Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hello
Wengi huwa wanaomba nafasi mbalimbali katika vyombo vya ulinzi wengine wanakuja kufeli kwenye usahili kwa vitu vidogo vidogo ambavyo vinaweza kurekebishwa kabla ya usahili ila mnavipuuzia
Nafasi zinapotoka kunakuwa na ushindani mkubwa unakuta kila mtu anapambana mtu wake apite au apate nafasi mnakatisha tamaa sana vijana watu wanapata nafasi kwa shida sana kuwalamba miguu mabos huyo unae muona boss kwako na kuzani kazini ndio mwenye mamlaka ana wakubwa zake pia
Kabla ya kwenda kwenye usahili hakikisha Nida yako ipo safi hii kwasasaivi inawaangusha ana vijana nida yako na ya baba yako hazifanani unaweza kwenda Nida sasaivi mapema kujihakikishia nida zako zipo sawa hazina shida yoyote ila vijana mnakaa mpaka siku ya mwisho mnaaza kukimbiza wazeee vichwa huwa vinauma hamjui
Pili majina yako yawe yako sawa kama unaitwa khamis na linaazia na k na h basi hakikisha vyeti vyako vyote vipo sawa vinaendana sana kama mahali pana shida nenda katafute barua kwa mwanasheria inayo kutambulisha au kukuthibitisha kuwa wewe ndio muhusika
Tatu afya nenda tu hospital kajichunguze mwenyewe wapi unashida ili ujijue kuna magonjwa mengine mnajitia aibu sana mfano mtu kijana mdogo anakutwa na bawasili au dalili za tenzi dume kwahiyo nashauri mjichunguze kwaza
NImeshangaa sana juzi kati hapa boss alikuwa na mtoto wa dada yake kidato cha sita kapata nafasi kijana anasema kuwa hana cheti cha form six ila ana transcript tu wenzake ambao wamemaliza mwaka mmoja wana vyeti unajiuliza hawa vijana wanakuwaga wanawaza nini
Ase nafasi zinapatikana kwa shida ukipata tumia vizuri acheni kukimbiza wazee
Wengi huwa wanaomba nafasi mbalimbali katika vyombo vya ulinzi wengine wanakuja kufeli kwenye usahili kwa vitu vidogo vidogo ambavyo vinaweza kurekebishwa kabla ya usahili ila mnavipuuzia
Nafasi zinapotoka kunakuwa na ushindani mkubwa unakuta kila mtu anapambana mtu wake apite au apate nafasi mnakatisha tamaa sana vijana watu wanapata nafasi kwa shida sana kuwalamba miguu mabos huyo unae muona boss kwako na kuzani kazini ndio mwenye mamlaka ana wakubwa zake pia
Kabla ya kwenda kwenye usahili hakikisha Nida yako ipo safi hii kwasasaivi inawaangusha ana vijana nida yako na ya baba yako hazifanani unaweza kwenda Nida sasaivi mapema kujihakikishia nida zako zipo sawa hazina shida yoyote ila vijana mnakaa mpaka siku ya mwisho mnaaza kukimbiza wazeee vichwa huwa vinauma hamjui
Pili majina yako yawe yako sawa kama unaitwa khamis na linaazia na k na h basi hakikisha vyeti vyako vyote vipo sawa vinaendana sana kama mahali pana shida nenda katafute barua kwa mwanasheria inayo kutambulisha au kukuthibitisha kuwa wewe ndio muhusika
Tatu afya nenda tu hospital kajichunguze mwenyewe wapi unashida ili ujijue kuna magonjwa mengine mnajitia aibu sana mfano mtu kijana mdogo anakutwa na bawasili au dalili za tenzi dume kwahiyo nashauri mjichunguze kwaza
NImeshangaa sana juzi kati hapa boss alikuwa na mtoto wa dada yake kidato cha sita kapata nafasi kijana anasema kuwa hana cheti cha form six ila ana transcript tu wenzake ambao wamemaliza mwaka mmoja wana vyeti unajiuliza hawa vijana wanakuwaga wanawaza nini
Ase nafasi zinapatikana kwa shida ukipata tumia vizuri acheni kukimbiza wazee