Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Sijasoma walicho changia wengine BUT nimeogopa sana wallah; kama vijana wetu wa kiume ndio wapo hivi, hi ni zaidi ya hatari. Tuna vijana wa kiume wengi sana kuliko WANAUME. Yaani mwanaume kabisa unaomba pesa ya matumizi kwa mwanamke? Inashangaza sana