Ushauri weni: Mama wa mtoto hatumi pesa ya matumizi nichukue hatua gani?

Wewe ni mwela au ?maana makabila mengine mtoto ni wa mama.
 
Nilijua nimeona mengi, kumbe badooo, njoo unipe mm mimba nizae nitakuwa natuma matumizi
 
Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
kama mama wa mtoto anatoka kwa matrilineal society, na mnaishi kwa mfumo huo, uko sahihi kulalamika, endelea kupambana na wife mzazi mwenzio ili atimize wajibu wake, au ukam-dispose mtoto kwa wajomba zake i.e where he belongsπŸ˜€
 
Beba mtoto mfuate huko huko mkaishi wote mlee mtoto wenu... hata kama kila mtu alalala chumba chake lakini mtoto apate matunzo ya mama na baba. Uzinzi wenu usimtese Mama..... pambaneni wenyewe..
 
Wewe ni Kaka au Dada?🀣
 
Fireeee

Fireee


Fireeeee

In the name of Jesus


Pyuuuuf touch

Pyuuuuf touchhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…