Kwan akiwa na gari lazima aliendeshe Kila siku?, Umejuaje kama mafuta Si chini ya elfu 20? Acha kukatisha tamaa watu bhanaHiyo pesa haitoshi hata kula kwa mwezi moja.
Gari ndogo kama ist , passo, starlet mafuta kwa siku si chini ya 20k i.e. lita 7
Bora ununue tvs au boxer
Hata kama mafuta ni 5000/- kwa siku bado ni nyingi kwakeKwan akiwa na gari lazima aliendeshe Kila siku?, Umejuaje kama mafuta Si chini ya elfu 20? Acha kukatisha tamaa watu bhana
Ukimiliki gari utashangaa unakosa pesa ya chakula, pesa ya kununua nguo lakini somehow pesa ya mafuta hautakosa. Na gari itakuwa inatembelewa hivyo hivyo kwa kuunga ungaAcha ushamba ndugu na kutisha watu, i hope ujawai kumiliki gari thts way unauoga wa kike,
mm sina kazi, ni mishen town tuu, na pato langu kwa mwezi halizidi lak 4, namiliki gari na cjawai park wala kudundia wese,
kwa maisha leo gari sio anasa, haswa ukiwa n familia…
Badili mtazamo ndugu
Kwani shida nini hapo, unampeleka tu chap anakupa mpunga noti moja unageuka unaendelea na ratiba zako.shida ni unaenda zako misele njiani unapungiwa,unajua labda ndugu yako unasimama
mtu anakuja speed anarukia kwenye pikipiki anakwambia "nikimbize POSTA chap" ndio
kumwmbia mimi sio boda,kashakukata stim yani muda wote wa maisha yako na hizo pikipiki
utautumia kuelimisha watu wewe sio boda,utakamatwa na kamata kamata wakijua n boda,yani headache.
Chukua IST kama utapata, tenga pesa ya service ya engine, gear box na miguu hakikisha vipo vema. Kisha rekebisha matatizo ya umeme yote. Halafu anza kuiendesha kwa ustaarabu utadumu nayo. IST nyingi zinauzwa kati ya milioni 7 hadi 12 kwa used za Tanzania ambazo zinakuwa vizuri tu na zinahitaji service ya at least 30%.Habari wana Jf?
Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.
Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.
Mchango wenu wakuu
Amesema kipato chako kwa maana ya mshahara sio bajeti yako uliyojipanga nayo kununulia gari.M5 mpk 6 ndo bajeti yangu kk
Hii utaweza kuishi na IST bila shida.Ok kipato changu ni 500k Kwa mwezi mkuu
Ushauri mzuri sana.Mkuu gari ni kulihudumia,
Zipo brevis au gx100 mpaka za 2.5m.
Ila ukianza kuwaza wese na matengenezo kichwa kinawaka moto.
Kuna watu wamekushauri vitz siyo mbaya kwa kuanzia maisha. Japo mimi naziogopa sana gari ambazo zina engines za peke yake.
Yaani gari gari haishei engine na gari nyingine, huo ni msalaba.
So kwenye Vitz achana na 1sz na uchukue 2sz, 2nz au 1nz.
Hiyo 1sz imetumika kwenye gari tatu tu duniani ambazo ni toyota yaris, echo na hiyo vitz.
Mswaki wa hiyo engine ni 1.8M, ikikufia unaweza paki ndani.
Kila la heri.
Miaka ya magufuli kurudi nyuma mafuta tulikuwa tunasema budget ya chini ni 10,000 ila sasa kwa 10,000 haupati hata lita 5 ambayo ndio reserve tank capacity.Hiyo pesa haitoshi hata kula kwa mwezi moja.
Gari ndogo kama ist , passo, starlet mafuta kwa siku si chini ya 20k i.e. lita 7
Bora ununue tvs au boxer
Zipo honda zina muonekano wa kitofauti kidogo.ivi hamna pikipik ingine nzur ya kitofauti,maana ukiendesha. izo tvs au boxer unaonekana bodaboda
Wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu shika adabu yako kwanza kabla haujaendelea halafu futa hii reply yako hapa kabla ya wauza magari hawajaiona.Rush ni mzuri na sio beighali
Milioni 10 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah kummke. Nielekeze ulipo nikuletee wateja zaidi ya kumi watakupa milioni kumi kumi hizo ili uwaletee Rush zao na nitakufanyia mpango kila mteja akupe milioni 1 ya shukurani kwa kuwapa deal nzuri.
Kale kagari sijui kwann ndio kababy walker kagharama kupita maelezo sijui nani aliwaambia watu kuwa kana thamani kubwa wakati kwa macho kanafanana na suzuki samurai.hujui kitu wewe.rush nibei ghali mama
Story za miaka ya nyuma ya 2020 usizilete mwaka 2024 kwasababu lita 1 mwaka 2020 sio sawa na lita moja mwaka huu 2024.Mkuu mimi naona ungejichanga had 10 milion ,ununue IST ya uhakika zaidi, sijawah miliki ila kwa uzoefu wa weng nasikia mafuta ya 50000 unaznguka nayo hata mwez , na hata yakiisha ukiipitisha sheli tu geji ya mafuta inasomaaa hyoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm ninae tvs pikpik nimeipak ndan Sina hata 100 ya kuweka wese
Npo tu ndan naangalia Tv Kam fala fulan hiv na libukta lang na ndan sijavaa hata chup
Chombo ya moto ni balaa mafuta yenywe ya kupima Kwa kijiko
Hizo ndizo zinakamua wese kushinda IST uliza wanaizimiliki. Usione kagari kama CC990 ukahisi katakusevu mafuta utaingia chaka.Hiyo unaipata kwa Toyota vitz cc990
na wish jeRush ni mzuri na sio beighali