Mkuu fungua biashara kabla haujajenga 40ml ni pesa inayotosha kufanya biashara ndani ya dar au dodoma, na kwasababu wewe sio mzoefu wa biashara yeyote fanya utafiti wa baadhi biashara ila lenga sana kweny biashara ambayo bidhaa zake hazina expiredate, mfano vifaa vya simu au simu kabisa, naznginezo pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.