Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde UCHAGUZI, Ni haki yao, lakini hebu fikilia, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza Naya pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza, hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu.
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
 
When you have two options, moja umeona deliveries ya alichofanya, halafu mwingine ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.
Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Tumchague lissu anatosha jiwe halitufai
Ni mbaguzi si kiongozi mzuri WA kukemea maovu na ni mbariki WA maovu hayo.

Kujenga na waliopita walijenga na watakokuja watajenga na wengine. Usilazimishe kupendwa lakni unachokilazimisha watu hawakitaki. Jiwe bila ya nguvu ya policcm na kuuiba kurq hashindi na nakuapia kwa jina lá Mungu.
 
Endapo Watanzania kweli tunataka maendeleo naamini upinzani unaweza kuyaleta maendeleo ya watu tofauti na ya vitu.Pia niniamini Watanzania hawatakaa warudie kuichagua CCM tena kwa sababu watanogewa na watenda Haki na Usawa pia na Utu wetu utarejea.
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Niko pamoja na wewe
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
We nae sometime akili huwa zinakuganda kwani duniani kote watu wanawachagua watu kwa kuamini ahadi zao!

Ingekuwa kwamba ambaye amefanya kitu ndio aendelee kuchaguliwa si hadi Leo hii bunge lingekuwa na wabunge na marais walewale wa mwaka 1992???.
 
Chama kilichoshindwa kupanga tu miji huku kila siku nchi ikizidi kuharibiwa kwa kujengwa hovyo na kuwa takataka kwa ni I tukirudishe madarakani?

Ukwel ndio huu, CCM haipaswi kabisa kuendelea Kuongoza Tanzania. Tunaitaji chama mbadala chenye sera mbadala chenye maono tofauti kwa mustakabali wa taifa letu.
 
Bahati mbaya kuna kundi kubwa la watanzania wanaodhani CCM ikiondoka madarakani basi na Tanzania itakuwa imeondoka pia. Katika kundi hili wapo mpaka wasomi kabisa nao wamekuwa na mentality ya namna hiyo.

Yaani wanadhani upinzani ukiingia basi kola kitu kitaanza upya. Kuna wanaodhani hata ajira zao zitaanza upya. Yaani wamejazwa hofu hofu hofu mpaka inatia huruma
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Pascal umegeuka kituko ha JF umepoteza credibility unatetaa ujinga Ukitaka ni mpigie kura Magufuli fanya hivi mchakato wa uchaguzi ndani ya chama chetu ccm urudiwe sio uhuni wa kutoa form kwa mwenyeki ili nitatizo kubwa sana kura nyingi za wanana ccm tunaenda kumpigia Lissu tumeona mchakakato kwenye chama chao ulivyo kwenda hadi Lissu akapatikana .

Pamoja na mwenyekit wetu kufanya mambo mengi sana ambayao watangulizi wake walishindwa kuyafanya chakushangaza ni muoga sana anakimbia kivulichake nakuunga mkono kura yangu nampigia Lissu hata kama sio mpizani maendeleo hayana chama tumpe mitano tuone.
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Usijifanye hujamwelewa mleta mada. Amekwambia pamoja na mazuri machache yaliyofanywa na ccm lakini kuna mabaya mengi wamefanya tena kwa miaka mingi lakini tumevumilia.

Upande huu mwingine hawajapata hiyo fursa tuone na wao wanafanyaje, lakini wewe unataka tuendelee kuwahukumu bila sababu. P. Wewe ni msomi mzuri na wewe unajua si vema kukihukumu kitabu kwa kuangalia title yake tu.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Hivi mbona watawala watangulizi hawakupenda kusifiwa hivi. Kwa nini utawala huu unataka na kung'ang'ania sana kusifiwa. Hivi hii ni nini sasa! Kuna nini? Yaani ushamba uliooneshwa juzi wa kuita wasanii na kutumia fedha zote hizo wakati mama zetu huku mavijijini hawana dawa na wanajifunika mashuka ambayo ni vitambaa walivyopewa na CCM ni ushamba kweli kweli.
 
Ukitaka kujua Upinzani ni Wabnafsi kupita ccm waambie waungane.
Kila mtu anataka kuwahi ALE
Kwanini hata kama unakubalika usi sacrifize kumpa mwenzako?
Nyerere alijiuzuru na kumuachia Kawawa lkn hawa hawakubali.

Halafu hatuwezi kufanyia majaribio mambo muhimu . Kunyoa tu hatujaribishi saluni itakuwa nchi.
Waonyeshe kupitia shughuli zao za kila siku hata Ruzuku tu hawezi kujenga choo cha shule ?
 
Sio Jambo baya kuchagua upinzani lakini kwa Sasa wakurupukagi ni wengi kuliko viongozi.
 
Back
Top Bottom