Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Hawezi kukutoa kma huna shidaMimi nilitolewa kwenye usahali bila tatizo nikaandikiwa unfit
All in all ,saivi na sali jeshi la wokovu
Yote ni majeshi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukutoa kma huna shidaMimi nilitolewa kwenye usahali bila tatizo nikaandikiwa unfit
All in all ,saivi na sali jeshi la wokovu
Yote ni majeshi tu
Yah sureUgonjwa mwingine ni HIV ukiwa nayo huajiriwi kwenye majeshi utashangaa tu wanakurudisha bila kukwambia tatizo lako ni nini
Acha izoAfande mwachiluwi
Kaka inaumiza mty unatumia nguvu kubwa af dogo anakuja zinguaSifa sina, tangu nikimbie jamhuri 2011 kwa kujishitukia kwa kosa sio langu najihisi kila ninayepishana naye ananikamata wakati sina tatizo ...ndio niende kwa mdomo wa mamba kweli?
Poleni sana,labda si chaguo lake sahihi ndio maana hakuzingatia hayo mapema.Kaka inaumiza mty unatumia nguvu kubwa af dogo anakuja zingua
Acha ty kaka vip mbna ulipoteaPoleni sana,labda si chaguo lake sahihi ndio maana hakuzingatia hayo mapema.
Majukumu,maandalizi ya likizo/mapumziko na sasa niko na muda sana ,kwema?Acha ty kaka vip mbna ulipotea
Kwema sana tyMajukumu,maandalizi ya likizo/mapumziko na sasa niko na muda sana ,kwema?
Fanyeni maandaliziDuuu Umeninasua Kwa Mimi Ambaye Mtoto Wangu, Amefaiti Mara 4 kwenda Jeshi la police, Lakini Zote hizo Amekosa, Roho inaniuma Sana tu
Ila watapuuza🤣🤣🤣🤣 Malaika wa kheri
Aiseee Tena intake hii ya Juzi, Nakwambia Nimemtumia Silaha Zote kubwa kubwa, Dakika za Mwisho Mbona Mimi kama Mzazi Nimelipa Aisee, Kabla ya Post Azijatoka kwenda Depo Nilishajipanga, Lakini Nimeangukia pua Mbaka Sukari ikanipanda, Mtoto ni Msomi na Documents Zote Alikuwa NazoFanyeni maandalizi
Ndio inategemeana na connection yakoKuna wachache wanahisi nafasi wanapata kwa uwepesi tu
Wanaweza kupunguza wengi tu ili majina yao yapiteHawezi kukutoa kma huna shida
Pole tuliza moyo kuna sehemu yake ipo usikate tamaaAiseee Tena intake hii ya Juzi, Nakwambia Nimemtumia Silaha Zote kubwa kubwa, Dakika za Mwisho Mbona Mimi kama Mzazi Nimelipa Aisee, Kabla ya Post Azijatoka kwenda Depo Nilishajipanga, Lakini Nimeangukia pua Mbaka Sukari ikanipanda, Mtoto ni Msomi na Documents Zote Alikuwa Nazo
Sijakataa ila ni vyema kujipangaNdio inategemeana na connection yako
Hiyo inatokea pale wanapokuta watu wanamatatizo au wamekosa sifa ila figisu zipo piaWanaweza kupunguza wengi tu ili majina yao yapite
Akatafute kazi nyingine za kufanya maisha hayapo kwenye majeshi tu.Duuu Umeninasua Kwa Mimi Ambaye Mtoto Wangu, Amefaiti Mara 4 kwenda Jeshi la police, Lakini Zote hizo Amekosa, Roho inaniuma Sana tu