Ushauri weni: Mama wa mtoto hatumi pesa ya matumizi nichukue hatua gani?

Ushauri weni: Mama wa mtoto hatumi pesa ya matumizi nichukue hatua gani?

Jukumu la kulipia mtoto ada, matumizi na mavazi ni lala baba kisheria ingawa mama anaweza kuchangia endapo mahakama inathibitisha mama anauwezo huo na baba hana uwezo sana.

Ila sasa ndio mwanaume wewe utasimamaje mahakani kuanza kudai pesa ya matumizi ya mtoto kutoka kwa mama kila mtu atashangaa.
Wanaume tulishabanwa na sheria hatuhemi.
Hii sheria ibadilishwe, jukumu liwe ni la mama, kwa sababu tuna uhakika kabisa ni mama yake mzazi, baba anaweza kuwa alibambikwa tu.
 
Aibu mnaona nyinyi wanaume wenzake 🤦🏾‍♂️🙆🏾

Nahisi mtoto wa mwisho / mziwanda wa mama, wanapendaga sana kujivictimize.

giphy.gif
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Kutwa tunasimangwa htauolewi
Wanaume wenyewe ndo hawa
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Jinyonge
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Huyo mwanamke ni mshenzi na hana adabu kabisa kwa nini hakutumii hela ya matumizi wewe na mtoto? Mpeleke dawati la malalamiko aitwe aulizwe hiyo siyo haki kabisa
 
Mie nadhan hakukosea na apongezwe na ameelewa au ana ufaham mzur wa Dunia hii wapi ILIPO na inapokwenda kama wanawake wanataka 50 kwa 50 nadhan iwe hivyooo tu hakuna namna!
 
Sikumtongoza yeye alini munitipulate alijileta mwenyewe kwanza aliniweka busy skuenjoy maisha ya chuo😡
Sikiza kaka.jitaffute sana ulee mtoto mwenyewe.huyo mtoto ni jukumu lako pia
Mwanaume kulilia pesa ya mwanamke ni kujidhalilisha.
Pambana hata ukipata buku Ina nafasi yake katika mahitaji.kadri siku ziendavyo utazoea na utamsahau.
Wanawake wa kuitwa single mother wanapambana barabarani kulea watoto wenyewe..vipi wewe mwanaume?
 
Sikiza kaka.jitaffute sana ulee mtoto mwenyewe.huyo mtoto ni jukumu lako pia
Mwanaume kulilia pesa ya mwanamke ni kujidhalilisha.
Pambana hata ukipata buku Ina nafasi yake katika mahitaji.kadri siku ziendavyo utazoea na utamsahau.
Wanawake wa kuitwa single mother wanapambana barabarani kulea watoto wenyewe..vipi wewe mwanaume?
Angekuwa jobless it's ok lkn alipata ajira sehemu inalipa vizur
Hana huruma uyu maybe amepata mtu anarubuni
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Nchi inazidi kupoteza nguvu kazi
 
Mwanaume mzima wakati unamwagia ndani, ulifikiri nani wakuja kukusaidia hela za malezi?

Komaa na kiumbe chako ulichokileta duniani.

Hakuna aliyekusaidia kumwagia ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom