Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #61
Ndio kwani kuna tatizo??? Ule uliofanyika na mkauharibu kwani ulikuwa ni uchaguzi au uchafuzi???Vitu vingine usiwe unaandika unatia aibu, yaani kurudi uchaguzi, duuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwani kuna tatizo??? Ule uliofanyika na mkauharibu kwani ulikuwa ni uchaguzi au uchafuzi???Vitu vingine usiwe unaandika unatia aibu, yaani kurudi uchaguzi, duuuu
Kwani hajawai kuwa kwenye serikali before??? Ccm wanaangalia matumbo na wanamchukulia kila mtu ni mchumia tumbo. Hicho ndo kipimo chaoIla Mimi naona maalim akiwa ndani ya serikali itakuwa Ni hatua nzuri.kuelekea kwenye ushindi.maana atakuwa na nguvu ya kuamrisha jambo na likatendeka tofauti na ilivyo Sasa.
Na pia UMRI UNAKWENDA BORA AJIPENYEZE
Mie ni raia mwema tu na mzalendo wa kweliUna wadhifa gani huko ACT wazalendo? Maalim Seif na Zitto Wana washauri wao huko maofisini Sasa Kama wewe si mmoja wao unapoteza muda tuu humu jf.
Hii siyo zawadi, ni katiba ya Zanzibar inataka hivyo, mgombea wa pili anayepata kura asilimia fulani ndio awe makamu wa Rais.Maalimu akubali,,this is the last opportunity ambayo pengine itakuja kutokea tena be miaka 30 ijayo,
Kubalini muunde serikali ya umoja,mengine mtaenda mbarekebisha humo humo,
Kwani hajawai kuwa kwenye serikali before??? Ccm wanaangalia matumbo na wanamchukulia kila mtu ni mchumia tumbo. Hicho ndo kipimo chao
Kwa iyo nyie mna angalia maslahi binafsi tu??? Sie hatuangalii maslahi binafsi tunaangalia maslahi ya Tanzania na watanzania pamoja na vizazi vijavyo.Bora kupata nusu,kuliko kukosa kabisa.
Maana kww vyovyote maalim kuwa rais wa TANZANIA akiwa nje ya mfumo si Jambo rahisi.
Wewe ni mjinga sana, Kenyatta na Rutto walifikishwa ICC.If wishes were horses....
Post election violence 2007/2008 iliua watu 1200 Kenya na hakuna aliyeko ICC ije itokea Tz walikokufa watatu?[emoji16].
Nchi zote za Africa zitakuwa na wafungwa ICC,na watajitoa.
Kwa iyo nyie mna angalia maslahi binafsi tu??? Sie hatuangalii maslahi binafsi tunaangalia maslahi ya Tanzania na watanzania pamoja na vizazi vijavyo.
Hata Magufuli toka ameapishwa hajawahi kukanyaga hayo maeneo, na haiwezekani rais aapishwe halafu ghafla awe amekanyaga maeneo yote,toka kaapishwa hajawah kanyaga pemba na baagh ya sehemu unguja kama kaskazin magharib
Maalim hajagombea urais wa Tanzania.Bora kupata nusu,kuliko kukosa kabisa.
Maana kww vyovyote maalim kuwa rais wa TANZANIA akiwa nje ya mfumo si Jambo rahisi.
Ndo akili yako inavyokutuma? Watanzania wote umeongea nao lini we nyumbu kwamba wao wanataka huyo Maalim Seif?Akikubali atakuwa amewasaliti watanzania wote
Maalim hajagombea urais wa Tanzania.
Usisahau mabeberu wanataka pesa yao ya Covid 19 mrudishe, taarifa zenu tunazo.Akubali asikubali, au mkubali msikubali mwisho wenu umewadia hakika. Vyama venu vinakwenda kufa kifo cha mende.
Sasa this time ndo mtajua kwama hakuna au kuna!!
Muanze upya wapi? Tangu mwaka 1995 mnamdhurumu anasamehe, mwaka 2015 akashinda pia ushindi wa wazi mkafuta uchaguzi, hivi hata wewe unaweza kuvumilia hizi dhulma?Hakuna haja ya ugomvi,maalimu akubali,tusameheane,tuanze ukurasa mpya,
Lisu arudi achape kazi,,hawa wazungu ni wanafiki tu,wanaangalia zaidi interest zao
Dhambi ya ubaguzi huu, Zanzibar siyo Tanzania?Hivi ni kwa nini wajipendekezao kwa mambo ya Zanzibar ni Wabara? I mean > 90 wanaopost mambo ya Zanzibar ni Wabara, kwa nini kwani kwenu hakuna matatizo?
Low IQ !