USHAURI: Wajumbe wa NEC-CCM waliopata kura zaidi ya 269 ni hazina kwa CCM kuelekea 2025, wateuliwe

USHAURI: Wajumbe wa NEC-CCM waliopata kura zaidi ya 269 ni hazina kwa CCM kuelekea 2025, wateuliwe

Ungeomba wakumbukwe kwenye vyeo vya u ocs, ocd na rpc ili mkibebe chama vzr.

Bila polisi imara, wenye smg, ya machoz na washawasha hamtoboi.
 
Shilole alipata kura zaidi ya 440 unapendekeza awe mkuu wa mkoa, wilaya, RAS au DAS; wapi.

Binafsi simchukulii poa mtu mwenye biashara tena sector yenye ushindani mkubwa na kuweza kuikuza biashara yake inaonyesha mtu fulani makini.
 
Dkt. Samia, Mwenyekiti wa CCM Taifa, wajumbe waliyopata kura tajwa hapo juu ni hazina nzuri na inayoweza kutumika chama na serikali yako.

Kundi hilo lisiachwe bure au lisirudi mitaani bure, ni watu ambao wanaweza kukitumikia chama na serikali yako.

Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, watu hao ni hazina kubwa kukibeba chama na serikali yako.

Wengi kwenye kundi hilo viwango vyao vya elimu na uzoefu wao unaridhisha na wanaweza kuwa Makatibu wa CCM mikoa, wilaya, Maras, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya , Wakurugenzi wa Halmashauri , Wenezi wa Mikoa, Madas, ukifuata ushauri huu utaona matokeo chanya kwa asilimia 100 ndani ya chama na serikali.
Kwa hiyo Shilole asomeke DED Igunga?
 
Shilole alipata kura zaidi ya 430 unapendekeza awe mkuu wa mkoa, wilaya, RAS au DAS; wapi.

Binafsi simchukulii poa mtu mwenye biashara tena sector yenye ushindani mkubwa na kuweza kuikuza biashara yake inaonyesha mtu fulani makini.
Mara paah Shishi ni RC Mwanza, nyie.
 
Mara paah Shishi ni RC Mwanza, nyie.
Halafu Asha Baraka mkuu wa mkoa Dar, maana na yeye anakura 500+

Lazima watumishi kwenye hiyo mikoa wafanye party ya kumpongeza maza anaupiga mwingi. Ni mwendo wa kujenga ofisi ya mlinzi kwa tsh 300 million.
 
..RC, DC, DAS, Wakurugenzi wa Halmashauri, ni nafasi zinazotakiwa kujazwa na watu neutral wasiojihusisha na vyama vya siasa.
 
Back
Top Bottom