Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Wewe sijui uko upande gani kati ya mpumbavu na mjinga? Mtoto yupo kwa bibi yake, maana yake wewe huwajibiki kwa chochote kwake! Unataka mama wa mtoto akutumie matumizi, uwanaume wako upo wapi sasa? Au ni shoga?Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Yeye aliajiriwa najua analipwa vizur tuJukumu la kulipia mtoto ada, matumizi na mavazi ni lala baba kisheria ingawa mama anaweza kuchangia endapo mahakama inathibitisha mama anauwezo huo na baba hana uwezo sana.
Ila sasa ndio mwanaume wewe utasimamaje mahakani kuanza kudai pesa ya matumizi ya mtoto kutoka kwa mama kila mtu atashangaa.
Wanaume tulishabanwa na sheria hatuhemi.
[emoji53]Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
Out of bondsBeba mtoto mfuate huko huko mkaishi wote mlee mtoto wenu... hata kama kila mtu alalala chumba chake lakini mtoto apate matunzo ya mama na baba. Uzinzi wenu usimtese Mama..... pambaneni wenyewe..
Haya mambo ni magumu sana,yani kila mtu anamstukia mwenzake,ukituma inaliwa halafu mtoto anapewa kidogo,hii wanaitumia sana wanawake,sasa ni zamu yao wamekutana na hiki kisiki...Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
Bora umefkiri kwa kina kuliko wanaotukanaUnayo hoja ya msingi ndugu, Tena mama anayo ajira na malezi yanawahusu wazazi wote. Si vibaya nae akichangia japo kiduchu. Sema nae mzazi mwenzio.
Take itUnatupanga tu jombaa, hamna kitu kama hiko...Au labda uwe ni ke mwenye ID ya me na hapo kwenye mama umekusudia baba
Wanawake mnaroho mbaya sana mapenzi yakiisha 😡Wewe ni Kaka au Dada?🤣
Lazima akutumie Pesa ya matumizi kwa maana keshakuchezea na kukuharibia ujana wako mpeleke dawati la jinsia kabla hujaenda mahakamani.Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo
Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye
Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu
Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?
Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake
Msaaada wenu
London Boy leo hii unanitusi chaliangu?Wenye akili za hivi humu ndani ni watu watatu tu pamoja na wewe
Yaan mgerasi Maghayo Chaliifrancisco Moisemusajiografii hawa ndo wana akili za kulelewa kama zako
Ndiyo maana Mama kaingia mitini baada ya kusanuka baba anataka kumbambikia mtoto si wake!!