Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

Act wazalendo , Maalim Seif usikubali kushiriki serikali ya wamwaga damu , kuhahalisha walichokipanda , usikubali maana utakuwa umehalalisha uchaguzi haramu kuwa halali .
 
Labda nikuulize wewe una umri gani???

Wapi hapa Gbagbo alishtakiwa kuua watu 3000???

Kwenye makosa yake hapa kuna kuua watu 3000????
 
Wapi hapa makosa ya Gbagbo yalikuwa ni kuua watu 3000???
 
Umri umeshaenda muacheni awatumikie wazanzibar kwa mlango mwingine.
Kwani lengo lao si moja?..
Mzee nenda ukale maisha.
 
Kama rais wa Zanzibar Hana mamlaka kwenye nchi ya Tanzania muungano una matatizo.kwanini rais wa TANGANYIKA ana sauti Zanzibar Ila rais wa Zanzibar asiwe na sauti TANGANYIKA?
Ni Rais wa Zanzibar, wewe umesoma shule gani?
 
Kuna maisha baada ya kukataa hyo nafasi.utamsaidia?
Act wazalendo , Maalim Seif usikubali kushiriki serikali ya wamwaga damu , kuhahalisha walichokipanda , usikubali maana utakuwa umehalalisha uchaguzi haramu kuwa halali .
 
Hivi mshindani aliyemshinda Zitto Kabwe ameshaapishwa bungeni? Anaitwa Nani?
 
Kama ACT Wazalendo wakikubali basi itakuwa wameeka mbele matumbo yao na haina haja kuwa na viongozi wanaotaka madaraka kuliko haki za watu.
 
Labda nikuulize wewe una umri gani???

Wapi hapa Gbagbo alishtakiwa kuua watu 3000???

Kwenye makosa yake hapa kuna kuua watu 3000????
View attachment 1630827
Una matatizo ya akili bila shaka.

Kuna mahali umeona nimeandika hata mashitaka ya Gbagbo mimi?

Nimekuambia zile vurugu za baada ya uchaguzi zilichinja watu 3000+ Ivory Coast baada ya Gbagbo kung'ang'ania madaraka.

Kwa hiyo Gbagbo amefungwa ICC kama ulivyodai? Hujakielewa hata hiyo attachment uliyoweka mwenyewe?

Ni ujuha kutegemea vifo vitatu vipeleke mtu ICC.
 
Akikataa wamnyime mgao wake kama Makamu wa Rais Mstaafu

Akikataa maana yake anafurahia mpasuko wa Znz

Akikiataa maana yake ni Wakala wa mabeberu

Akikataa maana yake kavunja katiba
 

Siwaamini bali nawakubali, sio niliweka imani kwa Lisu, bali nina imani naye mpaka sasa. Sijawahi kuwa na imani na tume ya uchaguzi, bali uchaguzi huu wangalau tulikuwa naye akiongea lugha ya kuweka wazi udhaifu wa tume, hata kwa wale waliokuwa na mashaka na hilo sasa wanajua bila shaka kuwa hakuna tume ya uchaguzi,bali kikundi cha wahuni wa ccm. Lisu amekimbia nje maana anaweza kuuwawa. Kama Magufuli anasifiwa ni jasiri na hachezewi, mwambie aende hapo kariakoo kila siku bila ulinzi, kisha uje uchukue mrejesho hapa.

Huyo Maalim Seif kachoka sana na wala sio kachoka kidogo, lakini ni kiafya na umri na sio kisiasa. Maalim Seif tunamsupport kisiasa, na sio kijeshi, ingekuwa ccm inapambana kisiasa ungejua support yetu. Ifahamike hata alipokuwa makamu wa rais hakuna mtu alikuwa anaenda kupakia naye VX ili kutoonyesha kuwa anaridhika na support yetu. Wakati wa maandamano utafika, cha muhimu ni yeye na wengine kuweka mazingira hayo, ila akikubali sasa ndio kapoteza uungwaji wetu mkono. Yeye ni mzee, ni kipi hajala anataka aje akile akiwa na miaka 80?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…