CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ungesikiliza hotuba yake siku anatangaza nia ya kugombea usingeleta hii hoja yako kwani alieleza kila kitu. Mshukuruni amewaonyesha njia.Chariry begins at home kwa nini Lisu hakuyafanyia kazi hayo mawazo yake kwenye chama chake mara baada ya kushika cheo cha uenyekiti Chadema ? Maana hicho cheo chake cha uenyekiti kwenye katiba ya Chadema hakina ukomo
Na yeye ruksa ku copy kutoka CCM kuweka ukomo wa cheo cha Mwenyekiti Chadema taifa alichonacho yeye
Ruksa aige CCM kwa hilo
Hana haja ya kutuomba ridhaa
Tunashukuru Mwana CCM mwenzetu Tundu Lisu ambaye ofisi yake ya kazi iko Chadema kwa wazo zuriUngesikiliza hotuba yake siku anatangaza nia ya kugombea usingeleta hii hoja yako kwani alieleza kila kitu. Mshuruni amewaonyesha njia.
Bogus!Chariry begins at home kwa nini Lisu hakuyafanyia kazi hayo mawazo yake kwenye chama chake mara baada ya kushika cheo cha uenyekiti Chadema ? Maana hicho cheo chake cha uenyekiti kwenye katiba ya Chadema hakina ukomo
Na yeye ruksa ku copy kutoka CCM kuweka ukomo wa cheo cha Mwenyekiti Chadema taifa alichonacho yeye
Ruksa aige CCM kwa hilo
Hana haja ya kutuomba ridhaa
Lisu hana chochote cha kuiga toka ccm boss. Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuiga chochote toka ccm.La yeye Lisu kusema abataka ukomo wa uenyekiti Chadema hilo.wazo Lisu alilitoa wapi kama sio CCM? Na likamsaidia kumtoa Mbowe
Anafanyia kazi mawazo yake wakati hana hata Siku 60 kwenye hicho cheo?Chariry begins at home kwa nini Lisu hakuyafanyia kazi hayo mawazo yake kwenye chama chake mara baada ya kushika cheo cha uenyekiti Chadema ? Maana hicho cheo chake cha uenyekiti kwenye katiba ya Chadema hakina ukomo
Na yeye ruksa ku copy kutoka CCM kuweka ukomo wa cheo cha Mwenyekiti Chadema taifa alichonacho yeye
Ruksa aige CCM kwa hilo
Hana haja ya kutuomba ridhaa
Hata ubunge wa kuchaguliwa uwe na ukomo. Kuna watu wamefanya bungeni kama sebuleni kwao kisa wanaweza kuhonga wananchi masikini na kuwa wabunge. Mtu amekaa bungeni miaka 30 anafaida gani? Mfano hawa wabunge wamekaa bungeni zaidi ya miaka 20, kipi cha ajabu wamefanya kuendelea kukaa bungeni?Ushauri wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa umeanza kuchukuliwa na Vyama vingine. Mwenyekiti Lissu alishauri kuwa uongozi katika Vyama viwe na ukomo. Alitoa mfano wa Ubunge wa Viti maalum kuwa wabunge hawa wawe na ukomo ili na wengine waingie baada ya muda fulani.
Leo hii CCM katika kikao chao pia wamefikiria suala hili na kutoa uamuzi kuwa kuanzia mwaka 2030 uongozi katika Chama chao kutakuwa na ukomo. Hili ni jambo la kupongeza sana na hii itaonyesha kuwa kuwa uongozi siyo ya kifamilia. Kuna watu wamekaa pale sasa yapata miaka 25 na sasa lazima tuwe na usawa.
Hongereni sana CCM kwa uamuzi mzuri mlioufanya.
Lakini hakuna anaefuja pesa za wananchi na viongozi wanaofanya hayo huchukuliwa hatua. Jee tanzania kuna kiongozi gani aliyewahikuchukuliwa hatua kwa ubadhilifu wa mali?Maendeleo yanakuja kwa ukomo wa uongozi?
Raisi wa China chama tawala cha China kilipitisha azimio kuwa raisi aliyeporukda kutawala china hadi mwenyewe siku akiamua kutoka kwa jinsi ambavyo china kaipaisha kimaendeleo
Uchaguzi ukifika China wanafanya wa wabunge na madiwani tu sio wa Raisi japo katiba inatamka kuwa raisi atachaguliwa kila uchaguzi mkuu ukifika
Katiba wameacha isomeke hivyo hivyo na mambo ya tume ya uchaguzi yasomeke hivyo hivyo yakivyo ila raisi aliyepo sasa hilo. a katiba na tume ya uchaguzi hayamhusu chama tawala kilishaamua na wananchi wanamkubali uwezo wake
Kwao China katiba ni kikaratasi tu kwenye hilo la uchaguzi wa Raisi