Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Upate mume uolewe sasa upunguziwe majukumu.
Nimeisoma hii kwa sauti ya Kipwani. πNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbayaπ‘ akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu π‘
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?π‘
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Anapambania haki ya mtoto wake tambua iloSawa,ila hii hapana yaani nikujidhalilisha tu kwakweli πππ
Akatafute kazi siyo kwenda ustawi wa jamii sasa π€£π€£Anapambania haki ya mtoto wake tambua ilo
Mbona wanaume wanatushitaki Mkuu .. haki sawa Kwa wote .... Alipeeeee alipeeee......Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
Yeye hana pesa ndio maana anaomba msaada mke atoe hudumaAkatafute kazi siyo kwenda ustawi wa jamii sasa π€£π€£
Ana Maralia plus,plus!Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
Wewe ni jinsia ipi kati ya Me na Ke. Kama wewe ni Me kweli una uhakika wewe ndio ulimpa huyo mwanamke mimba?Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Nahisi ata kwao hakuna wakubwa huyu πππYeye hana pesa ndio maana anaomba msaada mke atoe huduma
Yeye yatima π mimi naungana nae tena nitamtafutia mwanasheria mzuri tuNahisi ata kwao hakuna wakubwa huyu πππ
Naona una mda wa ziada mkuu ni bora unifundishe kupika mkate wa kumimina mimi π€Yeye yatima π mimi naungana nae tena nitamtafutia mwanasheria mzuri tu
Tafuta hela atakutafuta mkuuNikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
βοΈβοΈβοΈβοΈβοΈHii kauli ndio imenikera zaidi. Bora hata ungesema hatumi pesa ya matumizi mtoto na sio wewe na mtoto