Ushauri: Waziri Bashe awekwe pembeni ili amalizane na kesi zinazomkabili mahakamani

Ushauri: Waziri Bashe awekwe pembeni ili amalizane na kesi zinazomkabili mahakamani

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!!

Mh Bashe amegoma kujiuzulu Kwa hiari, ana tuhuma mahakamani ambazo anatuhumiwa Yeye kama waziri,

Na Kwakuwa, waziri wa KILIMO ni mtumishi wa umma, kuacha ofisi mara Kwa mara Ili kuhudhuria au kushughulikia mashauri yaliyoko mahakamani akiwa na mawakili wa Serikali kunamuondolea muda mzuri na utulivu wa kuwatumikia wananchi Kwa nafasi ya Waziri wa kilimo.

Ushauri: Mamlaka iliyo juu ya Waziri wa kilimo imuweke pembeni Ili ajisafishe na tuhuma dhidi yake.

MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Nawasilisha,

Karibuni 🙏
 
20240904_122706.jpg
 
Acha umbumbumbu wako hapa wewe. Kwa hiyo kila atakayekuwa anafunguliwa kesi mahakamani atakuwa anaachia nafasi yake? Ikiwa ni hivyo itakuwaje wakijitokeza vichaa nawavuta bangi wakaamua walifungulie mashitaka Baraza zima la mawaziri kwa kesi tofauti tofauti? Je baraza zima la mawaziri litakaa pembeni? Ndio sheria inavyosema hivyo? Hujuwi kuwa mtu anakuwa hana hatia mpaka apatikane na hatia baada ya ushahidi usio na shaka na usioacha shaka nyuma kutolewa na kuthibitishwa mahakamani?
 
Acha umbumbumbu wako hapa wewe. Kwa hiyo kila atakayekuwa anafunguliwa kesi mahakamani atakuwa anaachia nafasi yake? Ikiwa ni hivyo itakuwaje wakijitokeza vichaa nawavuta bangi wakaamua walifungulie mashitaka Baraza zima la mawaziri kwa kesi tofauti tofauti? Je baraza zima la mawaziri litakaa pembeni? Ndio sheria inavyosema hivyo? Hujuwi kuwa mtu anakuwa hana hatia mpaka apatikane na hatia baada ya ushahidi usio na shaka na usioacha shaka nyuma kutolewa na kuthibitishwa mahakamani?
Rudia kusoma ulichoandika.
 
Salaam, shalom!!

Mh Bashe amegoma kujiuzulu Kwa hiari, ana tuhuma mahakamani ambazo anatuhumiwa Yeye kama waziri,

Na Kwakuwa, waziri wa KILIMO ni mtumishi wa umma, kuacha ofisi mara Kwa mara Ili kuhudhuria au kushughulikia mashauri yaliyoko mahakamani akiwa na mawakili wa Serikali kunamuondolea muda mzuri na utulivu wa kuwatumikia wananchi Kwa nafasi ya Waziri wa kilimo.

Ushauri: Mamlaka iliyo juu ya Waziri wa kilimo imuweke pembeni Ili ajisafishe na tuhuma dhidi yake.

MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Nawasilisha,

Karibuni 🙏
ni muhimu zaid kumzingatia mtoa tuhuma kuliko tuhuma zenyewe kwanza 🐒
 
bashe ajiuzuru kwa maneno ya mkosaji mpina? mpina akipewa uwaziri anatulia hasemi sasa huyo ni mzalendo?
Wakulima wa miwa ndio wamemshtaki waziri wa kilimo kupitia UMOJA wao.

Mpina anaingiaje hapo?
 
ni muhimu zaid kumzingatia mtoa tuhuma kuliko tuhuma zenyewe kwanza 🐒
Wakati tukimzingatia mtoa tuhuma,

Ndugu Bashe aondolewe Ofisini Ili KAZI iendelee ya kuwatumikia wananchi Kwa utumishi uliotukuka kama ambavyo ndugu Lucas Mwashambwa amekuwa akirudia Kila kukicha.
 
Wakati tukimzingatia mtoa tuhuma,

Ndugu Bashe aondolewe Ofisini Ili KAZI iendelee ya kuwatumikia wananchi Kwa utumishi uliotukuka kama ambavyo ndugu Lucas Mwashambwa amekuwa akirudia Kila kukicha.
able and capable young and vibrant minister Hussein Bashe has nothing to do with nonsense and useless allegations..

he has duties to perform for the betterments of the farmers of the land and nothing else 🐒
 
able and capable young and vibrant minister Hussein Bashe has nothing to do with nonsense and useless allegations..

he has duties to perform for the betterments of the farmers of the land and nothing else 🐒
Mteule wa Rais hapaswi kuwa na tuhuma nzito kiasi hicho court Kisha aendelee kuwapo Ofisini.

Ile ni ofisi ya utumishi wa umma, akae pembeni, akithibitika Hana hatia, atarudishwa kivingine huko mbeleni.

Lakini Kwa sasa, anakosa sifa za kuendelea kuwepo Ofisini.
 
Mteule wa Rais hapaswi kuwa na tuhuma nzito kiasi hicho court Kisha aendelee kuwapo Ofisini.

Ile ni ofisi ya utumishi wa umma, akae pembeni, akithibitika Hana hatia, atarudishwa kivingine huko mbeleni.

Lakini Kwa sasa, anakosa sifa za kuendelea kuwepo Ofisini.
hakuna muandamizi mwenye dhamana na jukumu la kitaifa serikalini anaweza kuacha wajibu huo muhimu na wa kizalendo wa kuwatumikia wananchi akaanza kubabaika na uzushi, vinyongo, kibiri na hasira za watu walioshindwa kazi wakatemwa barazani, that is completely useless :NoGodNo:
 
hakuna muandamizi mwenye dhamana na jukumu la kitaifa serikalini anaweza kuacha wajibu huo muhimu na wa kizalendo wa kuwatumikia wananchi akaanza kubabaika na uzushi, vonyongo na hasira za watu walioshindwa kazi wakatemwa, that is completely useless :NoGodNo:
Mbona ziara ya china hakwenda ilhali KILIMO kilikuwa Moja ya agenda muhimu?
 
Salaam, shalom!!

Mh Bashe amegoma kujiuzulu Kwa hiari, ana tuhuma mahakamani ambazo anatuhumiwa Yeye kama waziri,

Na Kwakuwa, waziri wa KILIMO ni mtumishi wa umma, kuacha ofisi mara Kwa mara Ili kuhudhuria au kushughulikia mashauri yaliyoko mahakamani akiwa na mawakili wa Serikali kunamuondolea muda mzuri na utulivu wa kuwatumikia wananchi Kwa nafasi ya Waziri wa kilimo.

Ushauri: Mamlaka iliyo juu ya Waziri wa kilimo imuweke pembeni Ili ajisafishe na tuhuma dhidi yake.

MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Nawasilisha,

Karibuni [emoji120]
Bashe anaendelea kupelekewa mishale ya SUMU...

Huyu ndugu amepigwa sana mishale hiyo.....

Nakumbuka huko nyuma ameshawahi KUTUHUMIWA si raia(siasa majitaka)....

Kwa kuonewa tu...kwa ubaguzi tu...ubaguzi wa rangi na kila kinachohusu silsila za ubaguzi....

Akapambana na wanasiasa wenzake.....

Leo ni mbunge na waziri.....

Vita bado inamuandama....

Kwa kuzoea kwake mapambano nadiriki kumsifu na kumpa hongera kwa kuwa na STAMALA kwani ninawapenda watu madhubuti na wasiorejea nyuma hata wakibaki peke yao.....

Ninaamini katika:

1)Persistence
2) Perseverance
3) Patience

Nje ya maslahi ya uadhimu wa watanzania na nje ya vita vyangu dhidi ya ubaguzi wa kila namna sina maslahi yoyote katika kumuongelea yeye vyema.

Mwenyezi Mungu azidi kumtia nguvu yeye na wote wenye mtazamo chanya kwa VIONGOZI wetu na watanzania kwa ujumla ,aaamin aaaamin [emoji7]

#Nchi Kwanza [emoji7]
#Say No To Bigotry [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Acha umbumbumbu wako hapa wewe. Kwa hiyo kila atakayekuwa anafunguliwa kesi mahakamani atakuwa anaachia nafasi yake? Ikiwa ni hivyo itakuwaje wakijitokeza vichaa nawavuta bangi wakaamua walifungulie mashitaka Baraza zima la mawaziri kwa kesi tofauti tofauti? Je baraza zima la mawaziri litakaa pembeni? Ndio sheria inavyosema hivyo? Hujuwi kuwa mtu anakuwa hana hatia mpaka apatikane na hatia baada ya ushahidi usio na shaka na usioacha shaka nyuma kutolewa na kuthibitishwa mahakamani?
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom