Ndoa ni ya watu WAWILI pekee.....only two.....watatu ni sheitwani.......nyie wawili....nasema tena nyie wawili....ndio mtakaoamua mustakabali wenu..........only two....mke na mme.......kushirikisha watu wa nje ndio jeneza la ndoa yenu.....mkiona hamuwezi mkubaliane kutokukubaliana.Asante kwa elimu hii, wakati tunapata mafundisho ya ndoa kati ya vitu tulivyoambiwa ni kwamba endapo mwanaume hatoweza kufanya tendo la ndoa day one, basi unaweza toa taarifa pale ulipofunga ndoa kwa hatua zaidi. You are right, lakini lazima hatua zianzie kule ulipofunga ndoa.
Hahahahahahaha you made my day.Maturity doesn't come with age it comes with experience. Give yourself time, you'll learn
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine na wanaishi vzuri wanapendana!!Ciara [emoji7] Russell anavyompenda sasa hadi kamvisha pete ya $2M na ni single mother.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahaha hii dress code nitakuwa naivaa siku nayofanya mauaji.
hahahahahaaaaa....mkuuu acha hizo mambo.........akija mtu kuposa...lazima nikae nae chemba kwanza...sbb ktk vitu nisivyotaka ni kesi za mahaba.....so ntakupa fact....ila usije mpiga akarudi na ngeo.......hakika NTAKUSHUGHULIKIA haswaaa.Samahani Mkuu, yupo kwa age ngapi?!
Maisha haya hayana formula. Watu waache kujidanganya.Imagine na wanaishi vzuri wanapendana!!
Unatunza bikira unaenda kuolewa na kibamia. Af unaanza kusumbua viongozi wa dini wabatilishe ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ Tutengenezee Chemistry basi πhahahahahaaaaa....mkuuu acha hizo mambo.........akija mtu kuposa...lazima nikae nae chemba kwanza...sbb ktk vitu nisivyotaka ni kesi za mahaba.....so ntakupa fact....ila usije mpiga akarudi na ngeo.......hakika NTAKUSHUGHULIKIA haswaaa.
Unajua me bado sijakuelewa
CCM hii hata makonda mamlaka hayo anayo.hakuna Mchungaji/Padre/pasta/Shekhe mwenye mamlaka ya KUBATILISHA ndoa.....ni serikali pekee kupitia mahakama.
Daah! Hata Wewe [emoji23][emoji23][emoji23]Imagine na wanaishi vzuri wanapendana!!
Unatunza bikira unaenda kuolewa na kibamia. Af unaanza kusumbua viongozi wa dini wabatilishe ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Comments zako zinaonyeshaga kuwa haujafikisha mademu wa 5 kuwatomba.age 21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mm mkuu, kwel tenaDaah! Hata Wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha πππππUnajua me bado sijakuelewa
ina maana unahalalisha uzinzi Au
So hata kwa wanao we fresh tuu wakiwa teen age na Mashimo yao We ni fresh tuu huna noma ??[emoji38][emoji38]
Hauna ubongo kichwani mwako kuna shahawa za mbuziImagine na wanaishi vzuri wanapendana!!
Unatunza bikira unaenda kuolewa na kibamia. Af unaanza kusumbua viongozi wa dini wabatilishe ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika! Hata akiamua kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ni yeye, kikubwa maamuzi yake.Mostly hazinigusi personally sipendi kuona mtu anatukanwa na kudharauliwa kwa chaguo alilofanya. Kila mtu ana haki ya kuishi maisha yake jinsi anavyoona inampendeza yeye. Mwanamke ana haki ya kuchagua kua bikra, non bikra, kutoa mimba au kua single mother. Sio sahihi kumkebehi kisa kafanya maamuzi ambayo hayakupendezi wewe. Mwache na maisha yake.
Sent using Jamii Forums mobile app