Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Unataka kusema,tuliochukua nchi kutoka kwa wazungu,nchi ilitupwa au lilikuwa ni jaribio la kutumbuiza chooni?
Kwa sababu hoja yako hii hii waliitumia waingereza,ili nchi isipewe uhuru wake.
Naomba itafute hoja nyingine,hoja yako hii haina mashiko hata kidogo
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Haya mazuri hayahusiani na mafao ya kustaafu kaka na dada zetu wanayo yasubiri. Wengine ni mwaka wa tatu huu tangu wastaafu hata kupelekea baadhi kuaga dunia bila kumiliki mafao yao.

Tangu 2015 mshahara wangu ni ule ule.

Umeshaona mazinhira wanayosoma watoto katika hiyo inayoitwa elimu bure?
 
Enyi.vijana na wazee, nchi yetu sio ya kufanyia majaribio ya utawala.

Chagueni chama mnachokiamini kina uwezo, chenye track record. Chama ambacho mmeshuhudia kikitawala sio kinachotaka kujaribu kutawala.


Views sio kura.
Baada ya utawala na ukandamizaji wa wakoloni kwa miaka mingi,watanzania walikataa kutawaliwa na wakoloni ndiyo sababu ya kukichagua chama cha TANU chini ya uongozi wa hayati baba wa taifa Mwlm JK Nyerere.
Siku hizi CCM awamu ya tano wamerudi kuwa watawala wa nchi hii jambo ambalo halikubaliki na wananchi hata kidogo,ndiyo sababu siku hizi wananchi wanaamua kuwaunga mkono vyama vya upinzani kwa sababu wanaonesha uwezo mkubwa wa UONGOZI na si UTAWALA
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Kwa maneno haya nimegundua kuwa watanzania hawajui umuhimu wa upinzani na wataendelea kutawaliwa na ccm mpaka watakapofunguka akili zao. Wasomi wa Tanzania bado sana fikra zao.
 
Ukitaka kujua Upinzani ni Wabnafsi kupita ccm waambie waungane.
Kila mtu anataka kuwahi ALE
Kwanini hata kama unakubalika usi sacrifize kumpa mwenzako?
Nyerere alijiuzuru na kumuachia Kawawa lkn hawa hawakubali.

Halafu hatuwezi kufanyia majaribio mambo muhimu . Kunyoa tu hatujaribishi saluni itakuwa nchi.
Waonyeshe kupitia shughuli zao za kila siku hata Ruzuku tu hawezi kujenga choo cha shule ?
Wapinzani ni wabinafsi mbona ccm mwaka huu imetoka form moja ya mwenyekiti wa chama au kwenu huo sio ubinafsi
 
Haya mazuri hayahusiani na madai ya kustaafu kaka na dada zetu wanayo yasubiri. Wengine ni mwaka wa tatu huu tangu wastaafu hata kupelekea baadhi kuaga dunia bila kumiliki madai yao.

Tangu 2015 mshahara wangu ni ule ule.

Umeshaona mazinhira wanayosoma watoto katika hiyo inayoitwa elimu bure?
Magu ccm serekali yake ni matapeli hawalipi hella kabisa sio za kustaafu sio za wakandalisi wala supplies huu mwaka watono wana hakiki ccm nilazi mwaka huu tuindoe kwanguvu ya umma
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Ndugu Pascal Mayala
Watanzania tunataka mabadiliko.
Kwa vile hatukuyapata ndani ya CCM tutayatafuta nje ya CCM.-By Mwalimu Nyerer.
Sehemu ya mabadiliko tuyatakayo ambayo CCm hawataki kutupatia ni :-
.Katiba Mpya.
.Muuundo mpya wa Muungano.
.Tume huru ya Uchaguzi.
.Mfumo mpya wa kodi na
.Uwekezaji wenye kuleta tija kwa Raia na Taifa ,(sio huu wa CCM kila ajae anamlaumu aliye pita kwa Rushwa,Ufisadi na mikataba ya hovyo-yote hayo yamefanywa na serikali za CCM wenyewe- Panya wote niwezi tu mtoto, baba,babu na mama)

Yamkini Mleta mada amekusudia kuyazingatia hayo.
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Nimekujua kitambo, enzi za KITI MOTO nakumbuka siku moja ulikuwa na mheshimiwa Idd Simba, (RIP) kiti kiliwaka moto kweli, bali kwa sasa naanza kuamini kupitia wewe kwamba 'mzee' hupenda kuishi zaidi au kustarehe zaidi klk vijana. na hapendi changamoto, hivi kufanya MABADILIKO tena ya kisheria na kikatiba unakuwa umeacha mbachao?
 
Waampe kwanza LISSU uwenyekiti CHADEMA na UKUB tuone anaongoza vipi ndipo tumpe IKULU.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Sumu haionjwi!
By Jenerali wa M4C - Alkaeli Mbowe
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Sumu haionjwi. Nani wa kuchagua ushoga?
 
Waampe kwanza LISSU uwenyekiti CHADEMA na UKUB tuone anaongoza vipi ndipo tumpe IKULU.
Nyie metoa form moja ya ngombea kwa mwekiti mnajamba jamba tu tulia dawa iwaangie chamdema sio chama cha kukariri nani kakuambia rais la zima awe mwenyekiti wa chama hili nikosa mlilolifana ccm kwakuto kuaminia na wengi ni mbumbumbu ndio maana ngombea wenu alijipitisha mwenye bila kupingwa wakati hana sifa angalia wenzenu wa ANC walivyo muengua Zuma nyie mpo hapo mnakenua menu zero kichwani kila kitu nikushangili
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Wewe ulishakunywa maji ya bendera ya CCM.
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Ndg umemaliza dili la Simiyu??
Mzee wa kitimoto tunachosema ni maendeleo ya watu sio vitu!!
Ethiopia wana mabwawa makubwatuu, wana reli za kisasa, madege ya kumwaga Afrika nzima hakuna, lakini watu wanakimbia kila siku ni UDICTEITA!!
People turned slaves in there own country!!
Fikiria North Korea, China Moscow etc??
Fikiria WaTz kama ulivyokuwa zamani, Acha kufikiria kuteuliwa on the expence of poor Tanzanians!!
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Umenena mkuu! Hatuwezi kufanya ujinga huo eti kisa akina flani watawale.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Ccn wanaogopa kukabidhi nchi, wanajua the moment wanakabidhi serikali kwa upinzani basi wameisha!
Wanajua madhambi yenye wamekuwa wakiyafanya lazima wafungwe maisha magerezani, wanajua viwanja vya michezo, majengo ya serikali, magari ya serikali, assets zote za serikali walizozibinafsisha na kuzifanya za chama zitachukuliwa na kurudishwa serikalini. Wanajua ufisadi wote walioufanya lazima mafaili yafukuliwe, uchunguzi wa kina ufanyike, wahusika wote wachukuliwe hatua.
Uminyaji wa demokrasia, ubakaji wa katiba, uvunjaji wa sheria za nchi, watashughulikiwa, hili linawapa hofu kubwa, hawapo radhi kukabidhi serikali hawa watu, njia mbadala inabidi zitumike ikiwa watashindwa katika uchaguzi kisha wagome kukabidhi dola! Ama zao ama za Watanzania!
Hebu fikiria uuzwaji wa nyumba za serikali uliofanywa na Jiwe, ugaidi dhidi ya ubinadam uliofanywa na Bashite, ubakaji wa sheria za nchi uliofanywa na Mtu mrefu Ndugayi, rushwa za wazi wazi RC Mnyeti, uvamizi wa Ole Sabay, Bashite,

Hawa watu inabidi kuwanyang'anya dola kwa nguvu, hawatakubali, wataiba kura kama 2015, maana anajua kabisa urais alionao leo sio wake, alipora ushindi wa upinzani mwaka2015
 
Back
Top Bottom