Mtu anaweza kuwa na maendeleo bila vitu?Ndg umemaliza dili la Simiyu??
Mzee wa kitimoto tunachosema ni maendeleo ya watu sio vitu!!
Ethiopia wana mabwawa makubwatuu, wana reli za kisasa, madege ya kumwaga Afrika nzima hakuna, lakini watu wanakimbia kila siku ni UDICTEITA!!
People turned slaves in there own country!!
Fikiria North Korea, China Moscow etc??
Fikiria WaTz kama ulivyokuwa zamani, Acha kufikiria kuteuliwa on the expence of poor Tanzanians!!
Huu ukweli huwa hawataki kuusikiaMkuu Mtumishi Wetu, kuhusu maendeleo ya vitu vs maendeleo ya watu, naungana na wewe.
Na utawala hata uwe mzuri vipi, ukikaa muda mrefu sana, unakuwa monotonous unachukua, hivyo kuna need ya kufanya mabadiliko ili kubadili mboga.
Tatizo kwa Tanzania ya sasa ni kweli chama changu CCM kime overstayed lakini tatizo ni utampa nani kuibadili CCM?. It's very unfortunately hakuna mbadala wa CCM, unless useme tuijaribu tuu Chadema au ACT, liwalo na liwe!. Who would dare take such a risk?.
Better a devil you know, than a devil you don't know!.
Chadema ipi ya kuipa nchi au ACT ipi ya kuipa nchi?.
P
Tafuta nchi yako ya majaribio uwape hao waropokaji akina Tundu LissuKuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.
Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.
Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.
Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.
Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.
#MakeTanzania great again
Nyie metoa form moja ya ngombea kwa mwekiti mnajamba jamba tu tulia dawa iwaangie chamdema sio chama cha kukariri nani kakuambia rais la zima awe mwenyekiti wa chama hili nikosa mlilolifana ccm kwakuto kuaminia na wengi ni mbumbumbu ndio maana ngombea wenu alijipitisha mwenye bila kupingwa wakati hana sifa angalia wenzenu wa ANC walivyo muengua Zuma nyie mpo hapo mnakenua menu zero kichwani kila kitu nikushangili
Dah....bora tujaribu kwa Hashim Rungwe....tuanze kula wali kuku 🤣 🤣🤣Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.
Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.
Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.
Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.
Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.
#MakeTanzania great again
Kama mabeberu wamewahi kuziacha nchi za kiafrika kujitawala basi ccm itashinda tena kwa wiz wa kura lkn kama hawajawahi kuziacha hizo nchi za kiafrika basi ccm mwaka huu chali iwe Jua iwe mvuaKuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.
Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.
Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.
Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.
Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.
#MakeTanzania great again
Sasa kama.hajaprwa nafasi unataka ulione wapi alilofanya. Ndio maana Pazia kasema ili uone atafanya nini mpe nafasi.Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.
Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.
Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Aacha kulisha maneno mleta uzi,majaribio umesema wewe, walioanzisha mfumo wa vyama vingi si wajinga ila walafi na wezi ndio wanauchukia, mwanafunzi mjinga siku zote uchukia aliyebuni mtihani.Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.
Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.
Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Tumewapa ccm wamekurupuka kwa miaka 60 hadi leo madawati mashuleni bado mo mtihani.Sio Jambo baya kuchagua upinzani lakini kwa Sasa wakurupukagi ni wengi kuliko viongozi.
Naungo mkono hoja ccm wakagombe umiss siasa zimewashinda tumuachia Lissu tuone itakuajeKuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.
Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.
Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.
Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.
Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.
#MakeTanzania great again
Wananunuliwa kama njugu.Tumchague lissu anatosha jiwe halitufai
Ni mbaguzi si kiongozi mzuri WA kukemea maovu na ni mbariki WA maovu hayo.
Kujenga na waliopita walijenga na watakokuja watajenga na wengine. Usilazimishe kupendwa lakni unachokilazimisha watu hawakitaki. Jiwe bila ya nguvu ya policcm na kuuiba kurq hashindi na nakuapia kwa jina lá Mungu.
Acha utoto wewe nchi hii haiongozi kwa mazoea Kama unavofikiria wewe eboooo!😬😬, tunachagua kiongozi mwenye kutufikisha kwenye nchi ya ahadi na siyo kumuonea huruma mtu eti atuongoze kwa kujaribu damn!Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.
Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.
Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.
Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.
Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.
#MakeTanzania great again
Paskali wewe kwa uelewa wako huamini kuwa uzur I wa kitu huthibitka baada ya kuleta kitu kingne..kama umezoa kutumika desktop kumpyuta hivyo huweza kubali mpakato kwasabb desktop umeizoea? Paskali usiniangushee!!Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.
Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.
Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Ushuzi mtupuKuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.
Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.
Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.
Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.
Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.
#MakeTanzania great again