Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
CCM wanawaza matumbo yao tu!!! Hawa watu ni wajinga sijawai onaKwa maslahi ya Zanzibar au Tanganyika?
Inaweza ikawa last chance ya Maalim kuendeshwa kwa ving'ora lakini isiwe last chance ya Wazanzibar kudai haki yao ndani ya muungano wenye heshima