Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Honda 110, Honda curb ila bei 10m Japan, hadi ifike kwa Chief Hangaya itakugharimu kama 15m ivi.ivi hamna pikipik ingine nzur ya kitofauti,maana ukiendesha. izo tvs au boxer unaonekana bodaboda
Gharama za mafuta inategemea na kilomita anazotembea kwa siku. Kwa mfano mimi umbali kutoka nyumbani hadi kazini ni kilomita moja.Kama hiki ndicho kipato chako kwa mwezi na hauna kingine cha ziada, ningekushauri uachane na mawazo ya kumiliki gari.
Ninasema hivyo kwa sababu gharama za mafuta kwa mwezi zinaweza kufika hadi nusu ya hicho kipato. Bado hujapata changamoto za vipuri na matengenezo endapo yatatokea.
Ww hata ukinunua crown sio mbayaGharama za mafuta inategemea na kilomita anazotembea kwa siku. Kwa mfano mimi umbali kutoka nyumbani hadi kazini ni kilomita moja.
Habari wana Jf?
Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.
Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.
Mchango wenu wakuu
Chukua gari dogo,haya maneno yapo tu,hata siku ukitaka kununua friji watakuambia "friji inakula sana umeme usinunue itakufirisi". Cha msingi zingatia aina ya gari,matunzo na matumizi yasiyo holela,achana na hao wenye mawazo ya kimaskini!Nashukuru kk ngoja nije inbox nipate machache
Ndio kipato chako?M5 mpk 6 ndo bajeti yangu kk
Kaka habari yako! Unapatikana hapa hapa DSM? Unauza ndinga?ukishapata chaguo lako la gari karibu
ndio mkuu nipo dar ndo kazi yangu kuuza magari used tanzania na kutoka japan niko magomeni karibuKaka habari yako! Unapatikana hapa hapa DSM? Unauza ndinga?
hizo ni engine optionsUlimaanisha nini hapa kaka JituMirabaMinne ?
Oooh ahsante sana.hizo ni engine options
Nafurahi. Mimi career yangu ni ya magari pia ila si kuuza, na wish nije kukutembelea hapo siku moja nijifunze mawili matatu kutoka kwako kaka mkubwa!.ndio mkuu nipo dar ndo kazi yangu kuuza magari used tanzania na kutoka japan niko magomeni karibu
0623953036 calls/whatsapp
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Vuta Honda mnyamaivi hamna pikipik ingine nzur ya kitofauti,maana ukiendesha. izo tvs au boxer unaonekana bodaboda
Mkuu najaribu kukucheck pm inashindikana kiongoziPambana ununue second hand kutoka nje. IST au VITZ. Ukinunua third/fourth hand spana mkononi. Binafsi siku sio njingi nadaka IST second hand.
Aisee noma sanaHadi sasa nimefanikiwa kumiliki kwa wakati tofauti Ist, Premio, Crown , 3 series bm , Forester and Vanguard.
Ushauri wangu nunua gari kutokana na matumizi yako na kipato chako , kama unamizunguko mingi nunua gari yenye consumption ndogo na reliable. Ist , raum nk..
Kama ni mtu wa kutumia gari weekends na huna mizunguko mingi kwa kipato ulichosema then unaweza kuchukua gari tofauti na nilizotaja hapo juu kulingana na unachopenda.
NB. Kumiliki Gari ni sawa na kumiliki mwanamke tu , Gari linataka matunzo hata liwe IST.
ivi zile forester min ladha yake ikoje ?Hadi sasa nimefanikiwa kumiliki kwa wakati tofauti Ist, Premio, Crown , 3 series bm , Forester and Vanguard.
Ushauri wangu nunua gari kutokana na matumizi yako na kipato chako , kama unamizunguko mingi nunua gari yenye consumption ndogo na reliable. Ist , raum nk..
Kama ni mtu wa kutumia gari weekends na huna mizunguko mingi kwa kipato ulichosema then unaweza kuchukua gari tofauti na nilizotaja hapo juu kulingana na unachopenda.
NB. Kumiliki Gari ni sawa na kumiliki mwanamke tu , Gari linataka matunzo hata liwe IST.
Mkuu zote ni Forester sema utofauti ni miaka from 2008 kwenda chini zina body ndogo ambazo wewe ndo unasema min , kwanzia 2009 Subaru alibadilisha body zikawa na umbo kubwa kidogo ilikuenda na soko la small SUVs kama unavyoona RAV4, Honda CR-V , Mistubishi outlander etc.ivi zile forester min ladha yake ikoje ?
comfortability yake iko kwenye 150km/h? kwa izo minMkuu zote ni Forester sema utofauti ni miaka from 2008 kwenda chini zina body ndogo ambazo wewe ndo unasema min , kwanzia 2009 Subaru alibadilisha body zikawa na umbo kubwa kidogo ilikuenda na soko la small SUVs kama unavyoona RAV4, Honda CR-V , Mistubishi outlander etc.
Kurudi kwenye swali lako ni gari nzuri consumption ya mafuta ni kawaida 9km-11km kwa litre kwa engine ya cc 1990 ingawa kuna zenye engine za cc 2500 na turbo pia inategemea wewe unataka nini.
Overall nunua ambayo Ina millage ndogo ukipata ambayo ina millage kubwa alafu haikuwa na matunzo mazuri itakusumbua sana.
Very stablecomfortability yake iko kwenye 150km/h? kwa izo min