Ushauri wangu kwa kijana ambaye anataka kuajiriwa Jeshini au kuwa Afande

Ugonjwa mwingine ni HIV ukiwa nayo huajiriwi kwenye majeshi utashangaa tu wanakurudisha bila kukwambia tatizo lako ni nini
Si watarudisha karibia wote, itakuwa hilo sharti limeondolewa. Mitaa imeungua!!

Nimekumbuka mwaka 2014 mama mmoja mnazi wa CCM dam dam alikuwa analoa mbaya na kilaanibaada ya kutulia ndio akanisimulia kuwa amempigania binti yake aliyehitimu Six usiku na mchana, ametoa hela na kunyenyekea mabosi, siku ya usajili kumbe binti ana ujauzito wa miezi 3.
 
Duh poleni
 
Nje ya mada lengo la kumkagua mtu anaanza mafunzo akiwa kama alivyozaliwa na pia kumcheki kekundu uku akikohoa first time ni nini ?
 
Then wanafukuzwa au inakuwaje? Sio utaratibu muhimu Kuna umuhimu Gani wankumchunguza mtu maungo Yale ya Siri ? Au hatoweza piga kwata sababu ya bawa Siri!
Mgonjwa wa bawasiri hawezi kukaa chinj mda mrefu pia mazoezi magumu
 
Sema majeshi sana sana uwe na mbanga maji marefu
Unaweza ukawa na mbanga wa maji marefu ila akanyimwa nafasi au akapata nafasi lakini mtu wake akaja kutolewa kwasababu ya ugonjwa na hapo huwenda mbanga hakubaliki kazini yaan watu hawampendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…