Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu inaitwa Mbingu huko migomba inastawi sana. Ni mbele ya Ifakara.Kama title inavyojieleza, nataka ninunue shamba kwaajili ya kilimo cha ndizi Morogoro.
Kwa mwenye taarifa ya sehemu ambayo migomba hustawi anijulishe
Mbingu kuna ardhi na hali ya hewa nzuri kwa ustawi wa migombaKuna sehemu inaitwa Mbingu huko migomba inastawi sana. Ni mbele ya Ifakara.
TnxKuna sehemu inaitwa Mbingu huko migomba inastawi sana. Ni mbele ya Ifakara.
ThxMbingu kuna ardhi na hali ya hewa nzuri kwa ustawi wa migomba
ThxNenda sehemu moja inaitwa kijiji cha Ulaya karibu na kilosa huko migomba inakubali sana!!
Jambo jemaWACHA NI SUBSCRIBE ASEE FURSA HII
You are welcome.
Kama udongo siyo mchanga na maji yapo ya kutosha unaweza kulima.Jamani Mie nauliza maeneo ya Tanga mjini jee naweza lima migomba kibiashara?
Thx mkuu,si mchanga kiviiiile!ni tiftif fulani hivi.Kama udongo siyo mchanga na maji yapo ya kutosha unaweza kulima.
Basi utafaa. Maana mchanga hautunzi maji na nutrients.Thx mkuu,si mchanga kiviiiile!ni tiftif fulani hivi.