Ushauri wangu kwa Mzee Kikwete katika siasa za Tanzania ya Rais Samia

Leo kuna mahitaji ya walimu kuliko kipindi cha jk. Watoto ni wengi sana na utakuta mwl mmoja anafundisha physics shule nzima na drs moja lina watoto mia mbili na kuendelea. Kwa hiyo point yako haina msingi wowote
Hata kama haiwezekani kuajiri kwa mfumo ule ndo maana hata Samia kataoa ajira juzi watu wakaaply. Huo mfumo saiz hautakaa utokee!
 

my all time prezident [emoji119] JK mjombaaaaaa
 
This was one of the most brilliant pieces of advice to a person whose only success was thieving public funds and uplifting the significance of his own family, regardless of their poor thinking! Be him, be his wife, be his son!
 
Mgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Wakati wa Malaika wa chato, hata hizo ajira za Bar uliziona?
 
Nasema tulia nigger,
Ukiona vipi nenda kaishi msoga huko.
 
Tuache uongo,tukiombwa tutoe ushahidi kwa haya tunayosema,tunaweza?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yaani raius aliyekuwa ktk madaraka kwa miaka 10 unataka asifiwe kwa hayo? Miaka 10! That is foolish, men!
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Daah!Mungu atamlipia kwa yote mazuri aliyoifanyia nchi na watz.
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Bila JK bodaboda ungewasikia kwenye taarifa za habari tu.
 
Usiwasemee watanzania,jisemee wewe,kwani hao qatanzania ulikutana nao wapi wakakupa maoni yao?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Bila JK bodaboda ungewasikia kwenye taarifa za habari tu.
Nawe kama hazimo! Bodaboda walianza enzi za Mkapa na siyo ubunifu wa serikali, ni maamuzi ya watu binafsi walipoiga Uganda. Kwa mtindo huu utasema na ushoga ni mafanikio ya Kikwete.
 
Kwa hiyo! Aendelee kumuagiza rais cha kufanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…