Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

mkuu uyu mzee sasaivi nahisi ametawaliwa na roho mbaya sana, nataka nipate na mimi maali siwezi kubali jasho langu lipotee mkuu.
39yrs bado unagombania mali za Mzee!!!! AIBU kubwa sana
 
Sasa unataka kumpangia Mtu nini cha kufanya na Mali yake?😛

Huwa wanakwama hao,

Achana nae Tafuta Pesa kama chizi kumzidi yeye kisha msubiri,
Malipo ni hapahapa.
 
39 kula kulala bure!
Unasikilizia mishe mwaka wa 15, huku umeshika remote!
Hapo home ukikaa si ajabu unat*a beki 3 anaowalipa mzee.

Umekaa kichawi unasubiria mzee afe, urithi, ningekuwa hapo ningemwambia mzee na hapo auze leo, akapange!

Hii ni chai ila umejaza pilipili kichaa!

Everyday is Saturday................................😎
 
Hivi si ndo wewe ulienda kuishi kwa rafiki yako, alafu upo kwa watu ukawa unataka uheshimiwe kama wewe ndo baba mwenye Nyumba? Ukawa unalalamika kuwa mama mwenye Nyumba anamchemshia tu mume wake maji ya kuoga lakin wewe hakuchemshii?
NDIO
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Wewe hufai na hiyo degree yako ulisomea labda ujinga.Kwanza hakuna sheria inayomlazimisha mzazi kumpa Mali mwanae ikiwa wote wako hai.Pili mzazi wako alikulea na ukaweza kusoma hadi chuo kikuu.Tatu wajibu wa mzazi kwako ulitakiwa kukoma ukiwa na umri wa miaka 18 lakini akakubeba hadi ukamaliza chuo kikuu.Hapo huna cha kumdai.Kuendelea kukulisha na kukaa kwake ilikuwa fadhila tuu,na kwakuwa huna shukrani si lazima kukufadhili.Ulitakiwa uishi kwake Kama chawa tu.Uchawa kwa baba yako ulishakushinda sasa unataka nini? Mambo ya wewe kuwa CCM yanakusaidia nini ikiwa hata buku saba wanazolipwa wenzio Lumumba hata hupati? Mpigie simu Pole pole a k a Taratibu akusaidie.
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Umekula kwake miaka yote huna mchango wa kutafuta zaidi ya kujaza choo, leo unazililia? Big Nyoyoma!
 
Kwanza haujeanda kushitaki baba yako tafuta kufungu cha sheria kinachosema baba asipompa mali mtoto anatakiwa ashtakiwe,, alafu pia unatakiwa uiyaambie mahakama kwamba baba yako wakati anakuzaa alikuwq na nn na ww ulimsaidia nn ktk kutafuta mali ambae nawe unasema jasho lako lipo,ktk mali hiyo,


Kaka unatakiwa umuulize baba yako wakati anakuzaa ww yeye alikuwa na umri gani na ww mpaka sasa una umri gani, mm sikusoma lkn nilioona hapa hakuna kinachoelewaka nikatoka home mapeeema yaani ww miaka hiyo upo home alafu upo upo tu?, fanya jambo hapo na kuhusu huyo baba yako tafuta watu uwongee nae msemo masikini jeuli usiuweke akilini, baba yako hakutaka ujiunge na chama ww ukajifanya jeuli lkn unakula na kulala kwake tena buleeee.
 
Tayari alikwishakupa mgao wako, elimu aliyokulipia toka chekechea mpaka kufikia degree ni urithi tosha, hebu kaa fikiria gharama alizotumia baba yako kukulipia tokea hujitambui mpaka unamiliki degree! bado tu unalilia urithi! hakika hujitambui bado, kama ulikuwa na fikra za urithi tokea wakati huo ungemshauri baba yako asipoteze mapesa yake kukusomesha kumbe akili yako ilikuwa ni kuja kulilia mgao wa urithi.
Ilifaa kwa uelewa wangu ufunge safari mpaka kwa mzee na umpe shukran zako kwa kukusomesha mpaka hapo ulipofikia kwa maana alijitoa akayaacha yake ili usome na uje usimame kwa miguu yako na si kuja kulilia kile cha kwake.
Kwa mtazamo wangu hata akikupa leo hii hicho unachokililia bado hutoweza kusimama kwa miguu yako.
Namfikiria mzee wako ana ghadhab maana umekuwa ni kunyume na matarajio yake, jikaze kaka tafuta chako ili wako na wewe waje kukurithi ikiwezekana, wacha kulialia kama toto mama.
39yrs! ni zadi ya aibu kwa mtoto wa kiume
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Pole sana Kijana:-
- Kitendo cha kukaa home tena baada ya kusoma na kwa umri ulionao inaezekana ni mja wapo ya sababu ilimfanya Mzee awe hivyo. Inawezekana ulikuwa huonyeshi juhudi zozote za ku-hussle huku ukijua hapo ni kwenu na labda kuna mali utarithi. Hii kitu baadhi ya Wezee humind sana maana hupenda pia kuona juhudi binafsi ambazo labda ungezionesha ingempa namna ya kutoa sapoti kwako;

- Kuhusu ishu ya urithi kama bado unang'angania labda utafute ushauri wa mwanasheria kama unaweza;

  • Otherwise pambana na maisha yaende mbele maana sio kila unaemuona anamafanikio alirithi. Kuna watu hawajarithi hata buku na maisha yanaenda;
  • Nikutakie kila la heri katika kupambania urithi.
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Tafuta zako, umebweteka ukisubiri Baba afe hafi, naye kakustukia anauza Mali zake mapema [emoji3][emoji3][emoji3], siku hizi hakuna mtoto wa kike wala wa kiume anayetegemea urithi, kila mtu anajitafutia zake
 
Pimbi wewe unakaa njaa siku mbili hata bodaboda umeshindwa kuendesha!
Mwakani una miaka 40 kwataarifa yako.
 
Back
Top Bottom