Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Single father
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwela au ?maana makabila mengine mtoto ni wa mama.Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Nilijua nimeona mengi, kumbe badooo, njoo unipe mm mimba nizae nitakuwa natuma matumiziNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
🤣🤣🤣🤣Kuna muda wanaume hukwama pia mkuuWewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
Hiyo ndiyo maana ya 50/50, sasa kama jamaa ajira hana alafu mama ndiyo mwenye ajira kwa nini Mama mzazi asichangie malezi ya mwanawe!!??Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
kama mama wa mtoto anatoka kwa matrilineal society, na mnaishi kwa mfumo huo, uko sahihi kulalamika, endelea kupambana naNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Eeeh 😂😂Anzia ustawi wa jamii kisha watakupa taratibu za kufika mahakani kama mama wa mtoto atakuwa bado mbishi kutoa pesa ya matunzo kwa mtoto
Plan B PubUtakuta team pinzani.
Ndio mbona niny mnaendaga 😂Eeeh 😂😂
Ndiyo maana Mama kaingia mitini baada ya kusanuka baba anataka kumbambikia mtoto si wake!!Una uhakika huyo mtoto ni wa kwake? Isije ikawa unamsingizia
dada wa watu
Sawa,ila hii hapana yaani nikujidhalilisha tu kwakweli 😂😂😂Ndio mbona niny mnaendaga 😂
Wewe ni Kaka au Dada?🤣Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu