Ushauri wenu kwa huyu anayedate na mke wa mtu kiasi mpaka anasahau kusaidia familia yake

Ushauri wenu kwa huyu anayedate na mke wa mtu kiasi mpaka anasahau kusaidia familia yake

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Habari wakuu

Nina rafiki yangu mmoja sio tu rafiki bali pia amekuwa kama ndugu yangu jamaa anadate na mke wa mtu Tena anakaa nae mtaa mmoja na mine wake ya huyo manzi anamjua, kibaya zaidi ameenda mbali anamgharamia kila kitu na anajua kabisa ni mke wa mtu na hapa anampango wa kumpangishia chumba ili awe nae huru zaidi, baadhi ya ndugu zake wanashida na hata hawajali akili na nguvu kawekeza kwa huyo mke wa mtu.

Ndugu zake amenilalamikia Sana na wameniomba nimshauri ndugu yao by the way binafsi nimejaribu kumshauri anisikii na anapoenda naona kubaya mno na nisingependa apate anguko mimi nikiwa naona nitajaribu mradi akae kwenye mstari mzuri.

Ndugu zangu wanaJf naombeni ushauri ambao Unaweza kumsaidia huyu kijana naamini mnauwezo huo
 
Kiufupi ni kwamba huyo rafiki yangu hana demu wala hajaoa zaidi ya kutoka kimapenzi na mke wa mtu, na huyo manzi anaishi pamoja na Mmewe.Huyo manzi amemshauri jamaa yangu ampangishie iliwajiachie kuliko kumgonga kwenye ghetto lake ambalo ni mtaa mmoja anapoishi na Mumewe
 
Sasa huyo jamaa yako unaesema ashauriwe anatumia jf?

Hebu tupe namba za simu za huyo dada tumsaidie ushauri maana anaonekana anahuruma sana
 
Kijana acha umbea wewe, huyo mke sio wako weka nguvu kwenye kusaka pesa sio kufuatilia mambo ya wenzio hapo mtaani kwenu.
 
Habari wakuu

Nina rafiki yangu mmoja sio tu rafiki bali pia amekuwa kama ndugu yangu jamaa anadate na mke wa mtu Tena anakaa nae mtaa mmoja na mine wake ya huyo manzi anamjua, kibaya zaidi ameenda mbali anamgharamia kila kitu na anajua kabisa ni mke wa mtu na hapa anampango wa kumpangishia chumba ili awe nae huru zaidi, baadhi ya ndugu zake wanashida na hata hawajali akili na nguvu kawekeza kwa huyo mke wa mtu.

Ndugu zake amenilalamikia Sana na wameniomba nimshauri ndugu yao by the way binafsi nimejaribu kumshauri anisikii na anapoenda naona kubaya mno na nisingependa apate anguko mimi nikiwa naona nitajaribu mradi akae kwenye mstari mzuri.

Ndugu zangu wanaJf naombeni ushauri ambao Unaweza kumsaidia huyu kijana naamini mnauwezo huo
wakati mwingine hupaswi kumhangaikia sana mjinga. Unamwacha mpaka anatumbukia shimoni. Akiwa shimoni akililia msaada unamrusia kamba ajifunge shingoni kisha unamvuta. Taabu ya kuwa shimoni na kamba kumkaba shingo wakati wa kumuopoa vitamsaidia kurejesha akili yake........
 
IMG_4797.jpg

sawa
 
Anaishi na mke wake mtaa mmoja na huyo rafiki yangu, Manzi anamdanganya mme wake naenda kwenye kitchen party kumbe anaenda kugonga na huyo rafiki yangu
Waswahili wamesema za mwizi ni arubaini, iko siku ya arubaini akikamatwa asije lalamika atakalofanyiwa na huyo mume wa mwanamke wake.
 
Back
Top Bottom