Ushauri wangu kwa Mzee Kikwete katika siasa za Tanzania ya Rais Samia

Weeee kipindi cha kikwete ht tabaka la chini lilinufaika km huna hela za kusoma course zingine ulikuwa unajitupa swaaaaaaaa kupaw kwny ualimu ukimaliza tu ajira hii hapa ukikosa ualim swaaaaaah kwenye upolisi jamaa alivyokuja akaharibu kila kitu ualimu ikawa km anasa upolisi km uko peponi vijana wakilalamika polepole anawajibu sio wazalendo nataman Samia aige uongozi wa kikwete watu wale Raha duniani
 
Akili kubwa sana.
 
Nawe kama hazimo! Bodaboda walianza enzi za Mkapa na siyo ubunifu wa serikali, ni maamuzi ya watu binafsi walipoiga Uganda. Kwa mtindo huu utasema na ushoga ni mafanikio ya Kikwete.
Weka uthibitisho kama walianza kipindi cha Mkapa.
 
This was one of the best we normally get from JF.
Je hakuna haja ya kutoa ushauri kama huu kwa Samia na ujanja wake mbuzi? Short, point-point, understandable!
 
Tukumbuke namna huyu mzee alivyotuingiza ktk matatizo makubwa na hasara ktk;
Upigaji wa Escraw ambapo alikuwa mhusika ktk upigaji ule
Mikataba mibovu na ya kifisadi ya Gas ya Mtwara hadi kutoa fedha za kuhonga fedha kwa wabunge wa ccm!
Kikwete sio mtu wa kumuamini hata kdg zaidi deal zake!
 
Rais Samia anafanya kazi yake na wewe mketa mada fanya kazi zako, ulitaka Rais Samia akufanyie nini zaidi ya anayoyafanya kwa kuongoza nchi ya watu millioni 60 wenye mahitaji mbali mbali ?

Jiulize wewe unaifanyia nini serikali yako?
 
Rais Samia anafanya kazi yake na wewe mketa mada fanya kazi zako, ulitaka Rais Samia akufanyie nini zaidi ya anayoyafanya kwa kuongoza nchi ya watu millioni 60 wenye mahitaji mbali mbali ?

Jiulize wewe unaifanyia nini serikali yako?
Mbona ninaposoma hakuna mambo ya Samia? Anayeshauriwa ni Kikwete mstaafu. Wewe unaona mengine au ndo ule ujinga-jinga wa ushabiki wa kike-kike na kidini-dini?
 
JK kaufurahia sana utawala wa Sa100 huenda kweli ndio mshika rimoti.
Siku hizi haishi kwenda Ulaya na Marekani tofauti na wakati wa Jiwe ambapo angemtaka afanye tour kwa gharama zake...Mama huyu mpolee anamlipia kila kitu kwa kodi zetu kudadek
Team msoga ndio inaharibu utawala awamu ya 6...kubebabeba watu wake matoto balaa!
 
Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo? Kwa mstafu wa cheo cha JK.
Asante
 
Idiots!
 
Juzi nilikuwa, natembelea vijiji vya chalinze, katika harakati zangu za kuwa m Tanzania mwenye kumiriki ardhi hekta nyingi,
Kaya za chalinze, na vijiji vya kalibu na msoga, ni maskini hatari! Watu ni mafukara balaaa! Sasa MTU ambae amewahi kuwa Rais wa TZ, unajisikiaje kuzungukwa na watu maskini kiasi hicho, hata huduma ya maji ya visima hakuna? Ungeweza kuomba msaada ujengewe chuo kikuu na makanisa, au uombe uarabuni wakujengee kiwanda, Ila eneo halina chuo kikuu, wala hospital nzuri, lakini kuna msikiti!, jengo kama ikulu!
Wa Islam wa, Dodoma, wakati ghadafi yupo hai, wao badala ya kuomba wajengewe chuo kikuu cha ki Islam, cha IT, kilimo, au biashara, wao, wakataka msikiti!.
Ilipojengwa Udom, Islam wakataka baadhi ya majengo yawe msikiti!!!
 
Kwa miaka 10 siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…