Ushauri weni: Mama wa mtoto hatumi pesa ya matumizi nichukue hatua gani?

Ushauri weni: Mama wa mtoto hatumi pesa ya matumizi nichukue hatua gani?

Sijasoma walicho changia wengine BUT nimeogopa sana wallah; kama vijana wetu wa kiume ndio wapo hivi, hi ni zaidi ya hatari. Tuna vijana wa kiume wengi sana kuliko WANAUME. Yaani mwanaume kabisa unaomba pesa ya matumizi kwa mwanamke? Inashangaza sana
 
Unatupanga tu jombaa, hamna kitu kama hiko...Au labda uwe ni ke mwenye ID ya me na hapo kwenye mama umekusudia baba
 
Unayo hoja ya msingi ndugu, Tena mama anayo ajira na malezi yanawahusu wazazi wote. Si vibaya nae akichangia japo kiduchu. Sema nae mzazi mwenzio.
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
20250125_105329.jpg
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Wewe sijui uko upande gani kati ya mpumbavu na mjinga? Mtoto yupo kwa bibi yake, maana yake wewe huwajibiki kwa chochote kwake! Unataka mama wa mtoto akutumie matumizi, uwanaume wako upo wapi sasa? Au ni shoga?
 
Jukumu la kulipia mtoto ada, matumizi na mavazi ni lala baba kisheria ingawa mama anaweza kuchangia endapo mahakama inathibitisha mama anauwezo huo na baba hana uwezo sana.

Ila sasa ndio mwanaume wewe utasimamaje mahakani kuanza kudai pesa ya matumizi ya mtoto kutoka kwa mama kila mtu atashangaa.
Wanaume tulishabanwa na sheria hatuhemi.
Yeye aliajiriwa najua analipwa vizur tu
Huo mshahara anaopata anapeleka wapi 🤔
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
[emoji53]
 
Huu ujumbe ni wenyewe au moderator wame edit jinsia ya mfungua Uzi na mlalamikiwa🤔🤔??
 
Beba mtoto mfuate huko huko mkaishi wote mlee mtoto wenu... hata kama kila mtu alalala chumba chake lakini mtoto apate matunzo ya mama na baba. Uzinzi wenu usimtese Mama..... pambaneni wenyewe..
Out of bonds
 
Unayo hoja ya msingi ndugu, Tena mama anayo ajira na malezi yanawahusu wazazi wote. Si vibaya nae akichangia japo kiduchu. Sema nae mzazi mwenzio.
Bora umefkiri kwa kina kuliko wanaotukana
Watanzania wanapenda kushambulia mtu bila sababu
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Lazima akutumie Pesa ya matumizi kwa maana keshakuchezea na kukuharibia ujana wako mpeleke dawati la jinsia kabla hujaenda mahakamani.
 
Ningepata mwanamke wa kuniachia mwanangu kama hivi ningefurahi sana, Kijana Umepata nafasi nzuri unataka kuichezea ww mwanaume ukadai matumizi kwa mwanamke.
Hata uko Dawati la jamiii hawatokuelewa kule wao wanatetea wanawake na Watoto. Mwanaume hauna nafasi Dawati ya kupata usawa, usawa upo kwenye maongezi ya Radio station
 
Back
Top Bottom