Ushauri wangu Tanesco; Wakati huu wa mgao Futeni kwa muda ma group yote ya whatsapp kwa wateja wenu! Mtanishukuru baadae

Ushauri wangu Tanesco; Wakati huu wa mgao Futeni kwa muda ma group yote ya whatsapp kwa wateja wenu! Mtanishukuru baadae

Huduma ni pamoja na kujua kuzichanga karata!

Cha msingi lengo ni huduma bora!
Dakitali mzuri ni yule anaepambana OP room halafu akitoka inje anarudi na jibu la kueleweka kwamba mgonjwa kafa au kapona!

Lakini dakitali anaetoka O.P room kila muda kuongea na ndugu kwamba mgonjwa kapiga chafya, kakonyeza, sijui what what what! HAISAIDII! Bingwa ni yule anaepambana kisayansi na kuja na majibu ya kisansi full stop!

Wakati huu wa mgao siyo muda wa kufurahisha mtu!
TOENI TAARIFA KWA MFUMO WA PRESS CONFERENCE, RADIO, TV Na special page tu kupitia TANESCO YETU!
Vituo vidogo vitarusha taarifa call center kwa taarifa ili sisi wananchi tupate huko!

ACHANENI NA BLAAH BLAAH UPDATES KWENYE MAKUNDI YA WHATSAPP! MTACHAFUKA BURE! Kwanza mnajipa kazi bure kutuelewesha wengine wala hatuhitaji hayo ma mbambamba Mengi ya MEGAWATTS!

TUNACHOTAKA UMEME UPO AU HAUPO!
CHONDECHONDE TANESCO FUTENI MAGROUP YA WHATSAPP YANACHOCHEA HASIRA KWA WANANCHI.
Huduma ikirejea VYEMA NDIPO MTAUNGA UPYA!
Sasa hivi pambaneni kimyakimya!
Nashukuru wameanza kuyafuta!
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, MAHARAGE Amejitahidi kiasi chake! Mambo mengine Yapo inje ya uwezo wake! Hajafanya vizuri kwa 100% lakini ukilinganisha na watangalizi wake angalau kathubutu kiasi chake!
Kiasi anajitahidi huyu kijana
Kajitaidi kivipo wakati kaikuta nchi haina mgao wa umeme wananchi tunaishi ma umeme muda wote, yeye ndiyo kasababisha mgao anatakiwa kuondoka ofisini yeye na mjinga mwenzie alikuwa ana uza Dish na decoder leo hii anasimamia kuaribu na kutesa wananchi
 
Ya nani ilikuwa na kitu!? MAHARAGE huyu Huyu karejesha HESHIMA KUBWA kwa watumishi TANESCO, Maharage huyuhuyu kaboresha upatikanaji LUKU siyo mambo ya kukaa mwaka tena,
HATA KAMA SIYO 100% LAKINI KAJITAHIDI SANA YEYE NA TEAM YAKE!
Tusiwe watu wakulaumu tu tujue na kuwapongeza,
Luku lazima zipatikane kwasababu wateja wamepungua baada ya Rea kufa wateja wa 27000 hawapo tena kwaiyo maluku yamejaa tu store, sawa na wananchi waache kufuria sabuni za unga wawe warudi kwenye kutumia sabuni za miche, lazima sabuni za unga zitakuwa nyingi maduka hazina wateja
 
Luku lazima zipatikane kwasababu wateja wamepungua baada ya Rea kufa wateja wa 27000 hawapo tena kwaiyo maluku yamejaa tu store, sawa na wananchi waache kufuria sabuni za unga wawe warudi kwenye kutumia sabuni za miche, lazima sabuni za unga zitakuwa nyingi maduka hazina wateja
Kwahiyo sahivi REA Hawalipi 27000 au imekufaje ebu fafanua
 
Huduma ni pamoja na kujua kuzichanga karata!

Cha msingi lengo ni huduma bora!
Dakitali mzuri ni yule anaepambana OP room halafu akitoka inje anarudi na jibu la kueleweka kwamba mgonjwa kafa au kapona!

Lakini dakitali anaetoka O.P room kila muda kuongea na ndugu kwamba mgonjwa kapiga chafya, kakonyeza, sijui what what what! HAISAIDII! Bingwa ni yule anaepambana kisayansi na kuja na majibu ya kisansi full stop!

Wakati huu wa mgao siyo muda wa kufurahisha mtu!
TOENI TAARIFA KWA MFUMO WA PRESS CONFERENCE, RADIO, TV Na special page tu kupitia TANESCO YETU!
Vituo vidogo vitarusha taarifa call center kwa taarifa ili sisi wananchi tupate huko!

ACHANENI NA BLAAH BLAAH UPDATES KWENYE MAKUNDI YA WHATSAPP! MTACHAFUKA BURE! Kwanza mnajipa kazi bure kutuelewesha wengine wala hatuhitaji hayo ma mbambamba Mengi ya MEGAWATTS!

TUNACHOTAKA UMEME UPO AU HAUPO!
CHONDECHONDE TANESCO FUTENI MAGROUP YA WHATSAPP YANACHOCHEA HASIRA KWA WANANCHI.
Huduma ikirejea VYEMA NDIPO MTAUNGA UPYA!
Sasa hivi pambaneni kimyakimya!
Hamna kitu kinakera kama umeshinda na mgao halafu jioni wakati wanarudisha wanafanya microphone check ( washa zima ,washa zima ) wanaunguza vifaa vya watu majumbani bila sababu.
 
Hamna kitu kinakera kama umeshinda na mgao halafu jioni wakati wanarudisha wanafanya microphone check ( washa zima ,washa zima ) wanaunguza vifaa vya watu majumbani bila sababu.
Noma sana
 
Back
Top Bottom