Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

mmm afadhali wewe una miaka 39,, wengine huku tuna miaka 41 hatuna kazi ya kueleweka, hatuna madem tunaachwa kila siku tukiwapata,, wazazi wetu maskini hawana chochote,, tuna vyeti vyetu ndani tumeviihifadhi vizuri kabisa..... yaaan kwa kifupi hatuna namna tumekubaliana na hali halisi
Huyu nani?
Screenshot_20210307-152507.jpg
 
Badilisha ID yako badala ya Kikoozi jiite Kohozi-maana mnafanana kiakili na makohozi.
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Mzee atakuwa amestuka kwamba wewe siyo mtoto wake! Umepigwa!!
 
Nilitimuliwa kwa sms tu nikiwa na 24 yrs mwaka wa mwisho chuo, mzee kavu sana yule ila alhamdulillah alinisaidia sikubweteka
 
Wewe unaumwa!! Jasho lipi ulitoa. Si alikusomesha? Nadhani unavuta bangi au unapakatwa ndicho kitu kinampa hasira baba yako. Afterall hata mimi wanangu hawana urithi maana hata mie sikupata urithi toka kwa baba na baba hakupata urithi toka kwa babu. Kwa ukoo wetu mrithi ni mjukuu na wala si mwanao.
Yaani dingi kumtoa kwenye urithi ni haki kabisa. Eti linasema kuna jasho umetoa. Ametoa kwa kula na kulala bure kwenye nyumba ya baba yake? Angekuwa na haki na hiyo mali iwapo mzee amekufa na hajaacha usia wowote. LAkini kama kishaacha usia mgawanyo wa mali uweje, hapo hana chake
 
Wee jamaa hizi story zako mwanzo nilijua Unatunga maana ni ngumi kupata kijana wa Umri wako mwenye Akili ndogo kiasi hicho yani.. nampa pole sana mzee wako maana kupata mtoto kama wewe ni zaidi ya Mzigo yani!! Punguza ujingaa tafuta maisha yakooo huwezi kuwa na miaka 39 unafikiria mali za baba yako hadi leo Unaongelea habari za Kumaliza chuo bogus kabisa. Unaboa sana yani natamani nikujue yani siku nikunasee vibao.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Miaka 39. Unalala njaa siku 2?
Miaka 39 unalilia Mali za baba?
Miaka 39 bado huna familia?
Miaka 39 unaishi kwa baba?

Bilqshaka kuna tatizo kichwan baba kqshaliona na anataka akusaidie kwa njia za kiume kama hivyo kufukuzwa


Njoo nikupe shamba ulime mpunga
 
Mnakaa mnapoteza bundle, muda na nguvu zenu kujibu watu na thread za kipumba.vu sampuli hii

Mijitu ya hivi huwa siijibugi na ignore nayaachaga na upu.mbavu wao
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Mbona kama unatafuta huruma ya ccm?
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.

Kwanza, kama mzee wako ana mali nyingi inamaanisha ana akili nzuri ya maisha na anaishi vizuri na watu ndio maana hata ndoa yake imedumu. Kwa kusema hayo nikilinganisha na namna anavyokuchukia inaonekana wewe una shida kinoma, hata msamaha wako unauona kama unazingua, anaona hata akikupa mali utazitumia vibaya. Wewe ni msomi, tafuta njia nzuri professional ya kumshawishi akugawie, achana na hizi emotional apologies ambazo hatakuamini kamwe. Andika official proposal kuonesha una nia gani na maisha na unaregret vipi ulivyomkosea, pangilia chart ya biashara au investment kwenye hiyo proposal ya namna utaitumia hiyo mali na namna utakavyommake proud, tafuta hata mtu akusaidie. Vinginevyo andikia maumivu na hata ukienda mahakamani atakushinda tu. Huko kwa mganga sijui, ila kunakuwaga na matatizo tu pia.
 
Back
Top Bottom