Siafiki tabia ya kunyamazisha watu.Usihangaike na idadi, ni kiasi gani cha pesa kilitumika? Eti hata shule za kata alijenga, michango ya lazima aliyoisema Heche na Lissu umeiweka wapi?
Muhimu akae kimya! Muda wake ulipita kwa hayo ya kwake. Profesa Kikwete aliahidi akistaafu ataomba kufundisha chuo kikuu au ndo hiyo kuteuliwa kuwa Chancellor?
Mgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Nawe bhana vipi? Kuna watu hawatakiwi kuwa ni wasema hovyo. Wakifungua domo tu, watakachokisema inakuwa ni mjadala. Baiden aliposema juu ya kifo cha kijana wake, media yote ikamsakama na kuhisi ana shida ya brain kwa kutosahau, lakini wewe na mimi unaweza hata ukalia kwa vurugu ukimkumbuka mchepuko wako. It was a stupid timing kwake kusifia Samia.Siafiki tabia ya kunyamazisha watu.
Kwanini akae kimya? Ni binadamu mwenye maoni yake ,si haki kumyamazisha.
Huyu na familia yake ilibidi anyanganywe asilimia 75%ya mali zake na familia,zitaifishwe ziwe mali za umma.Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.
Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.
Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.
Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.
Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.
Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Veronica unaumia ukiwa wapi kwani😄Hawa Msoga kiujumla ni wabnafsi sana, mwanaume wa shoka hayati kapiga shoo ya miaka mitano tu wakapoteana, wakaona isiwe tabu, wakampoteza, tunajua hilo,wasifikiri kukaa kimya huku ni bure, bali huku mbeleni kunamshindo dhidi ya hizi dhulma walizozoea
Umeongea kikamanda kabisa mkuu, salute Sana!Hawa Msoga kiujumla ni wabnafsi sana, mwanaume wa shoka hayati kapiga shoo ya miaka mitano tu wakapoteana, wakaona isiwe tabu, wakampoteza, tunajua hilo,wasifikiri kukaa kimya huku ni bure, bali huku mbeleni kunamshindo dhidi ya hizi dhulma walizozoea
Mpuuzi wewe,Wai chato ukafagilie kaburi,unataka kikwete amsifie bwanaakoRais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.
Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.
Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.
Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.
Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.
Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Kama KWELI wamempoteza dikteta,hawakukosea kwa 100%, Hizo chuki zenu kwa Samia na Kikwete ni kupoteza muda misukule ya dikteta NyieHawa Msoga kiujumla ni wabnafsi sana, mwanaume wa shoka hayati kapiga shoo ya miaka mitano tu wakapoteana, wakaona isiwe tabu, wakampoteza, tunajua hilo,wasifikiri kukaa kimya huku ni bure, bali huku mbeleni kunamshindo dhidi ya hizi dhulma walizozoea
Wewe ulikuwa umeshazaliwa? Niulize mimiMgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Weweulikuwa umeshazaliwa ama? Kwa jk ajira za ualimu na madakatari ilikuwa ukimaliza tu hamna haja ya kuomba ajira unapangiwa moja kwa mojaMgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Mkuuu mambo mengi ya ujenzi bila ya Magufuli hapo JK wako asingefanya lolote alikuwa anazurula tu kama pimbi!Orodha ya baadhi ya mambo aliyoyafanya JK (Smart president)
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment kila mwaka
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Kama haujaridhika niongeze mengine.
We hujielewi unataka mpaka leo watu wamalize chuo wote waajiriwe! Mfano walimu takribani elfu arobani kila mwaka waajiriwe? Mahitaji ya mda huo ndo yaliruhusu serkali ifanye hivyo!Wewe ulikuwa umeshazaliwa? Niulize mimi
Weweulikuwa umeshazaliwa ama? Kwa jk ajira za ualimu na madakatari ilikuwa ukimaliza tu hamna haja ya kuomba ajira unapangiwa moja kwa moja
Mizurulo ya JK ndiyo iliyosababisha miradi yote hiyo kufanyika bila kusababisha deni la taifa kuwa kubwa kama lilivyo sasa. Nadhani una data ya deni hilo wakati JK anaingia madarakani hadi anaondoka, na unajua hilo deni lilipo sasa.Mkuuu mambo mengi ya ujenzi bila ya Magufuli hapo JK wako asingefanya lolote alikuwa anazurula tu kama pimbi!
Ushauri huu unafanana /unakaribiana na ule msemo wa "unajifanya msanii katika jumba la sanaa"..Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.
Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.
Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.
Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.
Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.
Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Wivu wa kijinga tu yan kikwete ndani utawala wake miaka 10 hakufanya kitu? Acha chukiRais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.
Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.
Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.
Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.
Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.
Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Leo kuna mahitaji ya walimu kuliko kipindi cha jk. Watoto ni wengi sana na utakuta mwl mmoja anafundisha physics shule nzima na drs moja lina watoto mia mbili na kuendelea. Kwa hiyo point yako haina msingi wowoteWe hujielewi unataka mpaka leo watu wamalize chuo wote waajiriwe! Mfano walimu takribani elfu arobani kila mwaka waajiriwe? Mahitaji ya mda huo ndo yaliruhusu serkali ifanye hivyo!
Na Mimi nataka jk akae karibu zaidi na mh, rais samia kwadababu historia yake watu wanaipendaMm pia naona hivyo, JK akae mbali kabisa na Mh. Rais Samia, sbb historia yake watu hawaipendi kabisa. Naona kama atamharibia Mh. Rais Samia.