Maendeleo yanakuja kwa ukomo wa uongozi?
Raisi wa China chama tawala cha China kilipitisha azimio kuwa raisi aliyeporukda kutawala china hadi mwenyewe siku akiamua kutoka kwa jinsi ambavyo china kaipaisha kimaendeleo
Uchaguzi ukifika China wanafanya wa wabunge na madiwani tu sio wa Raisi japo katiba inatamka kuwa raisi atachaguliwa kila uchaguzi mkuu ukifika
Katiba wameacha isomeke hivyo hivyo na mambo ya tume ya uchaguzi yasomeke hivyo hivyo yakivyo ila raisi aliyepo sasa hilo. a katiba na tume ya uchaguzi hayamhusu chama tawala kilishaamua na wananchi wanamkubali uwezo wake
Kwao China katiba ni kikaratasi tu kwenye hilo la uchaguzi wa Raisi