Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

Tatizo hapa ni ako kashahada, ndiko kana kupa shida (ukachome moto, majivu yake, jipake usoni, kwaresma ndo hii). Kanumba "the great" hakuwa na "degree", maisha aliyashinda "under 30". Diamond platinumz, naye kafanya yake bila hiyo '"degree" under 30'. Ushauri, bado mwaka mmoja "degree" yako ku-'expire, since life begins at 40'. Mtafute rafiki wa baba yake, akuombee msamaha, usamehewe, upate mibaraka yake. Anza kuchakalika, lima mchicha, osha magari, kwa ufupi; 'do any blue collar job (hard manual labor), since life favors none without cash'.
 
mkuu uyu mzee sasaivi nahisi ametawaliwa na roho mbaya sana, nataka nipate na mimi maali siwezi kubali jasho langu lipotee mkuu.
Kabla ya kujua hilo jasho unalolidai, hivi Kwa umri ulionao una mtoto hata wa kupakaziwa? Tuanzie hapo tusije tukatoa ushauri pasipo stahili
 
Ambao wazazi wetu hawakutupa chochote hata elimu tumepigana wenyewe hadi level za juu na bado baada ya vyuma kuwa na grese tunawasaidia tuna comment wapi??
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Baba Yako Kabila Gani??
 
Nahisi una upopoma wa kiwango cha lami[emoji23][emoji23]
Kati ya vitu sijawaza ni hicho
 
mmm afadhali wewe una miaka 39,, wengine huku tuna miaka 41 hatuna kazi ya kueleweka, hatuna madem tunaachwa kila siku tukiwapata,, wazazi wetu maskini hawana chochote,, tuna vyeti vyetu ndani tumeviihifadhi vizuri kabisa..... yaaan kwa kifupi hatuna namna tumekubaliana na hali halisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu jamaa anatunga story for fun tu! Sidhani kama ni kweli! Tusipanic bure[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mwandishi unajua kuchekesha
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Umeona wapi mzee anamgawia Mali zake mtoto wake mwenye degree na umri wa miaka 39!? Kwanza mali utazipata kama urithi na urithi ni mpaka mwenye mali afe..! Pambana upate zako
 
hivi unajua maana ya urithi? yeye bado hajafa hapo anagawa tu mali yake, ana haki ya kumpa yeyote hata mpita njia anaweza mpa. ila ninachokiona hapo ni sababu huna kitu. ungekuwa na mali zako angekupa hata na hizo za kwake uzigawe wewe na angekusikiliza.
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
kwa mtazamo wangu
Nafikiri ungeanza kuandika CV yako kuomba kama kuna mtu anafaham mchongo akuunganishe
Kuhusu kukatazwa kurudi Nyumbani naona unastahili ila kama amekuwa mkali kiasi hicho, watumie Ndugu zake baba kama wapo wakamuombe na kama hawapo au hawaelewani; jaribu kupitia kwa watu wa karibu zaidi na mzee, wanaweza kuwa marafiki zake; mama anaweza kukusaidia kuwatambua; wao ndio wanatakiwa waongee naye, na wakupe mrejesho
Hilo la kugawiwa mali, naomba nisiliongelee kwani ni la kisheria zaidi na mimi sio mjuzi....
 
mkuu uyu mzee sasaivi nahisi ametawaliwa na roho mbaya sana, nataka nipate na mimi maali siwezi kubali jasho langu lipotee mkuu.
nimeishia kucheka tu jasho gani umetoa katika utafutaji wa hizo mali.
 
39yrs unaishi home anyway MJuMBE kale ccm maana teuzi zishapita
 
Back
Top Bottom