wamegeuka wadangaji kwa sababu ya yale maisha ya instagram wanayoyaona wenzao wanaishi. Hawajui kutofautisha kipi kweli kipi uongo. Si telegram tu, tinder, escort na kwingineko wanauza na bei wameweka.
Kama jamii inabidi kuwa responsible si kuacha maji yafuate mkondo wake. Hili ni bomu linahesabu muda kulipuka.
Wewe nina wasiwasi utakuwa SHOGA 🤔🤔🤔Tamaduni gani mpya ambazo hazikufai au hazifai kwa jamii yako unaona zimeletwa na mitandai ya kijamii hadi utake mitandao ifungiwe??
twitter/x imejaa wapumbavu wengi wao wanajiona wasomi bora facebook kuliko twitter.Si TikTok pekee hata upuuzi uitwao Instagram, Telegram, Facebook ni uozo mtupu.
JF, LinkedIn, Sky sports, Goal.com ndiyo Apps sahihi kidogo na Twitter.
Sio TikTok tu hata TWITTER(X) Kuna pornographic video and pictures kibao. Za aina mbali mbali.Tiktok kuna influence ya ajabu sana kwa vijana nimeshashuudia watoto wanafatilia hizo page sijui live nini za usagaji na ushoga. Wanaambiwa uzuri wa hayo mambo
Kwani Quora si ni sawa sawa na JF tu?Tiktok na Quora kuna watu wanajifanya wana conscious kwa kushadadia mambo ya kipumbavu.
Quora ni hovyo haswa jews anaandika uzi kusapot mambo ya ushoga na madawa ya kulevya.
Uzuri wa Twitter iko well filtered kiasi kwamba bila wewe mtumiaji kuzitafuta hizo Pornographic contents, huwezi zikuta tu kwenye Timeline yako.Sio TikTok tu hata TWITTER(X) Kuna pornographic video and pictures kibao. Za aina mbali mbali.
Twitter ni nzito aisee nyie INATISHA .
Nashukuru Mungu nilichoandika hapo juu ndicho nilichonacho kwenye simu, sipungukiwi chochote wala sina uhitaji na mitandao mingine zaidi.Mitandao hiyohiyo unayosema haifai ndio ina waingizia pesa wamiliki...
Watumiaji ndio wenye shida.
Mitandao haina shida.
Kwanza hata huko instagram, facebook kuna page za kuamua uzi follow ama uache...
Mtu akiamua ku follow udaku halafu aseme mtandao mzima unashida, ni yeye mwenye Shida...
Kuna page nzuri za kufundisha kwenye hiyohiyo mitandao ya facebook na instagram...
Hujaelewa, nimesema mabinti siku hizi wamegeuka wadangaji kwa sababu ya yale maisha ya instagram wanayoyaona wenzao wanaishi. Hawajui kutofautisha kipi kweli kipi uongo. Si telegram tu, tinder, escort na kwingineko wanauza na bei wameweka.
Kama jamii inabidi kuwa responsible si kuacha maji yafuate mkondo wake. Hili ni bomu linahesabu muda kulipuka.
Kiasi kwa kila jambo ndiyo kanuni inayonipatia furaha kimaisha duniani.TikTok haina tatizo, ni suala la kuamua una follow nini na uache nini, kuna pages za mpira, hotels, mapishi, gospel, movies, engineering, medicine, mambo yapo mengi productive ni suala la mtu binafsi sasa kuamua
Wala sijawahi kuingia huko Twitter japo nilisikia tu Watu wakisema hivyo, ndiyomaana nilidokeza "kidogo na Twitter"twitter/x imejaa wapumbavu wengi wao wanajiona wasomi bora facebook kuliko twitter.
Na Jf isipokuwa makini itakuwa ujinga maana mada za kipumbavu ni nyingi.