Ushauri wenu kwenye hili ndugu zangu

Ushauri wenu kwenye hili ndugu zangu

Upo mkoa gani?
Ukisha jibu hili swali ndipo itakua rahisi kukushauri kutokana na mkoa ama wilaya uliyopo.
Lakini pia kwaharaka nilicho kiona kwako wewe sio mfanya biashara kwasababu hadi hapo ulipo ungekua tayari umesha anza kupata walau wazo la biashara kadhaa (watu wa hivi wapo). Lakini pia hii haikufanyi usijifunze kufanya biashara sababu Mungu alimpa binadam maarifa ya kujifunza, lakini wasiwasi wangu ni kwamba kama hiyo pesa ndio akiba yako pekee... kwanini utake risk kujifunzia biashara?? (Ulipaswa ujifunze biashara wakati mshahara unaendelea kuingia).
Hivyo basi, kwanza nakushauri ujenge nyumba ndogo ya room moja, bebule, choo/bafu na jiko. Hii naamini ukiisimamia mwenyewe haitizidi 25 millions.
Baada ya hapo endelea kutafuta kazi huku ukiweka hata genge la matunda, nyanya, vitunguu, mboga hapo maeneo ya utakapo jenga nyumba yako.
Kaa kwenye kijiwe chako kipya ambacho walau utatumia sio zaidi ya 2 milions kukijenga kwa mabanzi pamoja na mtaji na kisha pesa iliyo baki fanya kuitunza bank.
Baada ya hapo endelea kutafuta kazi online wakati tayari unauhakika wa kipato kidogo cha kukuwezesha kujikimu kwa chakula na mambo madogo madogo.
Ukilifanya hili ninaamini utafanikiwa na kazi nyingine utaipata kwasababu hapo toka itakua nikama umepata experience
asante sana kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Jenga nyumba hata ya 25m,utakusaidia pale pesa itakapoisha angalau utakua na mahala pa kulala. Hakuna kitu kibaya kama uwe huna kazi,huna pesa na hata pahala pa kulala iwe changamoto.

Hiyo 15m itakayobaki,fanya biashara ya 9m na 6m weka kama reserve,then ndipo utafute kazi nyingine ya kufanya.
Nasisitiza nyumba kwasababu ukiwa na kwako hata ukienda kazini na ukafudi na buku 5 hautokua na pressure sawa na yule ambae anafanya kazi huku akiwaza kodi,.nk
Chukua ushauri huu ,nyumba siyo lazima iwe kubwa na ya viwago vya halo ya juu hata ya kawaida tu kuliko kuwekeza kiasi chote kwenye biashara wakati kuna wengine hata M5 ni mtaji wa maana wa kuendesha biashara..
 
Write your reply...jenga nyumba ila ijenge kwa raman ambayo uzungukwe na vyumba vng vya kupangisha angalau kw mwez ukusanye angalau kuanzia lak 2 af nyngn fanya biashara au km unajua kuendesha boda au bajaj nunua na ukomae barabaran wemwenyew
 
Umesomea nini? If you don't mind
Kanunue shamba hata ekari 5 mbali na vijiji yaani porini
Tuma vijana wakalisafishe nusu
Anza ufugaji tafuta aliesomea mifugo umpe shares au mshahara mzuri
Hutakuja kujutia

Ila nawe uwe hapo na utapanda mpaka mbogamboga na miti ya matunda
Huu mradi ni mzuri sana Kama utapata mtaalamu mzuri wa kuwatibu na kuwaangalia

Fuga cross breed usihangaike na ng'ombe zetu wala mbuzi zetu hao ni wadogo mno

Mimi najiandaa ku invest 50m kwenye mradi huu
 
Kama ushauri wote uliopewa hapo juu hujachukua mm nakushauri chukua mil 5 tu tumia kufungua duka la nafaka yes namaanisha uza mchele nk au fungua duka la mangi.... Ila kama huna interest ya biashara kabisa Basi don't try business achananayo chukua ushauri mwingine
 
Write your reply...jenga nyumba ila ijenge kwa raman ambayo uzungukwe na vyumba vng vya kupangisha angalau kw mwez ukusanye angalau kuanzia lak 2 af nyngn fanya biashara au km unajua kuendesha boda au bajaj nunua na ukomae barabaran wemwenyew
Asante kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Kama ushauri wote uliopewa hapo juu hujachukua mm nakushauri chukua mil 5 tu tumia kufungua duka la nafaka yes namaanisha uza mchele nk au fungua duka la mangi.... Ila kama huna interest ya biashara kabisa Basi don't try business achananayo chukua ushauri mwingine
Asante kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Umesomea nini? If you don't mind
Kanunue shamba hata ekari 5 mbali na vijiji yaani porini
Tuma vijana wakalisafishe nusu
Anza ufugaji tafuta aliesomea mifugo umpe shares au mshahara mzuri
Hutakuja kujutia

Ila nawe uwe hapo na utapanda mpaka mbogamboga na miti ya matunda
Huu mradi ni mzuri sana Kama utapata mtaalamu mzuri wa kuwatibu na kuwaangalia

Fuga cross breed usihangaike na ng'ombe zetu wala mbuzi zetu hao ni wadogo mno

Mimi najiandaa ku invest 50m kwenye mradi huu
Asante kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Chukua bajaji kwanza weka barabarani isimamie vizuri ikulishe wakati huu hauna ajira pesa nyingine weka benki usiiguse huku ukiendelea kufikiria matumizi bora ya hiyo fedha.
 
Anzisha biashara ila kuwa Makini kwenye sehemu mbili
1. Kujali wateja wako maan hao ndyo biashara inyewe usizarau mteja

2. Punguza matumizi yasio na lazima nikiwa na maana ya kuwa.....-yaani ishi kma ulivyokiishi zamani usikuze maitaji kutokana na biashara yako kwenye matumizi ya kawaida.
 
Nakushauri kama kazi inaend kustop nunua ist kisha ujisajili na bolt( taxi za mtandaooni) kwa kuwa itakuwa yako bas asubuh mpk usiku haukosi 30000 au 40000 uku utakuw umepunguza presha na kuendelea kutafuta kazi unayoipenda kdg kdg

Kwann utakuwa haukosi elfu 40 kwa siku kwa sababu watu ambao gari sio zao kwa mabosi wao kila siku hesabu ni elfu 25 hd 30 hapo wanatoa mafuta na hela wanayobaki nayo wao.
 
Jenga nyumba hata ya 25m,utakusaidia pale pesa itakapoisha angalau utakua na mahala pa kulala. Hakuna kitu kibaya kama uwe huna kazi,huna pesa na hata pahala pa kulala iwe changamoto.

Hiyo 15m itakayobaki,fanya biashara ya 9m na 6m weka kama reserve,then ndipo utafute kazi nyingine ya kufanya.
Nasisitiza nyumba kwasababu ukiwa na kwako hata ukienda kazini na ukafudi na buku 5 hautokua na pressure sawa na yule ambae anafanya kazi huku akiwaza kodi,.nk
Na nyumba ikishakuwepo imekuwepo
 
Chukua bajaji kwanza weka barabarani isimamie vizuri ikulishe wakati huu hauna ajira pesa nyingine weka benki usiiguse huku ukiendelea kufikiria matumizi bora ya hiyo fedha.
Asante kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Nakushauri kama kazi inaend kustop nunua ist kisha ujisajili na bolt( taxi za mtandaooni) kwa kuwa itakuwa yako bas asubuh mpk usiku haukosi 30000 au 40000 uku utakuw umepunguza presha na kuendelea kutafuta kazi unayoipenda kdg kdg

Kwann utakuwa haukosi elfu 40 kwa siku kwa sababu watu ambao gari sio zao kwa mabosi wao kila siku hesabu ni elfu 25 hd 30 hapo wanatoa mafuta na hela wanayobaki nayo wao.
Asante kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Anzisha biashara ila kuwa Makini kwenye sehemu mbili
1. Kujali wateja wako maan hao ndyo biashara inyewe usizarau mteja

2. Punguza matumizi yasio na lazima nikiwa na maana ya kuwa.....-yaani ishi kma ulivyokiishi zamani usikuze maitaji kutokana na biashara yako kwenye matumizi ya kawaida.
Asante kwa ushauri wako, nimeupokea
 
Nakushauri usitumie hiyo hela kufanya biashara yoyote kwasasa. Na hata ukiamua kuitumia usifanye kitu kingine chochote isipokuwa kujenga. Ila kwasasa wala usiitumie kujenga hadi utakapopata kazi ya uhakika. Kwanini nasema hivi?

Ukiitumia hiyo hela kwenye biashara unaweza kukwama moja kwa moja kimaisha na hakuna jambo baya kama hili!

Ni mbaya mno kwani utakosa hata hela ya kutuma application au kuishi na utakwama kabisa. Endelea kutuma maombi ya kazi na kumweka Mungu mbele. Hofu au stress isikufanye ufanye maamuzi mabaya, kwasasa usifanye kingine isipokuwa kufanya applications hata kama itakuchukua miaka 2 kupata kazi hiyo ni kawaida siku hizi.

Braza una biashara yoyote?

Why are you fitting yourself in someone shoes?

#YNWA
 
Tafuta WILAYA inayoendelea kwa kasi au mpya kabisa kama Malinyi huko Morogoro,nunua kiwanja kikubwa chini ya million 5! Yaani Kati kati kabisa mwa mji! Jenga vyumba kama kumi hivi simple kabisa vikubwa ,unaweza kugawa vitano upande mmoja na vingine upande wa pili,viwe self!utumie KARIBU milion 25 kuvijenga!usi complicate sana!

Ili vikulipe laki nne hadi tano kwa Mwezi yaani minimum elfu arobaini kila chumba kwa Mwezi!

Milion 15 zilizo baki jaribu Duka la hardware kama nondo,rangi, cement,Bati na n.k!

Tafuta Sasa ujanja maana Biashara bila ujanja utapigwa,wa kwenda deep wanajua!

Piga kazi uone mwelekeo!!

All the Best!
 
Braza una biashara yoyote?

Why are you fitting yourself in someone shoes?

#YNWA
Nimefanya biashara nazijua. Huyo ni kijana mdogo badala ya kujifrustrate zaidi kwa sasa ni hatari kufanya biashara, atafute kazi akiwa kazini aanze kujenga. Hii ndio njia salama ya kutunza fedha yake. Kufanya biashara kama huna fursa ya uhakika na uzoefu unaweza kupoteza fedha yote uliyonayo akarudi zero ground. Hakuna kitu kibaya kama hicho kwake ndio atakuwa kichaa kabisa.
 
Nimefanya biashara nazijua. Huyo ni kijana mdogo badala ya kujifrustrate zaidi kwa sasa ni hatari kufanya biashara, atafute kazi akiwa kazini aanze kujenga. Hii ndio njia salama ya kutunza fedha yake. Kufanya biashara kama huna fursa ya uhakika na uzoefu unaweza kupoteza fedha yote uliyonayo akarudi zero ground. Hakuna kitu kibaya kama hicho kwake ndio atakuwa kichaa kabisa.

Sasa anapokuwa "Asifanye biashara" hiyo experience ya biashara ataipata wapi??

Na Kazi ya nini ikiwa ana mtaji wa kuingia mtaani?

Mbona sisi tuliokwenye ajira tunawaonea wivu walio na biashara?

#YNWA
 
Back
Top Bottom