Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Umeelewa nini kwa alichokiandika ?!!Rudia kusoma ulichoandika.
Unahamisha magoli ee?!?
Karibu Matema beach tule upepo[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa nini kwa alichokiandika ?!!Rudia kusoma ulichoandika.
[emoji1787]ni muhimu zaid kumzingatia mtoa tuhuma kuliko tuhuma zenyewe kwanza [emoji205]
Ooohoo isije ikawa wafanyabiashara wa sukari wamejificha nyuma ya hao wakulima ....Wakulima wa miwa ndio wamemshtaki waziri wa kilimo kupitia UMOJA wao.
Mpina anaingiaje hapo?
Kirahisi tu hivyo?!!Mteule wa Rais hapaswi kuwa na tuhuma nzito kiasi hicho court Kisha aendelee kuwapo Ofisini.
Ile ni ofisi ya utumishi wa umma, akae pembeni, akithibitika Hana hatia, atarudishwa kivingine huko mbeleni.
Lakini Kwa sasa, anakosa sifa za kuendelea kuwepo Ofisini.
[emoji7]hakuna muandamizi mwenye dhamana na jukumu la kitaifa serikalini anaweza kuacha wajibu huo muhimu na wa kizalendo wa kuwatumikia wananchi akaanza kubabaika na uzushi, vinyongo, kibiri na hasira za watu walioshindwa kazi wakatemwa barazani, that is completely useless![]()
Kesi ipi tena jomba..??embu tuhabarishe..la msingi msimuingize mama yetu na makesi yenu..reli imeshachukua kazi saizi...msitutoe nje ya reli..malizaneni wenyewe huko..Salaam, shalom!!
Mh Bashe amegoma kujiuzulu Kwa hiari, ana tuhuma mahakamani ambazo anatuhumiwa Yeye kama waziri,
Na Kwakuwa, waziri wa KILIMO ni mtumishi wa umma, kuacha ofisi mara Kwa mara Ili kuhudhuria au kushughulikia mashauri yaliyoko mahakamani akiwa na mawakili wa Serikali kunamuondolea muda mzuri na utulivu wa kuwatumikia wananchi Kwa nafasi ya Waziri wa kilimo.
Ushauri: Mamlaka iliyo juu ya Waziri wa kilimo imuweke pembeni Ili ajisafishe na tuhuma dhidi yake.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Nawasilisha,
Karibuni 🙏
Na Rwanda hakuwepo ?!!Mbona ziara ya china hakwenda ilhali KILIMO kilikuwa Moja ya agenda muhimu?
Uwe unaangalia taarifa za habari si udaku tu....Alikuwa Nchi ipi hiyo?
Kingdom ?!!Hoja yako ina mashiko kwenye Democratic countries lakini Kingdom country kama Tanzania!
Itasaidia kujua ulivyo mwongo!!hiyo itasaidia nini ukijua, kwa mfano gentleman?![]()
Hata hapa hatua huchukuliwa haraka tu, kumbuka DC wa Roliondo, yule RC aliyetuhumiwa kumnajisi mwanafunzi wa chuo sauti nk nk.Hoja yako ina mashiko kwenye Democratic countries lakini Kingdom country kama Tanzania!
Rwanda walitoa msaada Kwa TZ lini?Uwe unaangalia taarifa za habari si udaku tu....
RWANDA haiko sayari ya JUPITER....[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kuhusu Vibali vya sukari.Tuhuma Gani Mkuu
BBT
hiyo haina maana hata kidogo ni kukosa hoja tuItasaidia kujua ulivyo mwongo!!

Ukiwa kizimbani, hakimu hawezi kukuruhusu ujifiche nyuma ya mwenzio usionekane!!Ooohoo isije ikawa wafanyabiashara wa sukari wamejificha nyuma ya hao wakulima ....
Vita ngumu hii [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ukimshitaki Waziri umeishitaki serikali hivyo mawakili wa Serikali watamuwakilishaSalaam, shalom!!
Mh Bashe amegoma kujiuzulu Kwa hiari, ana tuhuma mahakamani ambazo anatuhumiwa Yeye kama waziri,
Na Kwakuwa, waziri wa KILIMO ni mtumishi wa umma, kuacha ofisi mara Kwa mara Ili kuhudhuria au kushughulikia mashauri yaliyoko mahakamani akiwa na mawakili wa Serikali kunamuondolea muda mzuri na utulivu wa kuwatumikia wananchi Kwa nafasi ya Waziri wa kilimo.
Ushauri: Mamlaka iliyo juu ya Waziri wa kilimo imuweke pembeni Ili ajisafishe na tuhuma dhidi yake.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Nawasilisha,
Karibuni 🙏
Kudogo ni lugha Gani?kudogo
Ameshtakiwa waziri Bashe binafsi kama waziri na Si Serikali,Ukimshitaki Waziri umeishitaki serikali hivyo mawakili wa Serikali watamuwakilisha