Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sheria ibadilishwe, jukumu liwe ni la mama, kwa sababu tuna uhakika kabisa ni mama yake mzazi, baba anaweza kuwa alibambikwa tu.Jukumu la kulipia mtoto ada, matumizi na mavazi ni lala baba kisheria ingawa mama anaweza kuchangia endapo mahakama inathibitisha mama anauwezo huo na baba hana uwezo sana.
Ila sasa ndio mwanaume wewe utasimamaje mahakani kuanza kudai pesa ya matumizi ya mtoto kutoka kwa mama kila mtu atashangaa.
Wanaume tulishabanwa na sheria hatuhemi.
Kutwa tunasimangwa htauolewiNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
JinyongeNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Asante mkuuNi haki yako na uko sawa tafuta tu msaada wa kisheria Dawati or ustawi wa jamii
Sikumtongoza yeye alini munitipulate alijileta mwenyewe kwanza aliniweka busy skuenjoy maisha ya chuo😡Kutwa tunasimangwa htauolewi
Wanaume wenyewe ndo hawa
Tusameane ndugu yangu nimepitiwa tu aisee ila yule mgerasi semenya maghayo ni umbwaaaa kabisaLondon Boy leo hii unanitusi chaliangu?
Huyo mwanamke ni mshenzi na hana adabu kabisa kwa nini hakutumii hela ya matumizi wewe na mtoto? Mpeleke dawati la malalamiko aitwe aulizwe hiyo siyo haki kabisaNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
😁😁😁Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Sikiza kaka.jitaffute sana ulee mtoto mwenyewe.huyo mtoto ni jukumu lako piaSikumtongoza yeye alini munitipulate alijileta mwenyewe kwanza aliniweka busy skuenjoy maisha ya chuo😡
Angekuwa jobless it's ok lkn alipata ajira sehemu inalipa vizurSikiza kaka.jitaffute sana ulee mtoto mwenyewe.huyo mtoto ni jukumu lako pia
Mwanaume kulilia pesa ya mwanamke ni kujidhalilisha.
Pambana hata ukipata buku Ina nafasi yake katika mahitaji.kadri siku ziendavyo utazoea na utamsahau.
Wanawake wa kuitwa single mother wanapambana barabarani kulea watoto wenyewe..vipi wewe mwanaume?
Nchi inazidi kupoteza nguvu kaziNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume mzima wakati unamwagia ndani, ulifikiri nani wakuja kukusaidia hela za malezi?
Komaa na kiumbe chako ulichokileta duniani.
Hakuna aliyekusaidia kumwagia ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimae leo nimemwona feminist wa kiume [emoji1787][emoji1787]
Kaza mkuu hadi 50 kwa 50 ipatikane